Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,547
- 34,874
Natamani sana kufika Uturuki.... inshallah nitafanikiwaKhaaaa! ufuatilie tena?? badala ya kujiunga ukasafiri
Natamani sana kufika Uturuki.... inshallah nitafanikiwaKhaaaa! ufuatilie tena?? badala ya kujiunga ukasafiri
Basi next year mkuu Mungu akituweka ila nina imani by 2023 nitakuwa nimeenda mbali mnoTufanye dec
Yaani mtu unaanza kusave from jan
Dec ikiwepo pls uniambie mkuu
In shaa Allah. One day yes!Natamani sana kufika Uturuki.... inshallah nitafanikiwa
Yes!Basi next year mkuu Mungu akituweka ila nina imani by 2023 nitakuwa nimeenda mbali mno
Kila la kheri mkuu.Me ngoja nianze kwanza utalii wa ndani ya Tanzania maana mikoa kibao sijaikata.
S.A is worthy visiting.S.A haijawahi kuwa kwenye bucket list yangu kabisa.
Labda siku ntakayoenda kuchukua gari (may be).
Wewe hutaki kusafiri mkuu???
Sometimes mkiwa wengi ndio inakuwa fun.Hii safari nzuri sema mkiwa wengi sana itakuwa tabu kwenye kuzunguka huko S.A
Ajitokeze Mdada mmoja mzuri nimlipie usafiri pia hata kulala asijali ntakuwa nalala nae kwasiku zote huko S.A. 😆😆😅
thanksYou welcome bro
You gotta travel man
Ni kweli. Hoja nzuri hii, lakini ndio inaanza kipindi hichoJune SA sio winter? Kipindi cha baridi kwa mtu ambae hajazoea atachukia hio safari.
Issue ya xenophobia imenifanya niwaone wasouth watu makatili sana.S.A is worthy visiting.
Was my third country to visit and it's a place I could go back.
Hapa lengo ni kujaribu kushajihisha watu maana ninaposafiri then watu wengi huniuliza nimewezaje nimewezaje.
Na nimeiweka June because kwenye miezi ya mwisho wa mwaka probably ntakuwa na trip yangu na family huko mbali mbali
Hizi issue huwezi zikuta maeneo ya kueleweka kama sandton.Issue ya xenophobia imenifanya niwaone wasouth watu makatili sana.
Sidhani kama ntajiona nipo salama 100% nikiwa nchi kama hii.