Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,498
113,599
Wanabodi.

Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja?

Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo jambo lililofanyika bali bali unaliangalia kwa kujiuliza the motive behind jambo hili kufanyika jinsi hiyo lilivyofanyika ni nini? na matokeo ya muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu wa jambo hili ni nini? Ndipo unakuja na conclusion kama hii.

Jambo letu kwenye uzi huu ni ushindi wa CCM kwenye uchaguzi wa marudio wa madiwani kata 43.


Politics is a game of hide and seek and the changing variables, hivyo kwa mazingira ya sasa ya siasa za Tanzania ya Magufuli, wanasiasa karibu wote walioko upinzani, with very few exceptions, wenye uwezo wa kuona mbali kwa kusoma trends za kisiasa kwa kuangalia mwelekeo wa 2020, kwa matokeo haya, watakuwa wameishasoma mazingira yaliyopo na hali halisi ya siasa zetu za Tanzania na siasa za upinzani nchini katika kipindi hiki cha Tanzania ya Magufuli na their chances ya upinzani kushinda kata yoyote au jimbo lolote kuelekea 2020, hivyo, wenye kuona mbali, wameamua kufanya uamuz wa mapema kwa kuvihama vyama vyao sasa kwa kujiunga CCM!, ili ku secure their positions mapema badala ya kusubiri kifo hiyo 2020!

Hivyo kwa hali hii, kama kuna mtu yoyote anataka kuwa na future kwenye politics za Tanzania kuelekea 2020, then mtu huyo, atajiunga CCM now!. Uthibitisho ni matokeo ya uchaguzi huu wa madiwani wa kata 43 kwa jinsi CCM ilivyotetea kata zake zote, na kukomba kata zote zilizokuwa zinasikiliwa na upinzani kasoro moja.

Hivyo kwa wanasiasa wanauojua kutazama mbali kwa kusoma trends, then siasa za Tanzania kwa sasa, CCM ndio mpango mzima!, kama kuna mwanasiasa yoyote, au wowote, wanataka future ya politics ambao politics kwao sio past time baada ya kustaafu, au wito wa utumishi wa umma, bali politics kwao ni kama ajira yao ya kudumu na kukamata ulaji, kujitafunia keki ya taifa, chama cha kujiunga nacho ni CCM pekee!.

Hapa nazungumzia ukweli halisi wa kitu kilichopo, ambao unaweza kuwa ni ukweli mtamu kwa CCM na ukweli mchungu kwa wapinzani, bila kujalisha kama Tume yetu ya Uchaguzi ni tume huru, au la, na kama chaguzi zetu ni changuzi huru na za haki, hapa mimi nazungumzia matokeo ya mwisho tuu, ya kitu kilichotokea, ambacho ndicho kilichopo, ni CCM imeshinda!, bila kujalisha imeshindaje au imeshinda kwa mbinu gani, ziwe ni mbinu halali au haramu, CCM imeshinda kihalali kwa kufanya siasa safi, au kiharamu kwa kubebwa na wasimamizi wa uchaguzi, au upinzani umeshindwa kihalali kutokana na udhaifu wa kukosekana upinzani imara, ama upinzani umechezewa faulo za waziwazi, hapa mimi nazungumzia matokeo ya mwisho ya mshindi ni nani.

Aliyetangazwa mshindi ndiye aliyeshinda, na mshindi ni mshindi tuu, the winner takes it all, the looser standing small, aliyeshinda kashinda, ndiye mshindi na ni mshindi halali kwa mujibu wa kanuni ya "the end justify the means".

Wapinzani poleni sana!, CCM hongereni sana kwa ushindi huu, na hongereni kubwa in advance kwa chaguzi nyingine ndogo zitakazofuatia, na hongera kubwa zaidi in advance ni hongera ya uchaguzi wa serikali za mitaa mwakani, 2019 ambapo CCM itakomba kila mtaa na kila kata, lila kitongoji na kila kijiji na matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 ndio yatawafungua macho, wengi, hiki kitu mimi ninachokizungumzia humu kwa sasa, na matokeo ya uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 kwa Tanzania kutabadili kabisa structure ya mfumo wa vyama vingi kwa Tanzania kuwa ni nchi ya vyama vingi kwa sababu kiukweli Tanzania kuendelea kuitwa ni nchi ya vyama vingi jina tuu, lakini in actual facts, Tanzania post 2020, inakwenda kuwa ni nchi ya chama kimoja!, 2020, Tunakwenda kuijenga Tanzania mpya, Tanzania ya chama kimoja, Tanzania ya CCM tuu and only CCM!.

