Usafiri wa Treni wageuka Kero Dar

mkonowapaka

JF-Expert Member
Feb 19, 2010
1,493
767
Jana jioni nikaona si vibaya na mimi nikajisogeza kunako Stesheni nijionee hali halisi na jinsi ambavyo treni yetu imeweza kw akiasi kikubwa kutatua tatizo la usafiri.

mnamo saa 1 kamili ya jioni nilikua pale stesheni.Nilionyeshwa sehemu y akununulia Tiketi nikapata moja.

baada y akuingia ndani nilikutana na Treni ya Kigoma ambayo inapaki sambamba na treni ya ubungo-stesheni.Muongozaji alitoa muongozo tusijekujichanganya.


Idadi ya watu niliyokutana nayo pale sio chini ya watu 1000. na watu wliendelea kuongezeka kadri muda ulivyokua unasogea.

Treni ilifika mnamo saa 1.30 ikiwa tayari na abiria nilipochunguza nikaambiwa walipandia kituo cha kamata.Kati ya watu 1000 waliokua stesheni ni takribani watu 400 tu waliopata nafasi.

Hali ilikua ni ya kugombania kupita kiasi na watu kujazana kwenye treni kuliko hata za India......

tuliokata tiketi ikawa imekula kwetu.Mbaya zaidi izo tiketi sio rasmi kwa maana kwamba>zinaprintiwa na mashine za selcom then wanaikata mara tatu ile printout wana ipiga mhuri.Ile tiket moja ya selcom inakatwa zaidi ya mara 3 hadi 4........sidhani kama huo utaratibu upo official,otherwise ni hujuma.

Ombi: mabehewa yaongezwe hasa muda wa jioni.....
 
Inabidi mwakyembe afungue kituo cha kupokea maoni,kuh Treni zake za mjini,au aandike kwenye hizo treni zake namba za kupiga kama una maoni au malalamiko kuhusu huduma hiyo.
 
Hivi sijui Watanzania tumelogwa au ni nini! Huu usafiri umeanza juzi tu tayari mnakosoa as if kuna mtu aliyajua haya na anafanya makusudi.

Watu kujaa ni dalili tu ya muitikio na kwa kuwa hilo limeonekana basi litashughulikiwa. Ukitumia akili zako vyema utakubaliana na mimi kwamba kwa siku hizi za mwanzoni wapo ambao wataenda kupanda treni kwa ushabiki na kujifurahisha hata kama hawana safari.

Watu wa kusini na Kaskazini waliozaliwa miaka ya 85 kuja juu ni dhahiri wengi wao hawajawahi kupanda treni kwa hiyo wataona huu ndio wakati wao wa kuonja hio kitu na hilo halina kuwazuia.

Hebu jaribu kukaa kimya kidogo tuwape nafasi za kujipanga kwa kadiri mambo yanavyobadilika
 
Tatizo watanzania sio waelewa! ninachokumbuka mimi au kuelewa ni kuwa treni hizo zina siku 3 tu toka zimeanza safari, tena ni kwa mara ya kwanza kabisa Tanzania, hivyo changamoto lazima ziwepo!

nakumbuka tena waendeshaji wa mradi huo wamezungumza mara kadhaa (akiwemo Dr Mwakyembe) kuwa mwanzo utakuwa na changamoto nyingi ambazo inabidi tuzivumilie watanzania

Sasa nashangaa leo wewe mtanzania mwenzangu ambae sio muelewa unaanza kuorodhesha matatizo ya treni hizo, jamani hebu tubadilike mara nyingine tukubali mapungufu na tujipe matumaini yatarekebishika!

nafikiri kuwepo kwa tatizo ndio mwanzo wa kutatua tatizo.
 
Mbona wenzetu wakianzisha treni zao wanakuwa wameshazifikiria changamoto zote na kuzitatua kabla ya kazi kuanza. Sema akili zetu finyu tu. Tunajuwa kabisa kutakuwa kuna changamoto lakini hatuzitafutii ufumbuzi mpaka zitakapotokea wakati tuna uhakika zitatokea.

