kilele pori
JF-Expert Member
- Aug 6, 2013
- 232
- 30
Funguka mkuu usijekula vilivyo chacha, hii fact ya kubalance pande za muungano mambo yanapokua magumu haina tija kwa taifa hili,tuangalie output ya mtu,anaweza kudeliver nini kutufikisha tunapotaka??Kweli kama pale CRDB umeona palivyokaa mkuu?!
Ukabila, Udini n.k,
Anyway nitakubaliana nawe baada ya Mkuu kufanya uteuzi wake,
Ndipo ntajua ulikuwa unamaanisha nini...!
Kwa sasa nakuacha kiporo.
Thats enough.