Hongera sana rais Magufuli kuturudishia Tanzania ya Nyerere kwa kuirudisha Tanzania yetu kuwa ni nchi ya chama kimoja cha siasa, CCM, hivyo baada ya 2020 kwa Tanzania kuwa nchi ya chama kimoja, (vyama vingi vina kelele nyingi), kazi itabaki ni moja tuu, kuleta maendeleo na tutapata maendeleo kama China. China ni nchi ya chama kimoja cha siasa na ina maendeleo makubwa, na sasa ndio inaelekea kutawala uchumi wa dunia, na sisi Tanzania we can follow its foot steps, tuna kila kitu cha kutuwezesha kutawala uchumi wa Africa Mashariki, uchumi wa SADC na uchumi wa Bara la Africa.

Viva Magufuli
Viva Tanzania
Mungu Ibariki Tanzania.

Jumatatu Njema.

Paskali
Rejea
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa ...

Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha ...


Jee Magufuli Anaimarisha CCM Au Anaua Upinzani?. Tunaelekea Nchi ya Chama Kimoja?.
Nini Mustakabali wa Upinzani TZ?

Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.


CHADEMA mjitafakari msiwabeze wahamaji, wana hoja za ...

Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible ...
 
Wanabodi.

Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja?

Politics is a game of hide and seek and a changing variables, hivyo kwa mazingira ya sasa ya Tanzania ya Magufuli, wanasiasa walioko upinzani, wenye uwezo wa kuona mbali kwa kusoma trends, wameishasoma mazingira yaliyopo na hali halisi ya siasa za upinzani nchini na their chances kuelekea 2020, hivyo wameamua kufanya uamuzi sasa kwa kujiunga CCM!.

Hivyo kwa hali hii, kama kuna mtu yoyote anataka kuwa na future kwenye politics za Tanzania kuelekea 2020, then atajiunga CCM!. Uthibitisho ni matokeo ya uchaguzi huu wa madiwani jinsi CCM ilivyotetea kata zake zote, na kukomba kata zote zilizokuwa zinasikiliwa na upinzani kasoro moja.

Hivyo kwa wanasiasa wanauojua kutazama mbali kwa kusoma trends, then CCM ndio mpango mzima, kama wanataka future ya politics kama ajira kukamata ulaji, chama cha kujiunga nacho ni CCM.

Hapa nazungumzia ukweli halisi ambao unaweza kuwa ni ukweli mtamu kwa CCM na ukweli mchungu kwa wapinzani, bila kujalisha kama Tume yetu ya Uchaguzi ni tume huru, au la, na kama chaguzi zetu ni changuzi huru na za haki, hapa mimi nazungumzia matokeo, kilichotokea, kilichopo, ni CCM imeshinda, bila kujalisha imeshindaje au kwa mbinu gani, mshindi ni mshindi tuu, the winner takes it all, na mshindi ni mshindi halali kwa kanuni ya the end justify the means.

Wapinzani poleni, CCM hongereni kuturudisha nchi ya chama kimoja.

Jumatatu Njema.

Paskali
Nadhani leo ni moja wapo ya siku ya furaha kwako!
 
Ccm ulikuwa inashindana na ccm

Bado narudia upinzani kikos chenu cha ulinzi kirudishen kiwe active

Chadema ililinda sana kura 2015 kurud nyuma

Huyu magufuli anaroho mbaya msimchekee
Vibaraka wake kina gambo, mnnyeti, makonda nk wakitenda unyama kwa upinzani yeye ndio raha kwake
 