Nawalaumu waendeshaji na siwezi kumlaumu Mwakyembe, mwishowe watu watataka mpaka Mwakyembe ndio akaendeshe hizo treni, akakatishe tiketi, awapangie root na muda wa kuondoka na kufika, awapangie wafanyakazi.

Ni ujinga kuwawachia watu waliouwa treni ya kati kuendesha treni hiyo.
 
jana jioni nikaona si vibaya na mimi nikajisogeza kunako stesheni nijionee hali halisi na jinsi ambavyo treni yetu imeweza kw akiasi kikubwa kutatua tatizo la usafiri.

Mnamo saa 1 kamili ya jioni nilikua pale stesheni.nilionyeshwa sehemu y akununulia tiketi nikapata moja.

Baada y akuingia ndani nilikutana na treni ya kigoma ambayo inapaki sambamba na treni ya ubungo-stesheni.muongozaji alitoa muongozo tusijekujichanganya.


Idadi ya watu niliyokutana nayo pale sio chini ya watu 1000. Na watu wliendelea kuongezeka kadri muda ulivyokua unasogea.

Treni ilifika mnamo saa 1.30 ikiwa tayari na abiria nilipochunguza nikaambiwa walipandia kituo cha kamata.kati ya watu 1000 waliokua stesheni ni takribani watu 400 tu waliopata nafasi.

Hali ilikua ni ya kugombania kupita kiasi na watu kujazana kwenye treni kuliko hata za india......

Tuliokata tiketi ikawa imekula kwetu.mbaya zaidi izo tiketi sio rasmi kwa maana kwamba>zinaprintiwa na mashine za selcom then wanaikata mara tatu ile printout wana ipiga mhuri.ile tiket moja ya selcom inakatwa zaidi ya mara 3 hadi 4........sidhani kama huo utaratibu upo official,otherwise ni hujuma.

Ombi: Mabehewa yaongezwe hasa muda wa jioni.....

sawa mkuu
wasalimie mwananyamala huko
siku njema
 
Mbona wenzetu wakianzisha treni zao wanakuwa wameshazifikiria changamoto zote na kuzitatua kabla ya kazi kuanza. Sena akili zetu finyu tu. Tunajuwa kabisa kutakuwa kuna changamoto lakini hatuzitafutii ufumbuzi mpaka zitakapotokea wakati tuna uhakika zitatokea.

Nawalaumu waendeshaji na siwezi kumlaumu Mwakyembe, mwishowe watu watataka mpaka Mwakayembe ndio akaendeshe hizo treni, akakatishe tiketi, awapangie root na muda wa kuondoka na kufika, awapangie wafanyakazi.

Ni ujinga kuwawachia watu walouwa treni ya kati kuendesha treni hiyo.

We are always more reactive than proactive. That's what is happening, ule msemo wao wa upembuzi yakinifu mbona sijausikia katika mradi huu wa tren?. Hata hivyo hongera Mwakyembe kwa kuthubutu, wengine watajifunza from there umhimu wa kufanya tathmini ya awali and think outside of the box.
 
Kiukweli hii treni ikisimamiwa vizuri inaweza kuleta tija na si ajabu hata route zikaongezeka zaidi nina ukakika watu wanaotokea Tegeta na mbagala watahitaji sana huu usafiri...Mambo taratibu jamani Rome was not built in day!! Keep it up Mnyambala!.....mbombo nkafu fijo!!...mbibimbibi!!...
 
binadamu ni kiumbe mzito sana habebeki ,ni siku 2 tu mmeanza kulalama namna hiii hatutafika tunakoelekea .
 
tuwape muda hawa wenzetu badala ya kuanza kukosoa ndani ya muda huu mfupi tangu mradi huu kuanza.
 
