Treni za mjini Khartoum, Sudani ya kaskazini

Treni za mjini Khartoum, Sudani ya kaskazini

tunafuatilia watumishi hewa na wenye vyeti hewa tukimaliza ndipo tuje kujenga viawanda.
 
Kuna faida gani kuwa na treni nzuri halafu mwanamke akivaa jeans chini ya baibui anatandikwa viboko hadharani kama mtoto mdogo kwa style ya udhalilishaji wa hali ya juu? Worthless piece of africa
Ni mitazamo na utamaduni wa eneo husika wala sio suala ambalo unaweza kulileta nakukataa ukweli uliopo wa hatua ya maendeleo waliyopiga hao wasudan ukilinganisha na nchi nyingi za afrika wanastahili pongezi kuliko hoja yako ya suruali ,hivi unafahamu kuwa mwanamke harusiwi kuvaa suruali akiwa mjini paris katika nchi ya ufaransa ambayo ni ulaya? atavaa suruali ikiwa tu amepanda farasi,je hawa nao utawaitaje na hata kama hiyo amri itakuwa imefutwa sidhani kama inazidi ya miaka mitano.
 
Umeenda mbali. Faida ipo kubwa mno! Ivi wewe Kadhi mkuu m1, maendeleo yana faida gani bila kuwepo na wanawake? Hivi Majengo mazuri, magari mazuri, mazingira mazuri yanaweza kupendezaje bila wanawake?
Tuna"toil" tupate pesa ama mali tule na wanawake na kujenga familia!
Mungu ametuumbia wanawake wazuri(warembo)kutupumbaza na adha ya dunia hii ngumu, ili tuyaone maisha mazuri ijapo ni kinyume chake. Bila wanawake, ikawa tunazaliana kwa kujigawa kama micro organisms, pasingekuwa na maendeleo yoyote. Na maisha yangekuwa na sura tofauti. Kwa hiyo faida ya wanawake ni kubwa mno kuliko hata niliyoeleza kifupi. Ndiyo nyie wabinafsi mtumiao gia ya maadili ama udini, kuwagubika mibaibui mwili mzima ili watu wasifaidi maumbile yao ambayo M/Mungu aliyashusha bure,kila mtu aone na yamfariji na kufurahi na roho yake, kama aangaliavyo maua bustanini. Haya niliyokueleza unayafahamu ila roho ya ubinafsi inakubungua!
We ndio bwege mkubwa sana....Weka picha ya mwanamke wako basi tufurahi na roho zetu
 
... ,hivi unafahamu kuwa mwanamke harusiwi kuvaa suruali akiwa mjini paris katika nchi ya ufaransa ambayo ni ulaya? atavaa suruali ikiwa tu amepanda farasi,...
Jaribu kujiongeza. Hiyo sheria imeshafutwa tangu 2013, na kabla ya hapo hakuna aliyeijali.
 
acha ungese wewe unadhani mwanamke yuko kwa ajili ya kila mwanaume. umeniudhi sana fala we,unakuwa na mawazo kama hanithi bwana
Nyie ndiyo vitombist hatare, ambao hamniumizagi kichwa. Ulivyomjinganjinga mtu usiyeelimika!
Hauwezi kuelewa mantiki kwa kuwa unaakili mgando zilizojaa ubinafsi. Sijazungumzia kuzini,kama unavyotoa povu kutetea hualka yako na tabia za kinafiki za sitaki nataka! Kuna sehemu nimesema kila mwanamke ni wa kuzini na kila mwanaume hapo? Unapokurupukia comment, jipange.
 
treni za nn wakati ni muda muhafaka kuzisubiri ndege nzetu
 
Ndugu Khartoum nimekaa miez kama tisa yaani amani hakuna...matukio ya kuchinjana ni kama uchepukaji Tanzania.....wao acheni wawe na hzo tern sisi tuko bize kujenga amani na treni zetu za enzi...naipenda Tanzania.
 
Tuna safari ndefu ya kwenda japo raslimali nyingi tumezitumia ovyo kwa kuingia mikataba mibovu na wawekezaji kisa viongozi wetu wanafaidika na hiyo mikataba na wako bize kujilimbikizia pesa wakazitumie kwenye nchi zao na sio Tanzania.
 
Sisi bado tunahakiki huku,

kuna wafanyakazi hawajui hata majina ya maheadmaster bana,hii haikubaliki
 
Back
Top Bottom