Treni ya SGR yapata ajali asubuhi leo Oktoba 23, 2025 ikitokea Dar kuelekea Dodoma

Treni ya SGR yapata ajali asubuhi leo Oktoba 23, 2025 ikitokea Dar kuelekea Dodoma

Ponjoro wa Kinondoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
2,882
Reaction score
7,916
Treni ya Mwendokasi (SGR) imeripotiwa kuacha njia yake na kupata ajali katika eneo la Ruvu Mkoani Pwani asubuhi ya leo ikiwa inatokea Jijini Dar es salaam kuelekea Dodoma ambapo Abiria wawili walioongea na AyoTV wamesema hawajamuona yeyote aliyejeruhiwa isipokuwa ni hofu tu iliyowapata wachache.

“Haijafahamika chanzo ila treni imehama kwenye reli kama inavyoonekana kwenye video na picha, hatujaambiwa chochote ila kuna Viongozi na Maaskari wameanza kufika hapa sio mbali na hapa Stesheni Ruvu” - amesema mmoja wa Abiria hao. Msemaji wa Shirika la Reli (TRC) Fredy Mwanjala akizungumza na AyoTV kwa njia ya simu, amekiri kupokea taarifa za ajali hiyo ambapo tumemnukuu akisema “tumepokea hizo taarifa za Treni kupata ajali na kwa kuwa ndio kwanza tumezipata kwa sasa Mkurugenzi Mkuu na Katibu Mkuu wa Wizara wote tunaelekea eneo la tukio na tunatoa taarifa baadae baada ya kufanya tathmini ya kina na Wataalamu”

Soma Pia: TRC: Ajali imesababiswa na hitilafu za kiuendeshaji





Breaking News.Train ya SGR yapata ajali asubuhi leo 23.10.2025 #MO29 (2).webp

Breaking News.Train ya SGR yapata ajali asubuhi leo 23.10.2025 #MO29 (1).webp

Breaking News.Train ya SGR yapata ajali asubuhi leo 23.10.2025 #MO29.webp
IMG-20251023-WA0007.jpg
 
Treni ya Mwendokasi (SGR) imeripotiwa kuacha njia yake na kupata ajali katika eneo la Ruvu Mkoan.jpg

Treni ya Mwendokasi (SGR) imeripotiwa kuacha njia yake na kupata ajali katika eneo la Ruvu Mkoani Pwani asubuhi ya leo ikiwa inatokea Jijini Dar es salaam kuelekea Dodoma ambapo Abiria wawili walioongea na AyoTV wamesema hawajamuona yeyote aliyejeruhiwa isipokuwa ni hofu tu iliyowapata wachache.

“Haijafahamika chanzo ila treni imehama kwenye reli kama inavyoonekana kwenye video na picha, hatujaambiwa chochote ila kuna Viongozi na Maaskari wameanza kufika hapa sio mbali na hapa Stesheni Ruvu” - amesema mmoja wa Abiria hao. Msemaji wa Shirika la Reli (TRC) Fredy Mwanjala akizungumza na AyoTV kwa njia ya simu, amekiri kupokea taarifa za ajali hiyo ambapo tumemnukuu akisema “tumepokea hizo taarifa za Treni kupata ajali na kwa kuwa ndio kwanza tumezipata kwa sasa Mkurugenzi Mkuu na Katibu Mkuu wa Wizara wote tunaelekea eneo la tukio na tunatoa taarifa baadae baada ya kufanya tathmini ya kina na Wataalamu”​
 
Treni ya Mwendokasi (SGR) imeripotiwa kuacha njia yake na kupata ajali katika eneo la Ruvu Mkoani Pwani asubuhi ya leo ikiwa inatokea Jijini Dar es salaam kuelekea Dodoma ambapo Abiria wawili walioongea na AyoTV wamesema hawajamuona yeyote aliyejeruhiwa isipokuwa ni hofu tu iliyowapata wachache.

“Haijafahamika chanzo ila treni imehama kwenye reli kama inavyoonekana kwenye video na picha, hatujaambiwa chochote ila kuna Viongozi na Maaskari wameanza kufika hapa sio mbali na hapa Stesheni Ruvu” - amesema mmoja wa Abiria hao. Msemaji wa Shirika la Reli (TRC) Fredy Mwanjala akizungumza na AyoTV kwa njia ya simu, amekiri kupokea taarifa za ajali hiyo ambapo tumemnukuu akisema “tumepokea hizo taarifa za Treni kupata ajali na kwa kuwa ndio kwanza tumezipata kwa sasa Mkurugenzi Mkuu na Katibu Mkuu wa Wizara wote tunaelekea eneo la tukio na tunatoa taarifa baadae baada ya kufanya tathmini ya kina na Wataalamu”
Moderator unganisha uzi huu na ule wa ajali hii
 
Back
Top Bottom