TRC huenda likawa shirika la kwanza kufa mara hii

2019

JF-Expert Member
Dec 31, 2018
2,982
4,457
Mods naomba msifute uzi huu kwa maslahi ya taifa kwa ujumla.

Kiukweli kwa hali jinsi inavyoenda miaka miwili itakuwa mingi treni ya Deluxe kutoka Dar kwenda Arusha itakufa. Kwa Kigoma sijajua maana ni wavumilivu sana, sio walalamishi

Tunakumbuka jinsi mwendazake (JPM) alivyotumia nguvu na bidii kufufua usafiri huu, jambo ambalo halikupendeza wamiliki wa mabasi na malori. Inasemekana wao ndio waliohujumu usafiri huu miaka ya nyuma, kwa hiyo kurudi kwake iliwakera sababu ingewapunguzia mapato.

WATENDAJI WA TRC NDIO WAJUMU WA SASA

Kinachoonekana ndani ya shirika la sasa watakaohujumu treni hii ni wafanyakazi na baadhi ya watendaji wengine.
1. Customer care mbovu kabisa, ni vile tu wanahesabu mshahara uko pale pale mwisho wa mwezi,unaweza kujibiwa kama unasafiri bure,hata kama network inasumbua majibu yao hayatoshelezi kabisa zaidi ya kero.

2. Mabehewa machafu sana, yani ukipanda kama una kinyaa lazma ujihisi vibaya sababu kila class utakayokaa hakuna yenye mvuto tena tofauti na mwanzo. Baffet (sehemu ya kula na kunywa) inawaingizia pesa lakini ni pachafu sana hata pazia zile za kuzuia wadudu wanaoruka usiku hakuna tena.

3. Second sleeping (behewa za kulala) kwa sasa unapewa shuka tu,hakuna mto,usivae nguo nyeupe ndugu yangu,kama una aleji na vumbi basi hata usingizi hutopata. Hakufai kabisa, kubwa zaidi ikifika saa 1 asubuhi muhudumu anakuja kuchukua shuka hata kama treni haijafika. (Kitendo hiki kinashangaza hata baadhi ya wahudumu wengine humo humo). Kuna wazungu wakinyang'anywa shuka walivyobaki kama wanyonge.

4. 🤣🤣Ukataji tiketi ndani ya treni yaani malipo sio kwa GePG tena. Hii nakumbuka ndio ilidhibiti wapigaji serikali ya Magufuli sasa naona wameamua kugawana mauzo kwa kisingizio cha mifumo inasumbua (network inasumbua) hapo binafsi sijajua itumike mbinu gani kama network itakuwa inasumbua.

Natamani kuandika mengi lakini mengine wadau muisaidie serikali yenu changa ya mama Samia kudhibiti uharamia huu.

USHAURI WANGU KWA SERIKALI
Shirika libaki kuhudumia reli chini ya serikali, lakini chonde chonde Treni ibinafsishwe ili umakini na maboresho ya mara kwa mara yawe yanafanyika.

Watumishi kwa sasa wanajipongeza kwa mauzo ya tiketi mkononi kwa hiyo wanaamua kiasi gani kiende serekalini na kiasi gani kibaki kwao.

Tanzania Railways Corp someni hapa kwa faida ya yenu na ya wote pia
 
Naungana na mtoa mada.. kuhusu ubinafsishaji wa huduma.

Pia gharama za usafirishaji mizigo zimekuwa sii rafiki ukilinganisha na malori.

Pia ni vizuri kuboresha madaraja ya wasafiri walao kuwe na behewa moja la daraja la kwanza. Nasema hivyo kwa sababu asilimia kubwa ya wasafiri wa daraja la pili wengi wanajiweza na wamekuwa wakiutumia usafiri huu kama sehemu ya utalii.

Ni vizuri pia kuanzisha ruti za mchana ili kuweza kufaidi vivutio mbali mbali vilivyoko njiani.
 
Inasemekana wao ndio waliohujumu usafiri huu miaka ya nyuma
Hizo ni stori tu, hilo shirika limepigwa na hao hao ccm, mkurugenzi anateuliwa kisiasa wajumbe wa bodi ni haohao wanapeana na kuhongana.

Baada ya mabarabara kuboreka watu wengi waluamua usafiri wa barabara kwa sababu ya uharaka

Wenye mizigo nao waliihama TRC kutokana na mizigo yao kuibiwa na kupotea bila kulipwa fidia

Mizigo ilikuwa inachelewa sana sana tuache kuwasingizia wafanya biashara wanaoteseka kila kukichwa.
 
Mods naomba msifute uzi huu kwa maslahi ya taifa kwa ujumla.