Kaka pascal ni ngumu sana kwa CCM kurudisha majimbo yote

Hali ya CCM ni mbaya sana, na Pamoja na Jitihada za Mtukufu Rais kumbambana na Ufisadi, Rushwa nk, lakini nachelea kusema kuwa HAKUBALIKI, sio ndani wala nje ya CCM, kwa jitihada alizozifanya mtukufu raisi ule uchaguzi wa madiwani wala CCM wasingefanya kampeni, lakini matokeo yake nguvu kubwa sana imetumika
Kwa nini nasema ni Vigumu CCM kurudisha majinbo
1: Mtukufu Rais itambidi apambane sana na Hali yake, uoinzani kutoka chamani na nje, so hatakiwa na muda wa kuwaangalia watu wa chini kama aliokuwa nao sasa
2: uchaguzi wa Zanzibar, msimu uliopita Lowassa aliwababaisha sana ikafikia kipindi wakaisahau Zanzibar na hatimae Hamad akajitangaza Mshindi (Asante Jecha), so uchaguzi ujao CCM hawawezi kamwe kuisahau Zanzibar
3: Chadema sasa ina Wapenzi wa chama waliopo Royal kwa kiasi fulani, na tunalipima hilo kwa sababu pamoja na kuondoka kwa Zitto, Slaa nk, bado Chadema iliweza kujikusanyia Wabunge wengi zaidi, na Madiwani wengi mpaka kupelekea kushika baadhi ya Halmashauri kwenye miji mikubwa
 
Anayefanikisha hayo ni Mbowe na wafuasi wake. Hawataki facts.

Hata kama si hitaji ila mazingira ndo yanaonekana hivyo. Hakuna namna kusema mpango wa CCM umekamilika.

Ila sahizi, Nyalandu asiingizwe kwenye chungu. Tahadhali!!!!!!!!!!!!!!
Kurejea kwa mfumo wa chama kimoja si ndio hitaji lenu?

Hizi ghilba zote na hila si ni ili mbaki chama chenu pekee?

Basi na iwe hivyo kwa kuwa Hilo ni hitaji lenu kwa sasa.
 
Wanabodi.

Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja?

Politics is a game of hide and seek and a changing variables, hivyo kwa mazingira ya sasa ya Tanzania ya Magufuli, wanasiasa walioko upinzani, wenye uwezo wa kuona mbali kwa kusoma trends, wameishasoma mazingira yaliyopo na hali halisi ya siasa za upinzani nchini na their chances kuelekea 2020, hivyo wameamua kufanya uamuzi sasa kwa kujiunga CCM!.

Hivyo kwa hali hii, kama kuna mtu yoyote anataka kuwa na future kwenye politics za Tanzania kuelekea 2020, then atajiunga CCM!. Uthibitisho ni matokeo ya uchaguzi huu wa madiwani jinsi CCM ilivyotetea kata zake zote, na kukomba kata zote zilizokuwa zinasikiliwa na upinzani kasoro moja.

Hivyo kwa wanasiasa wanauojua kutazama mbali kwa kusoma trends, then CCM ndio mpango mzima, kama wanataka future ya politics kama ajira kukamata ulaji, chama cha kujiunga nacho ni CCM.

Hapa nazungumzia ukweli halisi ambao unaweza kuwa ni ukweli mtamu kwa CCM na ukweli mchungu kwa wapinzani, bila kujalisha kama Tume yetu ya Uchaguzi ni tume huru, au la, na kama chaguzi zetu ni changuzi huru na za haki, hapa mimi nazungumzia matokeo, kilichotokea, kilichopo, ni CCM imeshinda, bila kujalisha imeshindaje au kwa mbinu gani, mshindi ni mshindi tuu, the winner takes it all, na mshindi ni mshindi halali kwa kanuni ya the end justify the means.

Wapinzani poleni, CCM hongereni kuturudisha nchi ya chama kimoja.

Jumatatu Njema.

Paskali
Mku Paskali unasahau Siasa ni Itikadi na kama zilivyo itikadi ni imani kamili kama zilivyo imani zingine. Ukiniambia mtu anahamusha Itikadi kwa ajili ya maslahi ya muda mfupi na kwa wachache huo unaliona hili liko sawa kweli. Wakati huo kumbuka mtu yuko pale kwa maslahi yake huwa yana ukomo wakati kinyang'anyiri kinakaribia hata hili vuguvugu unaloliona ni juu ya muda husika. Mtu mwenye njaa sio wa kuaminika ktk mambo endelevu
 
I was expecting thread ya ku-CONDEMN what has been done by CCM kwenye Uchaguzi wa jana..

