Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,409
- 8,908
Pamoja na kwamba ni jambo zuri kuanzisha au kufufua treni kwa usafiri wa abiria katika jiji la Dar, na watu wengi wamekuwa wakitegemea kuwa ni moja ya utatuzi wa foleni hapa Dar mimi natofautiana kidogo na nitaelezea hapa!
Hizi treni hazitapunguza foleni hata asilimia moja kwa maana watakao kuwa wanazitumia ni watu wa kipato cha chini na wengi wao watakuwa wanakwenda BURE, kwa maana hapa tatizo kubwa katika nchi yetu hatujaweza bado kumanage chaos na sioni ni jinsi gani wanavyoweza kufanya hiyo huduma ikawa nzuri kiasi kwamba inishawishi mimi na niache gari langu na kuja kupanda treni Ubungo, sioni ni jinsi gani wanavyoweza kuzuia watu wasidandie juu kama India!
Hizi treni hazitapunguza foleni hata asilimia moja kwa maana watakao kuwa wanazitumia ni watu wa kipato cha chini na wengi wao watakuwa wanakwenda BURE, kwa maana hapa tatizo kubwa katika nchi yetu hatujaweza bado kumanage chaos na sioni ni jinsi gani wanavyoweza kufanya hiyo huduma ikawa nzuri kiasi kwamba inishawishi mimi na niache gari langu na kuja kupanda treni Ubungo, sioni ni jinsi gani wanavyoweza kuzuia watu wasidandie juu kama India!