Ufunguo
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 330
- 231
Treni lenye route ya stesheni mpaka Ubungo maziwa likiwa na mabehewa sita limewaacha abiria zaidi ya 1000 waliokua wakisubiri kupanda katika kituo cha kamata.abiria hao ambao wengi wao wametokea kariakoo wamesubiri treni hilo kwa muda wa Saa nzima treni limekuja toka stesheni likiwa tayari limejaa.nimeongea na baadhi ya abiria wamesema kuna umuhimu mkubwa wa mabehewa kuongezwa.nadhani TRL wamepiga mahesabu madogo sana.
Ndo ndege inaanza kupaa kaka, ikifika level watu wote watatulia. Vuta subira kijana.