Airfryer
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 430
- 1,039
Hii nchi kuna watu walikuwa na sharp mind na watafiti sana , Hata wazungu waliwaogopa
Nikajiuliza hivi kwa miaka hiyo ya zamani Tanzania kweli kulikuwa na elimu bora sana iliowajenga watu kufikiri nje ya box na kujiamini sio elimu hii ya sasa ya kujibia mitihani
Sio wengi waliyajua haya ya Benno lakini ukipita huku kwenye makala zake, YouTube utajifunza kitu kikubwa sana toka kwa Benno
Hata hivyo wapo wengi lakini Benno alifanya transformation kubwa sana Tanzania hasa kwenye issue za Financial inclusion na Mobile digitalization
Prof Marehemu Benno Ndulu alikuwa smart sana kichwani
Benno alikuwa anashiriki midahalo migumu ulaya na Africa huku akisimamia tafiti zake na Mageuzi Africa na Duniani
Katika pita pita zangu nimekutana na tribute kadhaa kumuhusu Benno
Nimeambatanisha maelezo
Nikajiuliza hivi kwa miaka hiyo ya zamani Tanzania kweli kulikuwa na elimu bora sana iliowajenga watu kufikiri nje ya box na kujiamini sio elimu hii ya sasa ya kujibia mitihani
Sio wengi waliyajua haya ya Benno lakini ukipita huku kwenye makala zake, YouTube utajifunza kitu kikubwa sana toka kwa Benno
Hata hivyo wapo wengi lakini Benno alifanya transformation kubwa sana Tanzania hasa kwenye issue za Financial inclusion na Mobile digitalization
Prof Marehemu Benno Ndulu alikuwa smart sana kichwani
Benno alikuwa anashiriki midahalo migumu ulaya na Africa huku akisimamia tafiti zake na Mageuzi Africa na Duniani
Katika pita pita zangu nimekutana na tribute kadhaa kumuhusu Benno
Nimeambatanisha maelezo