Ushindi wao wala sio sign ya kwamba wanafanya siasa zao vema na kwamba uchaguzi wa 2020 wanakwenda kushinda majimbo yote na kuturudisha kwenye zama za chama kimoja, absolutely NO..

Fanya uchaguzi shinda FAIRLY there is no problem..

Lakini aina ya Uchaguzi wa jana sio wa kuusifia na kusema kwamba CCM wanakwenda kushinda kwa kishindo 2020...

Watu hawa wanafanya rafu zote kuhalalisha ushindi sio wa kuwasifia hata kidogo.
 
What is your references? 2015!!!!!

Siasa zinabadilika kila saa kama upepo ndugu. Kinachoiua CHADEMA ni mafanikio yake ya 2015. Kuweni mchambuzi wa kisiasa na si shabiki wa vyama.
Kaka pascal ni ngumu sana kwa CCM kurudisha majimbo yote

Hali ya CCM ni mbaya sana, na Pamoja na Jitihada za Mtukufu Rais kumbambana na Ufisadi, Rushwa nk, lakini nachelea kusema kuwa HAKUBALIKI, sio ndani wala nje ya CCM, kwa jitihada alizozifanya mtukufu raisi ule uchaguzi wa madiwani wala CCM wasingefanya kampeni, lakini matokeo yake nguvu kubwa sana imetumika
Kwa nini nasema ni Vigumu CCM kurudisha majinbo
1: Mtukufu Rais itambidi apambane sana na Hali yake, uoinzani kutoka chamani na nje, so hatakiwa na muda wa kuwaangalia watu wa chini kama aliokuwa nao sasa
2: uchaguzi wa Zanzibar, msimu uliopita Lowassa aliwababaisha sana ikafikia kipindi wakaisahau Zanzibar na hatimae Hamad akajitangaza Mshindi (Asante Jecha), so uchaguzi ujao CCM hawawezi kamwe kuisahau Zanzibar
3: Chadema sasa ina Wapenzi wa chama waliopo Royal kwa kiasi fulani, na tunalipima hilo kwa sababu pamoja na kuondoka kwa Zitto, Slaa nk, bado Chadema iliweza kujikusanyia Wabunge wengi zaidi, na Madiwani wengi mpaka kupelekea kushika baadhi ya Halmashauri kwenye miji mikubwa
 
Tye tye tye
Kwa ushauri mzuri kwao ni Mugabe wa Bongo aondoke kwenye Uenyekiti
kuwa mwenyekiti wa chama cha upinzani sio Utemi
Awape nafasi wengine
na chama kiwe na Wakosoaji
kiwe na hoja hai.
Pia wakumbuke Sio watanzania wote wapo Jf au Fb na Insta

CCM hoyeeeeee
 
Wanabodi.

Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja?

Politics is a game of hide and seek and a changing variables, hivyo kwa mazingira ya sasa ya Tanzania ya Magufuli, wanasiasa walioko upinzani, wenye uwezo wa kuona mbali kwa kusoma trends, wameishasoma mazingira yaliyopo na hali halisi ya siasa za upinzani nchini na their chances kuelekea 2020, hivyo wameamua kufanya uamuzi sasa kwa kujiunga CCM!.

Hivyo kwa hali hii, kama kuna mtu yoyote anataka kuwa na future kwenye politics za Tanzania kuelekea 2020, then atajiunga CCM!. Uthibitisho ni matokeo ya uchaguzi huu wa madiwani jinsi CCM ilivyotetea kata zake zote, na kukomba kata zote zilizokuwa zinasikiliwa na upinzani kasoro moja.

Hivyo kwa wanasiasa wanauojua kutazama mbali kwa kusoma trends, then CCM ndio mpango mzima, kama wanataka future ya politics kama ajira kukamata ulaji, chama cha kujiunga nacho ni CCM.