Kiukweli kwa hali jinsi inavyoenda miaka miwili itakuwa mingi treni ya Deluxe kutoka Dar kwenda Arusha itakufa. Kwa Kigoma sijajua maana ni wavumilivu sana, sio walalamishi

Tunakumbuka jinsi mwendazake (JPM) alivyotumia nguvu na bidii kufufua usafiri huu, jambo ambalo halikupendeza wamiliki wa mabasi na malori. Inasemekana wao ndio waliohujumu usafiri huu miaka ya nyuma, kwa hiyo kurudi kwake iliwakera sababu ingewapunguzia mapato.

WATENDAJI WA TRC NDIO WAJUMU WA SASA

Kinachoonekana ndani ya shirika la sasa watakaohujumu treni hii ni wafanyakazi na baadhi ya watendaji wengine.
1. Customer care mbovu kabisa, ni vile tu wanahesabu mshahara uko pale pale mwisho wa mwezi,unaweza kujibiwa kama unasafiri bure,hata kama network inasumbua majibu yao hayatoshelezi kabisa zaidi ya kero.

2. Mabehewa machafu sana, yani ukipanda kama una kinyaa lazma ujihisi vibaya sababu kila class utakayokaa hakuna yenye mvuto tena tofauti na mwanzo. Baffet (sehemu ya kula na kunywa) inawaingizia pesa lakini ni pachafu sana hata pazia zile za kuzuia wadudu wanaoruka usiku hakuna tena.

3. Second sleeping (behewa za kulala) kwa sasa unapewa shuka tu,hakuna mto,usivae nguo nyeupe ndugu yangu,kama una aleji na vumbi basi hata usingizi hutopata. Hakufai kabisa, kubwa zaidi ikifika saa 1 asubuhi muhudumu anakuja kuchukua shuka hata kama treni haijafika. (Kitendo hiki kinashangaza hata baadhi ya wahudumu wengine humo humo). Kuna wazungu wakinyang'anywa shuka walivyobaki kama wanyonge.

4. 🤣🤣Ukataji tiketi ndani ya treni yaani malipo sio kwa GePG tena. Hii nakumbuka ndio ilidhibiti wapigaji serikali ya Magufuli sasa naona wameamua kugawana mauzo kwa kisingizio cha mifumo inasumbua (network inasumbua) hapo binafsi sijajua itumike mbinu gani kama network itakuwa inasumbua.

Natamani kuandika mengi lakini mengine wadau muisaidie serikali yenu changa ya mama samia kudhibiti uharamia huu.

USHAURI WANGU KWA SERIKALI
Shirika libaki kuhudumia reli chini ya serikali, lakini chonde chonde Treni ibinafsishwe ili umakini na maboresho ya mara kwa mara yawe yanafanyika.

Watumishi kwa sasa wanajipongeza kwa mauzo ya tiketi mkononi kwa hiyo wanaamua kiasi gani kiende serekalini na kiasi gani kibaki kwao.

TRC someni hapa kwa faida ya yenu na ya wote piak
katajiiii tiketi ndani ya treni yaani malipo sio kwa GePG tena.

Hizo ni stori tu, hilo shirika limepigwa na hao hao ccm, mkurugenzi anateuliwa kisiasa wajumbe wa bodi ni haohao wanapeana na kuhongana.

Baada ya mabarabara kuboreka watu wengi waluamua usafiri wa barabara kwa sababu ya uharaka

Wenye mizigo nao waliihama TRC kutokana na mizigo yao kuibiwa na kupotea bila kulipwa fidia

Mizigo ilikuwa inachelewa sana sana tuache kuwasingizia wafanya biashara wanaoteseka kila kukichwa.
"Ukataji tiketi ndani ya treni yaani malipo sio kwa GePG tena" sasa ni dhahiri miradi alitoanzisha Magufuli inakufa.
 
Mods naomba msifute uzi huu kwa maslahi ya taifa kwa ujumla.

Kiukweli kwa hali jinsi inavyoenda miaka miwili itakuwa mingi treni ya Deluxe kutoka Dar kwenda Arusha itakufa. Kwa Kigoma sijajua maana ni wavumilivu sana, sio walalamishi

Tunakumbuka jinsi mwendazake (JPM) alivyotumia nguvu na bidii kufufua usafiri huu, jambo ambalo halikupendeza wamiliki wa mabasi na malori. Inasemekana wao ndio waliohujumu usafiri huu miaka ya nyuma, kwa hiyo kurudi kwake iliwakera sababu ingewapunguzia mapato.

