D DENAMWE JF-Expert Member Dec 29, 2019 807 805 Sep 1, 2023 #1 Nahitaji kusafiri kwenda nchI kadhaa kwa siku 18. Nitasafiri kwa ndege na kwa meli. Nimeambiwa niandae Travel Insurance. Hii ikoje, umuhimu wake, inakopatikana na gharama zake. Karibuni mnijuze.
Nahitaji kusafiri kwenda nchI kadhaa kwa siku 18. Nitasafiri kwa ndege na kwa meli. Nimeambiwa niandae Travel Insurance. Hii ikoje, umuhimu wake, inakopatikana na gharama zake. Karibuni mnijuze.
Dr Matola PhD JF-Expert Member Oct 18, 2010 56,563 93,234 Sep 1, 2023 #2 Inategemea na airline, inaanzia USD 50 kama sikosei. Na kama hujui maana ya insurance Mimi sina namna ya kukusaidia labda uliza NHIF au wenye magari kwa nini wanakata insurance.
Inategemea na airline, inaanzia USD 50 kama sikosei. Na kama hujui maana ya insurance Mimi sina namna ya kukusaidia labda uliza NHIF au wenye magari kwa nini wanakata insurance.
D DENAMWE JF-Expert Member Dec 29, 2019 807 805 Sep 1, 2023 Thread starter #3 Dr Matola PhD said: Inategemea na airline, inaanzia USD 50 kama sikosei. Na kama hujui maana ya insurance Mimi sina namna ya kukusaidia labda uliza NHIF au wenye magari kwa nini wanakata insurance. Click to expand... Asante sana.
Dr Matola PhD said: Inategemea na airline, inaanzia USD 50 kama sikosei. Na kama hujui maana ya insurance Mimi sina namna ya kukusaidia labda uliza NHIF au wenye magari kwa nini wanakata insurance. Click to expand... Asante sana.