OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Aug 24, 2011 49,185 103,688 Jul 2, 2020 #1 Pasi alizopiga Chama peke yake ni zaidi ya pasi za Yanga nzima mechi ya Kagera sugar. Jana kabla ya kufunga goli alipiga chenga mpaka refa Ni muda wa serikali kutolea tamko suala hili
Pasi alizopiga Chama peke yake ni zaidi ya pasi za Yanga nzima mechi ya Kagera sugar. Jana kabla ya kufunga goli alipiga chenga mpaka refa Ni muda wa serikali kutolea tamko suala hili
Mshuza2 JF-Expert Member Dec 27, 2010 11,015 16,447 Jul 2, 2020 #3 Mkuu waache kidogo..sasa hivi haja zinakuja zote..kubwa na ndogo
Kennedy JF-Expert Member Dec 28, 2011 49,015 54,296 Jul 4, 2020 #4 Msemaji Wa Serikali Vp Hajaongelea Hili