Golikipa anayetisha kwenye Kombe la Dunia mMexico Guillermo Ochoa (28) sasa yuko kwenye mazungumzo ya kujiunga na Barcelona. Timu za EPL zimeambiwa zisipoteze muda kumfuatilia.
View attachment 165750
da bora akaokoe jahazi
Golikipa anayetisha kwenye Kombe la Dunia mMexico Guillermo Ochoa (28) sasa yuko kwenye mazungumzo ya kujiunga na Barcelona. Timu za EPL zimeambiwa zisipoteze muda kumfuatilia.
View attachment 165750
Golikipa anayetisha kwenye Kombe la Dunia mMexico Guillermo Ochoa (28) sasa yuko kwenye mazungumzo ya kujiunga na Barcelona. Timu za EPL zimeambiwa zisipoteze muda kumfuatilia.
View attachment 165750
arsenali itaishia kuchukuwa kombe la FA na jinsi kikosi kilivyo hakina uwezo wa kupambana na timu kubwa . hata hiyo UEFA tunaingia tu ila sio kwa kuchukua kombe.Mzee Wenger amesema HANA MPANGO na mshambuliaji mtata wa AC Milan Mario Balotelli (23) kwani anaye kinda anayetisha Joel Campbell ambaye anarudi klabuni msimu ujao.
View attachment 167264
AC Milan imesema inataka kupunguza mzigo wa gharama za mishahara kufuatia msimu mbaya. Lakini inataka kitita cha £29.5m kumwachia Balotelli.
Arsenal inajipanga kumwaga £44m kuipiku ManUtd kumchukua kiungo anayetisha duniani kwa sasa - Arturo Vidal (27) wa Chile na Juventus. ManUtd iliweka day la £30m.
Athletic Bilbao imekataa kumuuza Ander Herrera. Hata hivyo Herrera atatumia kipengele kwenye mkataba wake kinachomruhusu kuunua mkataba wake (buyout) kwa £29m halafu aende kurejeshewa fedha zake na ManUtd.