Hapa nazungumzia ukweli halisi ambao unaweza kuwa ni ukweli mtamu kwa CCM na ukweli mchungu kwa wapinzani, bila kujalisha kama Tume yetu ya Uchaguzi ni tume huru, au la, na kama chaguzi zetu ni changuzi huru na za haki, hapa mimi nazungumzia matokeo, kilichotokea, kilichopo, ni CCM imeshinda, bila kujalisha imeshindaje au kwa mbinu gani, mshindi ni mshindi tuu, the winner takes it all, na mshindi ni mshindi halali kwa kanuni ya the end justify the means.

Wapinzani poleni, CCM hongereni kuturudisha nchi ya chama kimoja.

Jumatatu Njema.

Paskali
Tunaelekea kwa Mkongwe Robert Mugabe huku tukitumia njia tofauti. Midhali tungali tegemezi, tukijisahaulisha kwanini tulianzisha vyama vya upinzani (geresha) ama bila kupenda ili kukidhi matakwa ya wafadhili lakini vyama hivyo visivyopendwa vikageuka kuwa mwiba usiotarajiwa kwa waliokubali vianzishwe. Tunazidi kupoteza sifa ya kuwa na Demokrasia.
Narudia tena kutoa ushauri wa bure kwa watawala na viongozi wetu.
"ILI KULINDA UMOJA WETU NA AMANI VYAMA VYA SIASA TOFAUTI NA CCM VYOTE VIFUTWE" ili sote tuwe wazalendo na wenye uchungu na nchi.
 
I was expecting thread ya ku-CONDEMN what has been done by CCM kwenye Uchaguzi wa jana..

Ushindi wao wala sio sign ya kwamba wanafanya siasa zao vema na kwamba uchaguzi wa 2020 wanakwenda kushinda majimbo yote na kuturudisha kwenye zama za chama kimoja, absolutely NO..

Fanya uchaguzi shinda FAIRLY there is no problem..

Lakini aina ya Uchaguzi wa jana sio wa kuusifia na kusema kwamba CCM wanakwenda kushinda kwa kishindo 2020...

Watu hawa wanafanya rafu zote kuhalalisha ushindi sio wa kuwasifia hata kidogo.
Lin Upinzani wa nchi hii ukakubari kushindwa
na ukakubari Udhaifu wao!!

Sababu nyingi lakini Ukweli unabakia palepale
chama hakina Ajenda wala dira
 
CCM inaweza kuwa imeshinda jana lakini ijipime na ijitathmini je mbinu zake za ushindi zina athari gani kwa mustakbali wa Taifa?- Mungu ndiye anayejua.

Nahofia CCM isifanye mambo yatakayopelekea wananchi wakakosa imani na electoral process, ikifikia hapo

1. Watu watapuuza chaguzi

2. Watu wataanza kukosa uzalendo na nchi, mshikamano unaotokana na kuwasikiliza viongozi wao dhidi ya adui wa ndani na nje utakosekana kwa sababu watahisi viongozi hao hawana ridhaa ya kweli

3. Inaweza kuradicalize watu wakaanza kuhisi kutaka mabadiriko katika nchi kwa kutumia njia zisizo za kisheria.

Kwa kweli katika vitu vitakatifu katika mifumo ya kidemokrasia ni CHAGUZI zilizo huru na haki. Kutokucheza fairly katika chaguzi ni kuwadhulumu wananchi!. Kura ya mwananchi kwa taifa lake ina thamani kama ilivyo damu ya mashujaa wanaopigana kulinda Taifa hilo dhidi ya adui!
 
Tunaelekea kwa Mkongwe Robert Mugabe huku tukitumia njia tofauti. Midhali tungali tegemezi, tukijisahaulisha kwanini tulianzisha vyama vya upinzani (geresha) ama bila kupenda ili kukidhi matakwa ya wafadhili lakini vyama hivyo visivyopendwa vikageuka kuwa mwiba usiotarajiwa kwa waliokubali vianzishwe. Tunazidi kupoteza sifa ya kuwa na Demokrasia.
Narudia tena kutoa ushauri wa bure kwa watawala na viongozi wetu.
"ILI KULINDA UMOJA WETU NA AMANI VYAMA VYA SIASA TOFAUTI NA CCM VYOTE VIFUTWE" ili sote tuwe wazalendo na wenye uchungu na nchi.

Mugabe Tulisha kuwa nae bongo
simwingine naye ni Mbowe
Usituvuruge
 
Back
Top Bottom