Mimi mwenyewe sijawahi panda treni ndio muda muafa nitoke huku tegeta nijisogeze station nipande mpaka ubungo nione huwa ikoje humo.
 
Sema akili yako na MaCCM menzako ndio Finyu.

Second, kama hawajajitayarisha, kwanini wanaanza kwa amri ya kisiasa kutoka kwa Mwakembe?
kwanini Mwakembe asihakikishe kila kitu kimekuwa sawa kabla ya kuanza operations?

Au alikuwa anataka kupigiwa makofi hata kama Treni siku ya kwanza inazima njiani?

Acheni..:majani7::majani7::majani7: Nyie!
Mbona wenzetu wakianzisha treni zao wanakuwa wameshazifikiria changamoto zote na kuzitatua kabla ya kazi kuanza. Sena akili zetu finyu tu. Tunajuwa kabisa kutakuwa kuna changamoto lakini hatuzitafutii ufumbuzi mpaka zitakapotokea wakati tuna uhakika zitatokea.

Nawalaumu waendeshaji na siwezi kumlaumu Mwakyembe, mwishowe watu watataka mpaka Mwakayembe ndio akaendeshe hizo treni, akakatishe tiketi, awapangie root na muda wa kuondoka na kufika, awapangie wafanyakazi.

Ni ujinga kuwawachia watu walouwa treni ya kati kuendesha treni hiyo.
 
Mbona wenzetu wakianzisha treni zao wanakuwa wameshazifikiria changamoto zote na kuzitatua kabla ya kazi kuanza. Sena akili zetu finyu tu. Tunajuwa kabisa kutakuwa kuna changamoto lakini hatuzitafutii ufumbuzi mpaka zitakapotokea wakati tuna uhakika zitatokea.

Nawalaumu waendeshaji na siwezi kumlaumu Mwakyembe, mwishowe watu watataka mpaka Mwakayembe ndio akaendeshe hizo treni, akakatishe tiketi, awapangie root na muda wa kuondoka na kufika, awapangie wafanyakazi.

Ni ujinga kuwawachia watu walouwa treni ya kati kuendesha treni hiyo.

Akili finyu unazo wewe na aliyekulea, KOMA!

Si kila changamoto inafahamika kabla. Yapo ambayo yalitakiwa yashughulikiwe mwanzo lkn kubwa analoliongelea huyu muanzisha mada ni la kukurupuka.

Sasa hivi kuna rundo la wasafiri wasio rasmi wanatumia ile treni kwa hamu tu na wala hawana safari. The same ilitokea kwa Ferry ile mpya ya magogoni ilipowekwa majini kwa mara ya kwanza. Hawa wakishapungua, ndio idadi ya watu itajulikana, kwa sasa ni lawama za kijinga.

Hao wenzetu unaowasema wewe kuwa wakianzisha treni zao wanakuwa wameshazifikiria changamoto na kuzipatia ufumbuzi ni kina nani?


Sema walianza zamani, sasa kwa akili ya Kizombazomba unadhani waliamka wakaunga vyuma na kuanza kukwea. Tupo nyuma katika kila kitu, leo hii tuwalaumu wa treni.

Hao unaowaita wenzetu na wao madini yao yanaibiwa kwa peni kama yetu?
Hao unaowaita wenzetu na wao wana muda wa kupoteza kuandamana kipuuzi kama utakavyoandamana kesho au wako bize maofisini kuzalisha?
Hao unaowaita wenzetu na wao wanafunga shule zao za sekondari ili wanafunzi waende wakaandamane kwa mambo yasiyo na tija kwao?
Hao unaowaita wenzetu na wao wana watu kama wewe?
 
Jana jioni nikaona si vibaya na mimi nikajisogeza kunako Stesheni nijionee hali halisi na jinsi ambavyo treni yetu imeweza kw akiasi kikubwa kutatua tatizo la usafiri.

mnamo saa 1 kamili ya jioni nilikua pale stesheni.Nilionyeshwa sehemu y akununulia Tiketi nikapata moja.

baada y akuingia ndani nilikutana na Treni ya Kigoma ambayo inapaki sambamba na treni ya ubungo-stesheni.Muongozaji alitoa muongozo tusijekujichanganya.


