Treni ya umeme inakuja July 2017

Treni ya umeme inakuja July 2017

Nombeni jina la yule mtunzi wa wimbo huu " Naotaa naotaa nadanganywa ooh....🙄🙄🙄 yaani niumeupenda gafla tu
 
Treni ya Umeme inakuja July Mwakani, kulingana na maelezo yako
Reli ya kisasa itaanza kujengwa lini na itakamilika lini?
Waliotoa ahad ndio watajua reli itajengwa ln na wap
 
Tunashukuru kwa treni hii, kwani baada ya bomba la mafuta la Tanga-Ug kukamilika sasa ni zamu ya reli
 
Kila kitu kinawezekana, watanzania bado wana ile dhana waliyojengewa tangu awali kuwa Tanzania ni maskini, na hakuna linalowezekana nchini...

Kwa hiyo kwa sasa ndo serikali hii inawaambia kuwa kila kitu kinawekana, na wao hawaamini hadi waone...

Zile safari alizofanya JK. miaka 10 yake, Zaidi ya safari 400, pesa hizo zingefanya mambo makubwa sana chini
safari zake zilikua na maana tu. huyu anafanya walipoishia wenzake. barabara nchi nzima na madaraja yote sio mchezo. kujenga ofisi za wizara zote na idara mbalimbali za magorofa, sio mchezo. kumalizia uwanja wa wa taiffa na udom ambavyo viliachwa ktk hatua za awali sio mchezo. kuajiri na kulipa mishahara na kupandisha madaraja na mishahara sio mchezo. labda kwaku huyu haajiri na pia hapandishi madaraja wala mishahra. ila huo ni ubinafsi. kwakua yy yuko kwenye ugali, ndio maana hawaangalii wengine. wakati mwingine hata yy anatamani asafiri, ila kuna sabu zake binafsi(sio kwa ajili yetu sisi) zinamzuia. kila siku kuagiza makamu wake na wairi mkuu, kwani hizo sio safari za nje?
 
Itatumia umeme upi? Makaa ya mawe? Umeme wa mavi a.k.a biogas ? Au huu wa tanesco? Kuwen serioud bhana, kwa umeme upi ulionao?
 
Yote anayoyasema Rais J.P.M. yanawezekana kwa asilimia 70. Kinachotusumbua watanzania ni hali ya kujiona hatutaweza na kujiviisha umasikini kwa kufuata yale tu tulioambiwa na waliotutangulia na hasa wakoloni.Utasikia mtanzania anasema wazi wazi hata kabla hajatafakari kuwa: "sisi ngozi nyeusi hatuna tunaloliweza" au "sisi watanzania bado sana" hii utaisikia hata katika mambo ambayo tunaweza kufanya wenyewe.Ukiangalia maliasilia ya nchi hii ambazo hazijatumika kabisa kuzalisha mali ni nyingi kuliko zile tunazozitumia hivi sasa tena kwa kiwango cha chini kabisa.Mali zetu nyingi hazisimamiwi vizuri na hivyo kuwafaidisha wachache waliominiwa kuziendesha.Ufisadi,uzembe, kutokujali, masihara ndio yanayotugharimu na kushindwa kupiga hatua. Mimi naamini sana kuwa iwapo JPM ataendelea hivi bila kulegeza kamba, na hasa akizidisha usimamizi zaidi na kuwaadhibu wazembe wachache wanaotuharibia kama mchwa,nathubutu kusema miaka yake mitano ikiisha tutakuwa na maendeleo makubwa ambayo wengi wanayaona kama hayawezekani.
 
Anaweza naamini hata tuangusha, ila IDARA NYENGINE NAZO ZIBORESHWE TUNASOMA KWENYE MITANDAO KUWA DAWA HAMNA, OCEAN ROAD NA MUHIMBILI KUNA CHANGAMOTO ZA HAPA NA PALE, Kama ni kweli tunaomba Rais atupie jicho na huko...
 
Kila kitu kinawezekana, watanzania bado wana ile dhana waliyojengewa tangu awali kuwa Tanzania ni maskini, na hakuna linalowezekana nchini...

Kwa hiyo kwa sasa ndo serikali hii inawaambia kuwa kila kitu kinawekana, na wao hawaamini hadi waone...

Zile safari alizofanya JK. miaka 10 yake, Zaidi ya safari 400, pesa hizo zingefanya mambo makubwa sana chini

Mkuu ukishakuwa masikini na mawazo yako yanakuwa ya kimaskini.

Hata hizi ndege za Magufuli 80% (including baadhi ya viongozi wetu walikuwa hawaamini kwamba inawezekana). Na issue kubwa ni kupiga 10% urasimu wote ulikuwa ukifanywa kusudi watu wapige pesa. Uzuri Ngosha anajua deal za namna hii..atalala nao mbele.

We need to change our attitudes first. Swala la Train linawezekana sana. It is a matter of priority.
 
View attachment 408957

Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Pombe Magufuli imepanga kununua treni ya umeme inayotarajiwa kuwasilini nchini mwezi Juni, 2017.

Treni hiyo inatarajiwa kufanya safari katika jiji la Dar es Salaam. Rais Magufuli amesema serikali inauwezo wa kutekeleza ahadi hiyo kwa kuwa fedha za kununulia treni hiyo zipo.

Pia Rais Magufuli amesema serikali iko katika harakati za uboreshaji na ujenzi wa miundo mbinu ya usafiri, ikiweno ujenzi wa reli za kisasa kuanzia Dar es Salaam, Mwanza na nchi jirani ikiwemo ya Rwanda.

Vile vile serikali yake iko katika hatua za ujenzi wa daraja la kisasa litakalo anzia maeneo ya daraja la Sarenda litakalo pitia baharini.

Hadi sasa miradi mbalimbali ya ujenzi wa miundombinu inaendelea nchi nzima ikiwemo mradi wa barabara za juu (Flyover) maeneo ya Tazara.

Aidha, Dk. Magufuli amesema serikali yake iko katika hatua za kutengeneza na kuboresha miji yake ili iwe ya kisasa.
Rais alinambia nijivunie nchi yangu so najivunia lete hyo kitu baba presdaa
 
Hili linawezekana, ila watu mlivyokaa mnasema afanye kazi afanye kazi, labda swali langu kwenu, nyie mmekaa mnafanya nini? kujenga taifa ni kazi ya wananchi wote.
 
Treni ianzie Kibamba hadi Kariakoo na Posta. Lakini ni kweli rais atahama Dar kweli?
 
Sitaki kupinga ila kufanikisha hilo swala kwa hiyo timeline ni next to impossible, tutakuwa tunadanganyana tu

Ukizoea kudanganywa siku ukiambiwa ukweli utaona bado unadanganywa...Cha msingi anagalia record yake na hata kama hukumfuatilia hapo zamani basi angalia alichokitamka kibaya au kizuri kama hata kuna moja ameacha kulifanya...
 
Wale wapinzani wa kupinga Maendeleo yanayoletwa na Serikali ya CCM via JPM


Habari mbaya hii kwa wapinzani uchwara
 
Back
Top Bottom