WATENDAJI WA TRC NDIO WAJUMU WA SASA

Kinachoonekana ndani ya shirika la sasa watakaohujumu treni hii ni wafanyakazi na baadhi ya watendaji wengine.
1. Customer care mbovu kabisa, ni vile tu wanahesabu mshahara uko pale pale mwisho wa mwezi,unaweza kujibiwa kama unasafiri bure,hata kama network inasumbua majibu yao hayatoshelezi kabisa zaidi ya kero.

2. Mabehewa machafu sana, yani ukipanda kama una kinyaa lazma ujihisi vibaya sababu kila class utakayokaa hakuna yenye mvuto tena tofauti na mwanzo. Baffet (sehemu ya kula na kunywa) inawaingizia pesa lakini ni pachafu sana hata pazia zile za kuzuia wadudu wanaoruka usiku hakuna tena.

3. Second sleeping (behewa za kulala) kwa sasa unapewa shuka tu,hakuna mto,usivae nguo nyeupe ndugu yangu,kama una aleji na vumbi basi hata usingizi hutopata. Hakufai kabisa, kubwa zaidi ikifika saa 1 asubuhi muhudumu anakuja kuchukua shuka hata kama treni haijafika. (Kitendo hiki kinashangaza hata baadhi ya wahudumu wengine humo humo). Kuna wazungu wakinyang'anywa shuka walivyobaki kama wanyonge.

4. 🤣🤣Ukataji tiketi ndani ya treni yaani malipo sio kwa GePG tena. Hii nakumbuka ndio ilidhibiti wapigaji serikali ya Magufuli sasa naona wameamua kugawana mauzo kwa kisingizio cha mifumo inasumbua (network inasumbua) hapo binafsi sijajua itumike mbinu gani kama network itakuwa inasumbua.

Natamani kuandika mengi lakini mengine wadau muisaidie serikali yenu changa ya mama samia kudhibiti uharamia huu.

USHAURI WANGU KWA SERIKALI
Shirika libaki kuhudumia reli chini ya serikali, lakini chonde chonde Treni ibinafsishwe ili umakini na maboresho ya mara kwa mara yawe yanafanyika.

Watumishi kwa sasa wanajipongeza kwa mauzo ya tiketi mkononi kwa hiyo wanaamua kiasi gani kiende serekalini na kiasi gani kibaki kwao.

TRC someni hapa kwa faida ya yenu na ya wote pia
Ni TRL, TRC iliishapotea kwenye vitabu vya BRELA. Hizi Deluxe zinahitajika zaidi mikoa ya magharibi kusiko na barabara za lami kama Arusha na Moshi. Kuna tatizo la vipaumbele TRL, achilia mbali tabia ya wizi na udokozi kwa wafanyakazi.
 
Sema tu ni hakuna mfumo mzuri wa biashara lakin hao wenye mabasi wala hawakupaswa kufikia hatua ya kuhujumu! Wangeweza kufanya kazi vizuri na ndege ikafanyakazi vizuri na malori pia..
 
Ngumu kutenganisha fisi na mfupa!
Uganda nasikia Bakhressa ndiyo wanaendesha reli, wawekezaji, serikali inakula pensheni!
Hizi biashara serikali ingejenga miundo mbinu na kukodisha wawekezaji, waendeshe kwa kuingia tu ubia na wawekezaji, kama NMB, CRDB, UDART n.k. iwe inapewa tu dividend!

Hivi hivi ni aibu uwajibakaji mgumu!
Nilisafiri Dar Mwanza miaka miwili iliyopita 1st class nilijuta, na ilikuwa msimu wa mvua. Machafuuu sana mabehewa kama mabox ya tumbaku yaliyolowana, sikulala nilijiegesha safari nzima!

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Haya mashirika na makampuni ya Serikali yaorodheshwe kwenye soko la hisa ili hisa zinazomilikiwa na Serikali kwa asilimia mia zipunguzwe, Serikali kupitia soko la hisa iuze asilimia 20 hadi 40 kwa watu binafsi na taasisi za umma na za kiraia ili kuwe na namna bora ya kuwawajibisha wakurugenzi wa mashirika ya umma pale wanaposhindwa kuongoza kwa ufanisi.
 
Nafikiri TRC wapo humu mkuje hapa kuna mashitaka yenu!!! Na hawa ndo wadau wana wasaidieni kujua mapungufu ya watumishi wanu... Fanyieni kazi hayo mapungufu na mboreshe mazingira yabuzalishaji yani mabehewa, kitengo kinachohusika na safari, mkurugenzi wa operation acheni kukaa officen zungukeni na hizi treni mpate kujua mapungufu mboreshe
 
TRL na Air Tanzania kwa mfano, ni mashirika yanayohitaji pesa nyingi za kununulia mabehewa injini na ndege, hisa za makampuni haya zikiuzwa kwa wananchi, yule aliyenunua hisa hawezi kukubali kusikia uzembe kama huu mwisho wa mwaka!.
 