Idadi ya watu niliyokutana nayo pale sio chini ya watu 1000. na watu wliendelea kuongezeka kadri muda ulivyokua unasogea.

Treni ilifika mnamo saa 1.30 ikiwa tayari na abiria nilipochunguza nikaambiwa walipandia kituo cha kamata.Kati ya watu 1000 waliokua stesheni ni takribani watu 400 tu waliopata nafasi.

Hali ilikua ni ya kugombania kupita kiasi na watu kujazana kwenye treni kuliko hata za India......

tuliokata tiketi ikawa imekula kwetu.Mbaya zaidi izo tiketi sio rasmi kwa maana kwamba>zinaprintiwa na mashine za selcom then wanaikata mara tatu ile printout wana ipiga mhuri.Ile tiket moja ya selcom inakatwa zaidi ya mara 3 hadi 4........sidhani kama huo utaratibu upo official,otherwise ni hujuma.

Ombi: mabehewa yaongezwe hasa muda wa jioni.....

Nimapema sana kuhukumu aidha imeshaelezwa kuwa kutakuwa nakero ndogondogo watu wavumiliye zaidi sana wakiona inalipa wataongeza mabehewa kwa muda huu tuwatiwe moyo hao walioanzisha huduma hii
 
Mbona wenzetu wakianzisha treni zao wanakuwa wameshazifikiria changamoto zote na kuzitatua kabla ya kazi kuanza. Sena akili zetu finyu tu. Tunajuwa kabisa kutakuwa kuna changamoto lakini hatuzitafutii ufumbuzi mpaka zitakapotokea wakati tuna uhakika zitatokea.

Nawalaumu waendeshaji na siwezi kumlaumu Mwakyembe, mwishowe watu watataka mpaka Mwakayembe ndio akaendeshe hizo treni, akakatishe tiketi, awapangie root na muda wa kuondoka na kufika, awapangie wafanyakazi.

Ni ujinga kuwawachia watu walouwa treni ya kati kuendesha treni hiyo.

duuuuu siamini kama ni wewe umeandika point hivi leo hongera sana
 
Akili finyu unazo wewe na aliyekulea, KOMA!

Si kila changamoto inafahamika kabla. Yapo ambayo yalitakiwa yashughulikiwe mwanzo lkn kubwa analoliongelea huyu muanzisha mada ni la kukurupuka.

Sasa hivi kuna rundo la wasafiri wasio rasmi wanatumia ile treni kwa hamu tu na wala hawana safari. The same ilitokea kwa Ferry ile mpya ya magogoni ilipowekwa majini kwa mara ya kwanza. Hawa wakishapungua, ndio idadi ya watu itajulikana, kwa sasa ni lawama za kijinga.

Hao wenzetu unaowasema wewe kuwa wakianzisha treni zao wanakuwa wameshazifikiria changamoto na kuzipatia ufumbuzi ni kina nani?


Sema walianza zamani, sasa kwa akili ya Kizombazomba unadhani waliamka wakaunga vyuma na kuanza kukwea. Tupo nyuma katika kila kitu, leo hii tuwalaumu wa treni.

Hao unaowaita wenzetu na wao madini yao yanaibiwa kwa peni kama yetu?
Hao unaowaita wenzetu na wao wana muda wa kupoteza kuandamana kipuuzi kama utakavyoandamana kesho au wako bize maofisini kuzalisha?
Hao unaowaita wenzetu na wao wanafunga shule zao za sekondari ili wanafunzi waende wakaandamane kwa mambo yasiyo na tija kwao?
Hao unaowaita wenzetu na wao wana watu kama wewe?

duuu ngoja nitafute maji ya kunywa kwanza!!!
 
Back
Top Bottom