Treni za mjini Khartoum, Sudani ya kaskazini

Treni za mjini Khartoum, Sudani ya kaskazini

bongo-live

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
1,733
Reaction score
2,297
Nchi nyingi za africa zimekuwa zikipiga hatua kubwa kimiuondo msingi hususan kwenye usafir wa mijini.

Hizi hapa ni baadhi ya picha ndani ya ruti za Khartoum na mji wa Wadi-halfa
1473658525348.jpg
1473658530244.jpg
1473658535672.jpg
1473658545511.jpg
1473658553069.jpg
1473658565206.jpg
1473658573199.jpg
1473658578159.jpg
 
Kuna faida gani kuwa na treni nzuri halafu mwanamke akivaa jeans chini ya baibui anatandikwa viboko hadharani kama mtoto mdogo kwa style ya udhalilishaji wa hali ya juu? Worthless piece of africa
 
Kuna faida gani kuwa na treni nzuri halafu mwanamke akivaa jeans chini ya baibui anatandikwa viboko hadharani kama mtoto mdogo kwa style ya udhalilishaji wa hali ya juu? Worthless piece of africa
Watu wanaongelea maendeleo wewe unakuja na mawazo ya uzinzi. Ukiona hayo mata.k.o ya hao wanawake unapata faida gani?
 
Yale yanayofuka moshi kama kiwanda yanatutosha
 
Kuna faida gani kuwa na treni nzuri halafu mwanamke akivaa jeans chini ya baibui anatandikwa viboko hadharani kama mtoto mdogo kwa style ya udhalilishaji wa hali ya juu? Worthless piece of africa

Baibui na train vina uhusiano gani?

Of course I don't agree that someone should determine what my sister or I wear or eat! Lakini kwa hili nawapongeza. [HASHTAG]#publictransportkwanza[/HASHTAG]!
 
Kuna faida gani kuwa na treni nzuri halafu mwanamke akivaa jeans chini ya baibui anatandikwa viboko hadharani kama mtoto mdogo kwa style ya udhalilishaji wa hali ya juu? Worthless piece of africa
Kwakuwa anakuwa uchi. Na sio kumdhalilisha wanawake wanajidhalilisha wenyewe uislam unawataka wajihwshimu
 
Watu wanaongelea maendeleo wewe unakuja na mawazo ya uzinzi. Ukiona hayo mata.k.o ya hao wanawake unapata faida gani?
Umeenda mbali. Faida ipo kubwa mno! Ivi wewe Kadhi mkuu m1, maendeleo yana faida gani bila kuwepo na wanawake? Hivi Majengo mazuri, magari mazuri, mazingira mazuri yanaweza kupendezaje bila wanawake?
Tuna"toil" tupate pesa ama mali tule na wanawake na kujenga familia!
Mungu ametuumbia wanawake wazuri(warembo)kutupumbaza na adha ya dunia hii ngumu, ili tuyaone maisha mazuri ijapo ni kinyume chake. Bila wanawake, ikawa tunazaliana kwa kujigawa kama micro organisms, pasingekuwa na maendeleo yoyote. Na maisha yangekuwa na sura tofauti. Kwa hiyo faida ya wanawake ni kubwa mno kuliko hata niliyoeleza kifupi. Ndiyo nyie wabinafsi mtumiao gia ya maadili ama udini, kuwagubika mibaibui mwili mzima ili watu wasifaidi maumbile yao ambayo M/Mungu aliyashusha bure,kila mtu aone na yamfariji na kufurahi na roho yake, kama aangaliavyo maua bustanini. Haya niliyokueleza unayafahamu ila roho ya ubinafsi inakubungua!
 
Umeenda mbali. Faida ipo kubwa mno! Ivi wewe Kadhi mkuu m1, maendeleo yana faida gani bila kuwepo na wanawake? Hivi Majengo mazuri, magari mazuri, mazingira mazuri yanaweza kupendezaje bila wanawake?
Tuna"toil" tupate pesa ama mali tule na wanawake na kujenga familia!
Mungu ametuumbia wanawake wazuri(warembo)kutupumbaza na adha ya dunia hii ngumu, ili tuyaone maisha mazuri ijapo ni kinyume chake. Bila wanawake, ikawa tunazaliana kwa kujigawa kama micro organisms, pasingekuwa na maendeleo yoyote. Na maisha yangekuwa na sura tofauti. Kwa hiyo faida ya wanawake ni kubwa mno kuliko hata niliyoeleza kifupi. Ndiyo nyie wabinafsi mtumiao gia ya maadili ama udini, kuwagubika mibaibui mwili mzima ili watu wasifaidi maumbile yao ambayo M/Mungu aliyashusha bure,kila mtu aone na yamfariji na kufurahi na roho yake, kama aangaliavyo maua bustanini. Haya niliyokueleza unayafahamu ila roho ya ubinafsi inakubungua!

acha ungese wewe unadhani mwanamke yuko kwa ajili ya kila mwanaume. umeniudhi sana fala we,unakuwa na mawazo kama hanithi bwana
 
Back
Top Bottom