mkaamweusi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2013
- 614
- 802
"kila siku inapofika mikononi mwako ifanye kama ndio siku yako ya mwisho katika dunia"
Hii inamaana gani,maana steve jobs mbunifu wa model ya apple devices,alipenda kuitumia na je,ina mchango gani katika kumfanya mwanadamu awe na maishe yenye mashiko?
Hii inamaana gani,maana steve jobs mbunifu wa model ya apple devices,alipenda kuitumia na je,ina mchango gani katika kumfanya mwanadamu awe na maishe yenye mashiko?