True love na Umaskini nashindwa kuvihandle jaman.

kuna mahali nimekuta mganga anatangaza kuunganisha mtu na mafreemason sasa hebu cheki nae halafu urudi kwa huyo kijana! Mtambuzi ile namba tafadhali!
 
Last edited by a moderator:
Dada white, kama ni mkristo rejea; 1 Wakorintho 13: 4-8..,

4 Mwenye upendo huvumilia, hufadhili; mwenye upendo hana wivu, hajidai, wala hajivuni. 5 Mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti faida yake binafsi, wala hana wepesi wa hasira; haweki kumbukumbu ya mabaya, 6 hafurahii uovu, bali hufurahia ukweli. 7 Mwenye upendo huvumilia yote, huamini yote, na hustahimili yote. 8 Upendo hauna kikomo kamwe.

Pls jipime kama kweli una upendo wa kweli kwa mwenzio. Jibu kama ni ndio then furahia maisha na mpenzi wako. Umasikini sio ugonjwa wala laana, mkijituma na kushirikiana kwa umasikini utawakimbia.
Wenzio wanalilia upendo wa kweli ila wewe unataka kuupiga teke kisa umasikini..??
Kila la kheri!

Poor people need God and rich wants God.ukiwa na kila kitu that is a blessing and poor envy that which make them more poor .poverty is a curse and rich is a blessing .dont envy the richer cause your making yourself more poor .God trusted rich people with money cause they spend well.poor people mpe million moja shillings kesho imeisha.huwezi kuwa Tajiri bila saving.na watu matajiri they know the value of money( Steve job) .kwa hiyo dada yaani Kama umezaliwa maskini utakufa maskini.Ndio maana mtu maskini Atakama awe Rais wa nchi gani I can guarantee you ate retire maskini.John Edward he fell from Grace ,maskini hata umpe cheo gani hata umpe billion of dollars mawazo yake na fikra Za kimaskini.David Petraus all he have accomplished he threw them in trash why ?he was born poor .Bill Clinton he is worth 60 million dollars ila he can't retire and he is still working fear that he will be poor again.kwa hiyo mdada Kama wewe maskini na wewe pia sina comment
 
dada white hii miteremko itatuua hakuna hela tamu kama ya kuitafuta mwenyewe maana haina maswali halafu utamu wake unakufanya na kesho ufikirie zaidi kuiongeza kila la heri kwenye juhudi za kumpata Mr tajiri.
 
siku ya kwanza ulijua ni maskini ukakubali kuwa naye cha msingi ni kutafuta namna ya kukabiliana na hali hiyo kama unaona huwezi achana nae tafuta anayeweza kuendelea kufanya uso wako kuwa mweupe
 
profilepic71864_1.gif


ni huyu hapa HorsePower ambaye ni maskini

Hata awe hivi, swali la kujiuliza ni je urembo wa mwanadada ndiyo sababu ya yeye kutokuolewa na maskini? Ina maana mwanaume maskini hana haki ya kuoa mwanamke mrembo? Huu si unyanyasaji kweli wa kiuchumi? Sisi tusio na uwezo tutakuwa wageni wa nani ktk hii dunia? Mafisadi wanatutafuna na sasa hata warembo nao hawatutaki tena, tukimbilie wapi? Kumbe kweli umaskini ni kama rushwa unakunyima haki za msingi!

Mdogo wangu nivea tehe teheee teheeeee, ngoja nikunong'oneze maana najua wana JF hawanioni, ni huyu kweli? huna namba yake ya simu? Tehe tehee heeeeee!
 
Last edited by a moderator:
Poor people need God and rich wants God.ukiwa na kila kitu that is a blessing and poor envy that which make them more poor .poverty is a curse and rich is a blessing .dont envy the richer cause your making yourself more poor .God trusted rich people with money cause they spend well.poor people mpe million moja shillings kesho imeisha.huwezi kuwa Tajiri bila saving.na watu matajiri they know the value of money( Steve job) .kwa hiyo dada yaani Kama umezaliwa maskini utakufa maskini.Ndio maana mtu maskini Atakama awe Rais wa nchi gani I can guarantee you ate retire maskini.John Edward he fell from Grace ,maskini hata umpe cheo gani hata umpe billion of dollars mawazo yake na fikra Za kimaskini.David Petraus all he have accomplished he threw them in trash why ?he was born poor .Bill Clinton he is worth 60 million dollars ila he can't retire and he is still working fear that he will be poor again.kwa hiyo mdada Kama wewe maskini na wewe pia sina comment

