Transfer vacancy request at ESS Utumishi

Kulingana na waraka wa katibu mkuu km mkuu wa taasisi hatapitisha kwa wakati mpka imeenda next stage itahesabika kwamba Ombi hilo amelilizia. Kwahy hapo kuwa na amani

Mkuu samahani ila si uandike vizuri tu?
 
Mkuu hongera aisee tangu lini
Hivi sijaeleweka Nini..! Mimi sijapata kibali mkuu but nimejaribu kuweka sawa kuwa ombi likikubaliwa inaandikwa GRANTED na sio Approved, nikaongeza kuwa ushuhuda huu ni kutoka na watu waliopata vibali japo nao walisubiri sana kama tunavyosubiri sisi hapa. Ina maana na Mimi ni miongoni mwa wale wanaosubiria vibali
Mwinyimadi
 
Good 👍
 
Mkuu ombi lako si linaenda miezi 7 sasa..?
Huwa nikiona watu kama wewe unasubiri kibali miezi 7 sasa.. Mimi langu lina wiki 4 nachoka kabisa🥲
Ndiyo mkuu. Bado navumilia na kuvuta subira.
 
Mkuu ombi lako si linaenda miezi 7 sasa..?
Huwa nikiona watu kama wewe unasubiri kibali miezi 7 sasa.. Mimi langu lina wiki 4 nachoka kabisa🥲
Mimi pia natamani lisifike hata miezi miwili, nipate kibali.
Tuendelee kuwa wavumilivu, maana naingia kwenye ESS kama dose kutwa mara 3 .
 
UTUMISHI. Nieleze cha kuangalia
hapo nahisi lazima kutakuwa na changamoto,kuna watu waliomba may,na walipata vibali kabla ya mwaka wa feza,uwezi jua kuna comments gani au maoni gani
 
miezi 7 au mwaka inaweza kutokea ila kwa UTUMISHI,mh hapo labda nafasi imesha jazwa
 
hapo nahisi lazima kutakuwa na changamoto,kuna watu waliomba may,na walipata vibali kabla ya mwaka wa feza,uwezi jua kuna comments gani au maoni gani
Si anasema hawajajibu chochote hivyo hawezi ona comments yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…