Mods naomba msifute uzi huu kwa maslahi ya taifa kwa ujumla.

Kiukweli kwa hali jinsi inavyoenda miaka miwili itakuwa mingi treni ya Deluxe kutoka Dar kwenda Arusha itakufa. Kwa Kigoma sijajua maana ni wavumilivu sana, sio walalamishi

Tunakumbuka jinsi mwendazake (JPM) alivyotumia nguvu na bidii kufufua usafiri huu, jambo ambalo halikupendeza wamiliki wa mabasi na malori. Inasemekana wao ndio waliohujumu usafiri huu miaka ya nyuma, kwa hiyo kurudi kwake iliwakera sababu ingewapunguzia mapato.

WATENDAJI WA TRC NDIO WAJUMU WA SASA

Kinachoonekana ndani ya shirika la sasa watakaohujumu treni hii ni wafanyakazi na baadhi ya watendaji wengine.
1. Customer care mbovu kabisa, ni vile tu wanahesabu mshahara uko pale pale mwisho wa mwezi,unaweza kujibiwa kama unasafiri bure,hata kama network inasumbua majibu yao hayatoshelezi kabisa zaidi ya kero.

2. Mabehewa machafu sana, yani ukipanda kama una kinyaa lazma ujihisi vibaya sababu kila class utakayokaa hakuna yenye mvuto tena tofauti na mwanzo. Baffet (sehemu ya kula na kunywa) inawaingizia pesa lakini ni pachafu sana hata pazia zile za kuzuia wadudu wanaoruka usiku hakuna tena.

3. Second sleeping (behewa za kulala) kwa sasa unapewa shuka tu,hakuna mto,usivae nguo nyeupe ndugu yangu,kama una aleji na vumbi basi hata usingizi hutopata. Hakufai kabisa, kubwa zaidi ikifika saa 1 asubuhi muhudumu anakuja kuchukua shuka hata kama treni haijafika. (Kitendo hiki kinashangaza hata baadhi ya wahudumu wengine humo humo). Kuna wazungu wakinyang'anywa shuka walivyobaki kama wanyonge.

4. 🤣🤣Ukataji tiketi ndani ya treni yaani malipo sio kwa GePG tena. Hii nakumbuka ndio ilidhibiti wapigaji serikali ya Magufuli sasa naona wameamua kugawana mauzo kwa kisingizio cha mifumo inasumbua (network inasumbua) hapo binafsi sijajua itumike mbinu gani kama network itakuwa inasumbua.

Natamani kuandika mengi lakini mengine wadau muisaidie serikali yenu changa ya mama samia kudhibiti uharamia huu.

USHAURI WANGU KWA SERIKALI
Shirika libaki kuhudumia reli chini ya serikali, lakini chonde chonde Treni ibinafsishwe ili umakini na maboresho ya mara kwa mara yawe yanafanyika.

Watumishi kwa sasa wanajipongeza kwa mauzo ya tiketi mkononi kwa hiyo wanaamua kiasi gani kiende serekalini na kiasi gani kibaki kwao.

TRC someni hapa kwa faida ya yenu na ya wote pia
Hoja zooote nimekubaliana na wewe lakini uliposema kwamba Shirika libnafsishwe umeharibu Mkuu. Kumbuka hapo shirika lilipo yaani TRC ni majuzi tu lilikuwa TRL likiwa chini ya Umiliki wa Wahindi. Huo ubinafsishaji ulisababisha Watumishi kukosa mishahara miezi 6, Mabehewa yalianza kuuzwa Vyuma Chakavu, Injini za Treni zilianza kuibwa na kwenda kuuzwa Zambia na South Afrika na hao hao Wahindi wawekezaji. Hakukuwa na maboresho wala matengenezo ya Uchakavu waliokuwa wakisababisha. Yaaani kwa kifupi hao waliochukua shirika walikuwa WEZI NA WANYANG'ANYI.
Shirika libaki kuwa mali ya Serikali ispokuwa kuwa tu Bodi na Menejimenti ya shirika kwa ujumla wajitazame.
 
Shirika likifa na wao wafe pia. Maana watazania wa sasa so wale wa zamani. Tumechoka kupigwa tu! Tutawatafuta popote walipo na kuwachoma moto kama wezi wengine tu!
 
Back
Top Bottom