Naona hapa shuzi limempata mjambaji nilijua tu utakuja Natalia
 
Last edited by a moderator:
Nilimpenda sana ila umaskini uliokithiri unaniaribia roho ya kuendelea kumpenda nifanyaje siku na umri unazidi kuenda sioni nafuu yoyote.Hadi uzuri na weupe wangu umeanza kuFADE AWAY.Nachanganyikiwa jamani moyo wangu unaishiwa nguvu kadri ya siku zinavyozidi kwenda.

bigstock-African-Family-Having-Fun-6037620.jpg


Ni watu wachache sana ambao hawababaishwi na kuwa au kutokuwa kwao na fedha. Kuna ukweli kwamba fedha huvunja udugu, huharibu uhusiano kati ya watu na kati ya wapenzi. Ni vigumu na hatari kulikataa hilo.

Kuna ukweli wa kutosha kwamba, kwenye ndoa, fedha ina athari kwa wengi sana. Taarifa za kiutafiti zinaonesha katika takwimu zake kwamba, wanandoa wanaoishi katika ulitima (umasikini), wako kwenye nafasi kubwa ya kuburuzana na kusukumana hadi kufikia mahali mpaka kuachana na hata kuuana. Kwa wale ambao kipato chao ni kidogo wanajua ni kwa namna gani, ndoa zao wanavyoziona chungu.

Mtu anaweza kuuliza, inakuwaje mwanaume anamwambia mkewe kwamba, ana nuksi ndio maana hawapati fedha? Ni kwa sababu kukosa fedha kunataka subira kubwa ili mtu asiweze kupoteza mwelekeo kimaisha. Wataalamu wanasema watu ambao kipato chao ni kidogo sana, wanaposhindwa kukubaliana na hali halisi, huingia mahali ambapo husongeka sana. Wanaposongeka huanza kuwa na tabia zenye kuwakera wao wenyewe na kuwakera wale wanaowazunguka.

Hali ya kusongeka huzalisha hasira za ziada, huzalisha hisia za kutojitosha, kufikiri kusikofaa, kukosa hamu ya tendo la ndoa, kukata tamaa na mengine ya aina hio. Hayo yanapojitokeza, ndoa huanza kuingia kasoro. Hali hiyo huwatokea wote, yaani wanawake na wanaume. Kumbuka kuna wanawake ambao, hata kama ni mama wa nyumbani, bado wanatamani kama wangekuwa kwenye ndoa zenye nafuu ya kipato. Hii huwajengea kusongeka ambapo. Nao huweza kuvuruga uhusiano.

Jarida la Psychosomatic Medicine, linasema kwa mfano, suala la kipato kidogo husababisha msongo ambao, baadae huweza kuvunja ndoa na hili sio suala la watu wa rangi fulani, kabila fulani, au jinsia fulani. Ni binadamu yeyote anapokuwa na pato dogo, ambalo hakubaliani nalo.

Lakini wataalamu wanasema kinachoweza kuvunja ndoa siyo kipato kidogo, bali zaidi ni namna wanndoa wanavyokitafsiri hicho kipato chao. Mmoja au wote wakishindwa kukubaliana na hali hiyo, ni wazi hali itaanza kubadilika na msukosuko katika ndoa utaanza.

Watu wasio na kipato cha kutosha au masikini ambao wamekata tamaa, mara nyingi huwa ni wavuta bangi, wanywa pombe kupindukia wavuta sigara na watu wasio na mtandao wa kutosha kijamii. Hali hizi huchangia sana katika kufanya uhusiano wa watu hawa kushindwa kudumu. Kwa wale wanandoa ambao wanautazama umasikini kama changamoto, ambapo wanaamini kwamba, kwa kuwa karibu, kushirikiana na kuamini katika kumudu, mara nyingi hufika mbali kiuhusiano na hata kiafanikio.
 
Dada hii kali, wadada tunaongozwa na moyo kwenye mapenzi na mahusiano na raha unayoipata kwenye tru love hutafikiria hata pesa, ukijaliwa ,heshimiwa, ukisikilizwa inatisha dada dats y kuna watu wana mapesa wamekosa mapenzi n carenes wanahaha kutafuta nje ,uzuri wa penzi la dahti huwezi linunua ingekua hivyo matajiri wangeenjoy maskin wangeendelea kulia.
Kaa na mpenzi wako mtafute mbinu za kuwakomboa kiuchumi kama kweli hilo tru love bado linaexist
 
Dada white mapenzi baadae huisha, halafu kuolewa unachagua:
1. Kuolewa na mwanaume anayekupenda kuliko unavyompenda...huyu bora awe tajiri
2. Kuolewa na mwanamme unayempenda kuliko anavyokupenda....huyu Naye awe tajiri
3. Kuolewa na mwanaume mnayependana ....... Huyu hata Akiwa maskini mtavumiliana na kupeana Moyo.
PIMA MWENYEWE.

Sent from mini ipad 3
 
piga kazi shosti tafuta chapaa, acha kutegemea yeye ndo azimake kwani kuna ubaya gani ww ukipata mawe afu mkayatumia kuimprove life yenu,nadhani humfil mshkaji kihivyo otherwise to m that is no big deal.........
Nilimpenda sana ila umaskini uliokithiri unaniaribia roho ya kuendelea kumpenda nifanyaje siku na umri unazidi kuenda sioni nafuu yoyote.Hadi uzuri na weupe wangu umeanza kuFADE AWAY.Nachanganyikiwa jamani moyo wangu unaishiwa nguvu kadri ya siku zinavyozidi kwenda.
 
Kwani we utafuti pesa ya ku mantain weupe wako? Kwa nini utegemee kupewa?
Hivi huo umaskini ni wako au wake?

Subiri Natalia aje kukupa ushauri zaidi!
Nilimpenda sana ila umaskini uliokithiri unaniaribia roho ya kuendelea kumpenda nifanyaje siku na umri unazidi kuenda sioni nafuu yoyote.Hadi uzuri na weupe wangu umeanza kuFADE AWAY.Nachanganyikiwa jamani moyo wangu unaishiwa nguvu kadri ya siku zinavyozidi kwenda.
 
Tatizo ni kwamba alisha jiandaa kumtegemea huyo jamaa!

piga kazi shosti tafuta chapaa, acha kutegemea yeye ndo azimake kwani kuna ubaya gani ww ukipata mawe afu mkayatumia kuimprove life yenu,nadhani humfil mshkaji kihivyo otherwise to m that is no big deal.........
 
aisee kaka zangu mna kazi sana The Boss HorsePower Mwita Maranya Tuko ericB52 Mohamedi Mtoi SnowBall kwa kweli kazi mnayo somesheni sana watoto wenu wa kiume wasijenangwa namnahii mbeleni lol
Kuna usemi siku hizi kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume, so mwanaume mmoja awe na wanawake zaidi ya mmojai. Ila kiukwel, wanaume na wanawake, ukiangalia jinsia, wapo idadi sawa. Tatizoi kuwa wanaume wanaoweza kuhandle mapenzi = uanaume + pesa, wakati mwanamke anaeweza kuwa mpenzi = uanauke + 'mwili'.
Hata mi stakubali au sitafurahi mtoto wangu wakike (siku nikiwa nae), aniletee tu mwanaume, ili mradi ana uume... pesa bana...
 
Nilimpenda sana ila umaskini uliokithiri unaniaribia roho ya kuendelea kumpenda nifanyaje siku na umri unazidi kuenda sioni nafuu yoyote.Hadi uzuri na weupe wangu umeanza kuFADE AWAY.Nachanganyikiwa jamani moyo wangu unaishiwa nguvu kadri ya siku zinavyozidi kwenda.

.....penzi ni dawa ya roho, pesa ni kwa mengineyo yalobakia! Hulaumiki.
 
Kuna usemi siku hizi kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume, so mwanaume mmoja awe na wanawake zaidi ya mmojai. Ila kiukwel, wanaume na wanawake, ukiangalia jinsia, wapo idadi sawa. Tatizoi kuwa wanaume wanaoweza kuhandle mapenzi = uanaume + pesa, wakati mwanamke anaeweza kuwa mpenzi = uanauke + 'mwili'.
Hata mi stakubali au sitafurahi mtoto wangu wakike (siku nikiwa nae), aniletee tu mwanaume, ili mradi ana uume... pesa bana...
khaaaa hata baba yangu alishamkataa mmja kwiwkwiwkwiwk kumbe mko wengi eee za weekend lakini
nipe feedback ulipeleka zawadi gani?????????
 
khaaaa hata baba yangu alishamkataa mmja kwiwkwiwkwiwk kumbe mko wengi eee za weekend lakini
nipe feedback ulipeleka zawadi gani?????????
weekend ilikuwa powa banaa... kuhusu zawadiiiii........, nitakuPM, maana watu hawakawii kusema ...ooh, tulitarajia shem/wifi apigwe ki-vitz...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom