Transcript ya tuhuma alizozitoa Waitara dhidi ya Mbowe in word format

Ccm inawauma sana, mtego wao wa kwanza ulikuwa ni kuhakikisha Mbowe hapiti uenyekiti, sasa baada ya kushindwa na chadema kuvuka mtego. Huo hasira zao zikahamia kuiunga mkono NCCR ili niwe chama kikuu cha upinzani, lakini napo wanapata shida kwa sababu chama hicho hakiwezi kujijenga muda uliobaki ni mxhche sana. Mbowe kinachomsaidia ni ushushu wake, vinginevyo angeshapoteza siku nyingi kabla ya hata Lissu
 
hizo habari ziliandikwa sana na Gazeti la raia mwema kipindi cha uchaguzi mkuu mwaka 2015 juu ya pesa za wafadhili wa Japan kuingia kwenye akaunti binafsi.
Hizi ni tuhuma nzito ukichanganya na zile alizotoa Juakali ni vema Chadema wakazijibu kwa hoja badala ya kutoa kejeli
Sasa kama Chadema ndie mwizi unategemea ajibu nini? Lijualikali hajasema kitu kipya. Kwa vile accounting officers wa Chadema wa wakati ule wamehama chama basi wao wangeweka nyama kwenye hizi shutuma na kutaka hao wajapan walikuwa nani na uhusiano wao na Gwajima ni upi. Na kwa nini CAG hakuziona hizo pesa na kuziulizia. Sio wajibu wao kujibu kila kitu kinachoandikwa bila uthibitisho. Hasa na watu wanaonekana wazi wana personal grievances against chama chao.

Amandla...
 
Kinachonishangaza ni CHADEMA kuendelea kuwa hai hadi sasa maana tuliambiwa mauti yatakikuta kabla ya 2014. Nimezunguka jimbo nililopo kata zote zina watia nia wa Udiwani toka CDM zaidi ya 2, jimbo mpaka sasa linwaniwa na wanaCDM 4! Hiki chama kife basi tupumzike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DJ makengeza kwenye ubora Wake anatafuna tu ngawira za chama kiulaini hakuna wakuhoji atahoji Nani? Na walio takiwa kuhoji ni misukule haijielewi haina ufahamu!
 
Hakuna kitu kinawauma wanazi wa CCM kama CHADEMA kutojibu hizi tuhuma!! Mleta mada ana maumivu makubwa sana.

Kwa kuwa kinachotuhumiwa ni uhalifu, watu tusio na chama tungependa kuona mleta mada na Waitara wakiwnda kutoa taarifa Polisi ili hatua za kisheria zichukuliwe!!

Kujibu kwa CHADEMA kutachukuliwa kama utetezi usiokuwa na maana!!
Kumbuka pia amekuwepo miaka 20 na...sasa.

Kwa nini wewe unazungumzia uwenyekiti pekee?
Kuzishinda tuhuma ni kujitokeza na kujisafisha mwenyewe,
Umeona hapo kuna swala la M/kiti mkuu!! Mbowe ni msomi na mwanasiasa mkomavu Acha ajitetee, au hao wanaomzushia awapeleke Mahakamani, kwani haya mambo aspoangalia, yakizidi na kuzidi yanampunguzia kutokuaminika Kwa wanachama wasiojua unachokitetea
 
Ndugu zangu,

Hakuna mtu asiyemjua Waitara na utendaji wake (alikuwa mtu wa sera na utafiti Chadema), anakijua vizuri sana chama ndani na nje yake. He was really a young and hardworking political leader ndani ya chama, ndugu huyu alikisaidia sana chama katika harakati za kukijenga chini ya uratibu wa Dr. Slaa. Kama tuhuma hizitajibiwa, basi sitakuwa na mashaka na authenticity ya chanzo cha taarifa hizi. Nadhani, ni muda muafaka sasa kwa wanachama na wapenzi wa chadema, kwa maslahi mapana ya chama na taifa kwa ujumla, kufanya maamuzi magumu ili kujadili tuhuma hizi dhidi ya mwenyeketi. Litakuwa ni jambo la kinafiki, watu wanatoa tuhuma hizi, halafu viongozi waandamizi ndani ya chadema wanakaa kimya tu hakuna hatua zozote wanazozichukua.

Chama saizi kinapitia kipindi kigumu sana haijawahi kutokea, na katika kipindi hiki watu wenye nia njema na chama, wanatoa siri hizi ili umma usiojua ujue mambo mambaya yanayokipalalaizi chama. Nimsihi Mnyika, kama mtendaji mkuu wa chama, kwa cheo alichonacho, aite kikao cha kamati kuu, wajadili tuhuma hizi alizozitoa Waitara na Lijualikali pia. Haya ni mambo ya kutisha sana, na inasikitisha sana chama kuibiwa kwa kiwango hiki kikubwa.

Wakati nilipokuwa naziweka tuhuma hizi katika hali ya maandishi ili umma wa watanzania wausome kupitia jamiiforum, kwa tafsri yangu, kwa mkakati huu Mwenyekiti aliojiwekea, sijajua kama kutakuwa na mtu ndani ya chama, atakayeweza kumtoa Mbowe madarakani, kwa kiwango hichi ambacho chama amekitengnezea madeni ambayo kiujmla yake, hayataweza kulipika kwa muda mfupi, ataendelea kuwaaminisha wanachama ndiye anayekisaidia chama, kumbe anakiibia chama ili kuendelea kubaki madarakani.

Kwa mtanzamo wangu, hapo Mbowe hayupo kwa maslahi ya chama kama watu wanavyofikiria, ila yuko kwa ajili ya maslahi yake binafsi. Kwa mfano, hili la million 50 kwa kila mwezi, piga kwa miaka 5, ambayo ni sawa na miezi 60, atakuwa na jumla ya billion kama tatu hivi. Chukua mfano ikifika wakati wa uchaguzi, na chama hakina pesa za kutosha za kampeni, nirahisi sana kwake kusema akikopeshe chama, kumbe ndiyo ni pesa zile zile za chama, ila zimeibiwa kijanja. Kwa hiyo basi, deni litaendelea kuwa kubwa, na watu wataendelea kumuona anakisaidia chama, lakini kumbe siyo kweli.

Tunaendelea kuweka mikazo katika jambo hili, ili viongozi wachukue hatua madhubuti kwa ajili ya kukinusuru chama dhidi ya dhuruma kinachofanyiwa na mwenyeki na watu wake wa karibu. Si kwamba watu hawa hawajui, bali wanajua, lakini kwa kulinda maslahi yao, hawataki kuwa wajasiri, na kukemea mambo haya maovu

Pakua List iko kwenye kiambatanisho

Nawasilisha,

Kejuu: sitachoka kuweka msisitizo katika mambo ya msingi kama haya, kwa maslahi ya mapana ya wanachama na taifa kwa ujumla. Hutuwezi kuvumilia wizi wa kijinga kama huu, kwa kufanywa manyumbu tusiokuwa na uwezo wa kufikria. Hizi ni pesa za umma, za watanzania walipa kodi, hata kama siyo mwanachama wa Chadema, but this is truly an insult kwa chama na kwa watanzania kwa ujumla. Huu siyo muda wa kukaa kimya, ni muda wa kusimama na kuangaza


====
TUHUMA ZA MWITA WAITARA

List ya tuhuma kama alivyozielezea Waitara

  • Matumizi mambaya ya fedha
  • Mwaka 2014, Mbowe alileta kampuni kutoka Marekani iitwayo TRIPS (Sina uhakika kama nimeipatia), ili wafanye utafiti wa kufanya fundraising ili chadema ipate fedha za kutosha za kufanyia kapeni kuelekea mwaka wa uchaguzi 2015. Kampuni hii ililipwa Mil.500 TZS ili kusaidia kampeni za Mgombea uraisi, wabunge, na madiwani. Katika kipindi hicho, Mbowe alienda South Africa, Nigeria na Marekani, na fedha alilipwa Mil.500 cash. Ninavozungumza, aje mtu hapa wa chadema atuambie hizo fedha zilizolipwa na mbowe katika kampuni ya TRIP, wariraise kiasi gani? Na zilingia kiasi gani? Nazilingia kwenye account gani? Na zilimsaidia mgombea gani wa chadema mwaka 2015? You cannot find it anywhere,haipo kwenye vitabu vya chadema. Tunao makatibu wa kuu wakina Slaa waulizwe, wakina Dr. Mashinji waulizwe, wakina Antony Komu waliokuwa wakungurezi wa fedha kwa miaka 13 waulizwe. Hii hoja haijawahi kujibiwa.

  • Mbowe walikutana na akina mchungaji Gwajima. Wamekutana na Gwajima,na Dr. Slaa; Gwajima akaleta wafadhili kutoka Japan. Wakasema hawa wataleta magari kwa wagombea na PA (public anouncement) system, yaani vyombo vya kampeni kwa ajili ya matangazo, na wabunge walikuwa wanapewa vifaa hivyo wafanye kampeni. Kwahiyo, ukishinda ubunge ulikuwa unatakiwa uipe Mil.20 na unakabidhiwa hiyo gari na PA moja kwa moja. Ukishindwa, unauziwa kama asset ya kwako binafsi. Huu ndiyo mpango uliokuepo,na ikafanyika hivyo. Lakini, wakasema watatoa magari, wakaleta magari matatu tu: (a) gari aina ya prado, ukienda chadema pale, anatumia mwenyekiti wa Bavicha; (b) landcruser inayotumiwa na Bawacha, Halima Mdee; na (c) halafu kuna landcruser nyingine inatumika katika mambo ya utawala, ambayo mkurungezi wa fedha anaitumia. Matatu haya yalikuwa kama advance ya magari yatakokuja. Mbowe akasema,akipewa magari, kunashida ya makodikodi mengi na mzunguko nini nanini wakati wa kampeni. Kwahiyo wafanye nini? Apewe fedha cash, kwa hiyo alipewa fedha dola 270,000, laki mbili na sabini na wajapani. Hapa anaweza kuulizwa mchungaji Gwajima, anaweza kuuliwa Dr.Slaa, anapatikana, Komu na watu wengine. Waulize Chadema, hizi fedha ziliingia kwenye account gani? Kwenye vitabu gani? Maanake unazungumzia kwenye milioni 600 au 700 ukifanya calculation. Waulize hizi hela unaweza ukazisoma kwenye vitabu gani? Na zilifanya kazi gani? Watu walimuona hapa anakimbia na helicopter mwaka 2015, inaitwa caravan, alikodi yeye binafsi. Michango yote ambayo watu wote walichangia, madiwani, wabunge na mgombea uraisi, Mbowe alichukua hizo fedha, akakodi helicopter, akazunguka tu, anaweza akaja hapa, akaenda Dodoma, akaenda Moshi, Hai, mpaka uchaguzi ukaisha. Na ndiyo maana haya madeni ya kukodi helcopiter, alikuja akayaingiza pale chadema. Ndiyo maana Chadema ilipata hati chafu mwaka 2016/17. Yaani watu wanawataka vijana wagombee, ambao hawana fedha, unasema unawasaidia, unachangisha fedha kwa majina yao, halafu fedha hazionekani, na hii nayo ipo.

  • Tukiwa mwanza, alikuja na hoja, kwenye baraza kuu, ni maelezo ya mdomo, kuwa mimi wakati wa kampeni nimekopesha chama bilioni mbili, kwa mdomo tu. Ameshapanga wajumbe wa kamati kuu,wamekuja wamepiga posho, watu wameuliza, tulikuwa na timu ya kampeni, ambayo ni viongozi wapo. Hivi hawa: akina Komu, akina Benson Mramba, akina Malima, akina Mchele, ambayo ilikuwa timu ya kuratibu fedha ya Kampeni; hawa hivi walikukopesha kwa mkataba gani hizi fedha? Risiti iko wapi? Unaweza ukatoa fedha billion mbili bila maandishi kweli? Unakopesha chama, inawezekanaje? Walipohoji mpaka leo, wakamuuliza fedha ulipataje? Akajibu niliuza mali zangu, mali zako uliuza wapi? Mali zako zipi? Ziko wapi? Tuonyeshe nyumba uliyouza, gari n.k, hakuna mpaka leo. Hatimae walinegosheti ikashuka kutoka bilioni mbili mpaka million 700, akakubali. Unajua hizi fedha akaingia mkataba kuanzia mwaka 2016, kila mwezi analipwa million 50 mpaka tunapozungumza hapa. Kila ruzuku ikiingia, yeye million 50 za kwake iko pale. Kwahiyo, hata asipokuja bugeni, hata raisi halipwi million 50 kwa mwezi. Ndo maana nasema hana bei kwa sababu kwa mazingira aliyotengeneza pale chadema,mtu anapewa million 50, haina hata kodi, kwa kila mwezi, iko guaranteed. Kwanini ahangainke hapa bungeni kwa kulipwa laki mbili na ishirin kwa sitting, perdiem laki na ishirini? Hajawahi kwenda ziara yoyote ya viongozi. Umeshamuona mbowe ameenda ziara kama wabunge wengine? Ubunge siyo kuja kupata posho hapa, ubunge nikuisaidia nchi yako. Umeshamuona mbowe ziara na kamati ya bunge? Yeye ashapata pesa kupitia mikataba aliyoingia na chadema. Nijambo mojawapo ambalo linawahuzunisha sana viongozi wengi wa chadema: wabunge, wajumbe wa kamati kuu, ndo maana wengine wanaondoka. Wanaona kwamba tunatoka jasho sana, lakini mwenzetu anakula mno. Haya ndiyo mambo, ambayo kesho ukimuuliza, hawezi kusema.

  • Matumizi mabovu ya vyanzo vikuu vitatu vya mapato chadema: (a) ruzuku ya kila mwezi million 326 ukizidisha kwa miezi 60 (miaka mitano ya bunge), unapata billion 19.56; (b) wabunge viti maalumu, wako 36, wanalipa mil. 1.56 kila mwezi zidisha kwa miezi 60 ya bunge, unapata billion 3.2; na (c) wabunge wa majimbo, wanatoa 520,000 kila mwezi, ukizidisha kwa wabunge 26, unapata million 780. Jumla ya fedha zote hizo kwa miaka mitano ya bunge, ni billion 23.58. Acha madudu ya 2010, ukitaka kujua madudu ya mbowe na washirika wake, nenda ukamuulize Dr. Kitila Mkumbo alikuwa mwenyekiti wa kamati na Prof. Baregu wa kamati ya kampeni mwaka 2010, atakuambia hizi stori, ukimuuliza atacheka na kukuambia hakuna mtu hatari kama Mbowe. Hizi pesa ukijiuliza mpaka leo, makao makuu ya chadema umepanga mpaka leo, all these mapato, sehemu moja wamepanga, sehemu nyingine wamenunua. Kile kipande wamepanga, sehemu ile ambayo mambo ya pesa yanafanyika. Sehemu waliyonunua ina ofisi tatu tu, ile ya Mbowe na katibu mkuu ndo ofisi waliyonunua, kipande kingine kikubwa, cha wakurugenzi, cjui nani, zote pale wamepanga. Unapokea fedha kwa miaka mitano tu, billion 23.58, hujawahi kujenga makao makuu ya chama, hauna ofisi ya mkoa, na ofisi moja iliyoko ya kawaida sana Kigoma, amejenga Sabrina Sungura, juzi hapa wamemuita msaliti. Huyo dada ndiyo aliyejenga ofisi ya mkoa. Hakuna ofisi nyingine ya mkoa nchi nzima, hakuna ofisi ya wilaya. Siku moja tulikaa na Mzee Mtei, akasema, ningetamani kabla ya kufa, chama ambacho nilikiasis, nikitumia mshahara wangu, lakini leo chama kina mapato, angalau hata kaghorofa hapa makao makuu. Akasema, na mimi nitachangia, hiyo ajenda ilikufa mpaka kesho. Ukiuliza mambo haya, utakuwa unauliza mambo magumu, na unapewa majibu mepesi sana.

  • Mwaka 2015, mabango yalitengenezwa chadema. Kampuni iliyotengeneza inaitwa Milestone. Kampuni ya Milestone, ni kampuni ya shemeji yake na Mbowe. Na hawa walisema wanadai fedha billion mbili; lakini wakanegotiate, wakakubali kulipwa million 900, nawakaingia mkataba wakulipwa million 60 kila mwezi. Kampuni ya shemeji yake, ameleta bili ya billion mbili, lakini wakanegotiate, wakakubali kulipwa million 900. Unaweza kumuuliza hata Mashinji na Komu wanaweza kuthibitisha. Kwanza walidai billion mbili, halafu upunguze mpaka million 900. Unawezaje kudai billion mbili, halafu upunguze billion 1.1, kama ni kweli ni deni halisi, utashushaje bei hiyo? Kwahiyo wakaingia mkataba wakulipwa million 60 kwa mwezi. Haya maelezo yakaenda kwa kamati kuu, watu wakatengenezwa, wakatishwa, ukaingia mgawanyiko na nini, watu wakalidhia, watu wakapigwa hiyo hela. Sasa, yeye anadai million 750, analipwa million 50 kwa mwezi. Ukujumlisha million 115 anapeleka kwenye kanda, kuna makatibu wa kanda wamewateua, na wanalipwa mshahara kama million 1.5 hivi kwa mwezi. Kwenye kanda zote, nane bara nan mbili visiwani Zanzibar, jumla ni 10. Hizi fedha ukizipeleka kwenye kanda, hawa ni makatibu ambao mwenyekiti mwenyewe kateua. Kwenye ngazi ya mkoa, hawa ndio wajumbe wa sekretarieti ngazi ya taifa, mwenyekiti mwenyewe kateua. Ukichukua million 50 ya Mbowe, million 60 ya Milestone, ambaye alisupply mabango, ambayo hatujui aliweka wapi na wapi, jumla ni kama million 110 hivi. Million 90, inaishia hapo makao makuu, wakurungezi nani nani ivi, inaishia kama million 90 hivi. Kwa mjibu wa mahesabu haya, hela ya ruzuku inapoingia million 326, wanabaki kama na million 15-16 hivi, ndiyo inaendesha chama nchi nzima. Ukiona wabunge wanaambiwa toa hela, chama kimepalalaizi, kwasababu ya madeni ambayo yametengenezwa. Mambo haya, watu wakiyagundua, kwanini wasihame chama.

  • Mbowe ndiyo anayefanya manunuzi. Ndiyo anayeenda Dubai, anachapisha katiba, kanuni, ananunua magari, mabango na chochote kinachofanyika Chadema, Mbowe ndiye anayefanya. Mwenyekiti badala ya kusimamia manunizi, yeye ndiyo afisa manunuzi wa Chama. Yeye ndiye anayepanda ndege kwenda Dubai, hata ukimuuliza Slaa au mashinji. Ndo maana nirahisi yeye kuwaambia hii bei yake ni hii, kwa sababu ndiye aliyeenda site. Kwanini anatumia namna hii ya kumaliza fedha? It is a simple logical; kwasababu chadema pale ameshawaaminisha kuwa yeye ndiyo mwenye uwezo wa kukusanya fedha. Kwahiyo ruzuku lazima ipigwe kila mwezi iishe, hata mkutano mkuu jana walikopa pesa wanadaiwa, ukifika wakati wa uchaguzi, kampeni, anawambia yeye ndiye anayekisaidai chama. Kwahiyo, kwa umasikini ule wa chadema, na wanaharakati wale, Mbowe wanamuona kuwa yeye ndiyo Mungu, Mbowe ndiye anayekubalika, anaweza akawapa fedha wakafanya kapeni. Akiwaita Mkutano mkuu, wakati mko bize kusoma document, ndo mnapewa viposho vile, watu wametoka mikoani huko, wananjaa miaka mitano, hawajawahi kupata posho ya chama, wako bize, ukumbi anabaki mwenyewe anafanya maamuzi mambo yanaenda. Sasa hapa, Ikija wakati wa kampeni, anawakopesha chama, chama hakina hela; kama leo mnadaiwa pesa, kampeni mnafanyaje? Kwahiyo sasa na wakopesha pesa, na akisha wakopesha pesa, mnabakiwa na deni. Na anakopesha kiwango yeye anasema, na ampe nani yeye anajua. Hata wanaongea ongea bungeni hawa, ndo maana watu wanaamua kuhama, kwa sababu ukishaanzisha kumpiga tu hoja yake, inamaana huu mgao anaokuja kuuanzisha humu kuwa anakuja kukopesha, wewe hupati chochote, na atakata jina lako. Ili unusurike kugombea, na kunakamsaada kamekuja, utoe. Na kama kuna mtu kachangia chama, kama kawaida ya chama, ukienda CCM, utamtuma mweka hazina yupo maalumu kazi yake ni hiyo, kusema msemaji wa chama, yupo mwenezi, katibu mkuu ni mtendaji, mwenyekiti ni kuendesha vikao. Hiyo ni tofauti sana na chadema, mwenye chama ni Mbowe, na mbowe ndiyo mwenye maamuzi ya mwisho. Sasa watu wanakuwa hawasemi, kwasababu kama ukitaka kubaki chadema, ukisema unashughulikiwa, ndiyo maana watu wanabaki kimya, na ukisema unashughulikiwa. Kwanini watu husema mbona mkitoka ndo mnasema? Ukisema unawashwa, ndo maana Zito alisema atagombea uenyekiti akawashwa, Chachawangwe alisema akawashwa, wakina mkumbo wakawashwa, wakina Komu wakahojihoji wakawashwa.Katika mazingira haya, chadema hakuna uhuru, hakuna demokrasia and there is no freedom.

  • Fixed account ya Ecobank, yenye makato ya asilimia 10 ya wabunge wa jimba na asilimia 30 ya wabunge wa viti maalumu kama mfuko wa kampeni 2020, million 400 zilitumika kwa ajili ya matibabu ya Lisu. Lakini ikumbukwe ya kwamba, kwenye matibabu ya Lisu, michango ya wabunge, watanzania walitoa kwenye mitandao ya jamii. Ukumuliza Mbowe kuhusu makusanyo ya hizi pesa, inaonekana we waitara ni msaliti, umetumwa na serikali, ni ccm wewe. Kila aliyeuliza jambo hili, mbowe hajawahi sema, walipokea shilingi ngapi, na alizigawa line za kutuma hela kwa vijana wake anaowatrust. Katika fixed account hii, alikuja bwana (Mbowe) akaibua chadema investment, anajua kuna hela kwenye fixed account za 2020, aliibua hii hoja, kuwa anataka kuwekeza. Hawa wakina Lowasa, akina Mashinji, akina Sumaye, wakamwambia chama hakiwezi kufanya biashara, halafu hatuna business plan, msajili wa vyama hatoruhusu. Akajigeuza yeye akopeshwe fedha, kwahiyo mbowe amekopeshwa fedha million 400 fedha za ruzuku, kutoka kwenye fixed account ya fedha za kampeni mwaka huu 2020. Mlisikia kuna diwani alikatwa katwa mapanga kule kilombero, yule ndiyo alikuwa mdau wake, ndo alikuwa anasimamia mashamba, mali ya serikali, kupora mashamba ya watu, namengine na mengine. Mbowe, kwenye damu ile ya diwani, iko mikononi mwake, na hata kwenye msiba wake alienda. Hizi fedha, amenunua matrekta kwa majina yake, baadae imeenda enda, wamebadilsha majina na kuwa ya chadema. Sasa hizi hela, Ili kuondoa huu msala, ilibidi matrekta yaje kwenu, naile million 100, deni hilo ndo likafutwa. Kwahiyo deni hilo likaisha ambalo ni changa la macho. Matrekta mengine hayapo, lingine nasikia liko morogoro kwa shemeji yake, hivyo ndo vile deni likaisha. Hivyo ndo million 400 masikini wa Mungu zimepotea, uko hapo? Huyo ndiyo mbowe mnayemjua. Hayo ndiyo mambo usiyoyajua Chadema. Ukipiga mahesabu yahizi ninazokutajia, bado kunazingine kubwa, hapa kwanza niko kwenye sehemu ya robo.

  • Ameibuka nataka kununua magari 20 ya kampeni, chama kikope kwa ajili ya kampeni. Nilimsikia ndugu yangu Heche, tumenunua magari 20, mwambie alete document hapa, wamenunua magari 10 tu, nahizi hela ni deni, walikopa. Kulikuwa na ugomvi mkubwa sana kuhusu hili. Sekretarieti ilipokaa ikahoji, utakopaje hela ya kununulia magari 20, na hali hakuna pesa ya kuendeshea chama nakufanya shughuli mbalimbali? Umeleta chadema ni msingi, umetumia million 326 kwenye jimbo moja la ukonga, kumshughulika waitara. Unachukua watu kutoka DSM, ambayo ni timu yako, umeipeleka mikoani ambako ulikuwa unapiga jaramba kwenye mvua, na jua bila senti, hao waliopelekwa kujenga chama kule wanalipwa, wanachadema waliopelekwa mikoani huko wanaambiwa komaa kamanda,komaa kamanda, wanakomaa, jamaa huku wanakula hela. Ndo maana kuna ungomvi mkubwa sana, na diyo maana simbeye anazinguka na atawazoa, na nimemuelekeza walipo watu wa chadema, nendeni tunawagawana tu, nendeni N-CCR, njoo CCM. Na mimi ingekuwa siyo mambo ya corona, ilibidi tukusanye watu, watu wamechoka, unakomaaje umeshiba, na mwenzako ana njaa? Hii chadema ni msingi, imekipalalaizi chama, nayeye ndo kaileta, kaiforce na akatuma watu wake kwenye mikoa. Na mimi Ukonga, alikuja Ester Bulaya, amekuja Borniface Jacobo, aliyekuwa meya wa ubungo. Ukitajwa unamuunga mkona waitara, wewe ni mhaini. Amekuja kusimamia show mwenyewe, wajumbe wa kamati kuu, kuanzia wajumbe wa tawi, ili mimi nikiondolewa nguvu zote, ukienda kwenye uchaguzi, ile kamati hakuna anayekuunga mkono. Kwa hiyo unapigwa, halafu unamfuata mweshimiwa mwenyekiti, halafu anakupa mashariti, anakupa mashariti, ehe utanipinga? Aa aa, baba wewe mwamba, sikupingi tena, halafu anaticki. Anakuuliza tena, utanisema? Aa hapana, sitakusema, halafu ndiyo unateuliwa kwa kwa mkataba, halafu unaulizwa, million 50 utatoa? Ee nitatoa baba. Ndicho watu wanachofanyiwa hapo. Hivi tunavyozungumza leo, watu tayari wanalisti ya watu wa viti maalumu. Sasa baada ya kutoka akina Komu, akina Lwakatale, wameenda sasa hata secretarieti wameibadilisha, wameweka watu. Hizi fedha niseme, ukimuona Msigwa anaongea, Msigwa huwaga namuangalia, unajua mimi; niseme tu ukweli wa Mungu, mimi ni miongoni sana ya watu, niliowachukia sana akina Mbowe, kwasababu nilifanya kazi usiku na Mchana. Tulikuwa tunashindia mihongo, Msigwa nimemunadi mimi, Sugu nimemtengeneza mimi, hakuna mbunge hapo ukiacha Halima Mdee, ukiacha na Mnyika, ukiacha na Mbowe, na wale wabunge watano wa mwanzo, hakuna jimbo ambalo sikuenda. Mimi nimeshinda njaa Iringa, Mbeya, wapi kila mahali, nchi hii nilienda kila mahali; Nilkuwa mtu wa sera na utafiti, nilkuwa kamanda wa operasheni, nilikuwa mtu wa uenezi na propanga wa Chadema.

  • Hata waliposema hizi fedha wabunge wachange, hata Lisu kabla hajaumia, alikuwa hachangi hizi fedha lakin tano za kukatwa, alikuwa hachangi Lisu hata kabla ya kuja kuumia. Alikuja kumpa msamaha baada ya kuumia, Sugu hachangi hizi fedha, na hao ndiyo wabunge wa kamati kuu. Sugu hajawahi kuchangia hizi fedha, ambazo Mbowe alikopa million 800, million 400 ambazo alienda kumtibu Lisu, na million 400 ambazo ametumia kununua matrekta feki na mradi umekufa alikuwa hachangi. Ester Bulaya hachangi hizi fedha, Msigwa hachangi hizi fedha na Heche hachangi hizi fedha, hawa hawachangii. Lakini ukiona wakitoa mishipa kushughulikia wenzao, huwa kuna double standard. Sugu ni mjumbe wa kamati kuu, Bulaya ni mjumbe wa kamati kuu, Heche ni mjumbe wa kamati kuu, Msigwa ni mjumbe wa kamati kuu. Wajumbe wa kamati kuu, ambao wanasimamia katiba ya chadema, wao kwenye michango ya jumla ya wabunge, huwa hawachangi laki tano tano; sasa acha usichange wewe. Waliunda kamati ndogo hapa ya mzee Lowasa, anaweza akaitwa akasema, walimueleza kuwa wao na mambo mengi na mambo yao binafsi na mpaka kesho fedha hiyo hawajatoa. Lakini hawa ndiyo wapenzi wa Mbowe, ndiyo marafiki zake. Chama cha namna hiyo, ambacho mimi najua nachangishwa, mwenzangu hachangi, lakini kwenye kugombea ndiyo wanaopewa kipaumbele, ndiyo wasemaji, na ndiyo washauli. Ukiundwa kamati ndogo, ndiyo maana Heche kashindwa kule na Ester Matiko, kwenye kanda ya Serengeti, lakini Mbowe, kwakuwa Heche ni motto wake kipenzi, amemteua.

  • Hitimisho. Nilikuwa tu nasema, kunamgawanyiko mkubwa sana ndani ya Chadema, na hawa watu wakina Mwambe, akina Komu, Waitara na wengine; wengine walikataa kwakuona kwamba kuna double standard, hatuko tayari kutekeleza mambo ambayo tunayaona hayako sawa sawa na wengine na tunakuwa mradi wa mtu. Na haya mambo ndiyo yalimpelekea mpaka yakamkwaza na Dr. Mashinji. Ni mhimu mjuwe pia kuwa, tunaposema mambo haya, mjuwe ya kuwa, siyo yakutengeneza. Huyu mtu hayuko tayari kutumika kwa ajili ya wengi, hayuko tayari kusaidia watu wengine wazidi kukua. Na mimi nilikuwa nasema, kuna haja sasa ya wanachama wa chadema, vijana, akina mama na wazee, wasione kuwa tunaongea ongea tu. Na nilisema kwenye mambo ya korona nchi hii ni nzuri, na mtu huyu ana madhambi makubwa sana, ni mtu ambaye alipaswe aozee jera. Lakini mtu ambaye anaweza kusimama anahutubia taifa, nikamwangilia Mbowe, wasomi wakisema anachalenji, akinenda mahakama anaitukana, akienda polisi anatukana, ukifuatilia vyeti utakuta alipata zero form six, ukiangalia matumizi ya pesa ni mwizi tu, mambo mengi ya kughushi, haya madeni ya CAG aliona kwenye taarifa zake. Inawezekanaje kweli, Zito alikuwa mbaya, Mbowe ni mwema sana, alikuwepo hapa Kitila mkumbo mbaya sana, Mbowe ni mtu mzuri sana, mtu mwema, walikuwepo wakina samsoni mwigamba wao ni wambaya sana, ila Mbowe ni mwema, walikuepo akina Waitara, Mbowe ni mzuri wengine ni wambaya. Walikuwepo wakina marehemu chacha Wangwe, akina Kabulu, akina Dr. Slaa, akina Mwambe, akina Sumaye, akina Lowasa; kweli inawezekana kweli. Kama kuna mtume, au kijukuu cha mtume hapa Tanzania, nadhani atakuwa ni Mbowe, kwamba wewe umekaa miaka 20, hujawahi kuwa na makosa ya kufukuzwa, kazi yako nikufukuza wenzako, na kuwashughulikia, na unawambia watanzania mtu mwema sana yule, mtu msafi, hii inawezekana kweli? Katika hali ya kawaida, sidhani kuwa ni rahisi. Juzi hapa, Sumaye alionyesha interest ya kugombea uraisi, baada ya kuona mzee Lowasa amechoka, lakini aliona kwanza aanze na uenyekiti, lakini Mbowe alikuwa hajui kwamba Sumayi anataka kugombea uenyekiti taifa, na anampango wa kwenda mpaka uraisi, ndiyo maana walienda kumpitisha bila kupingwa agombee uraisi. Siku walipogundua, huyu anataka uenyekiti taifa, kilikaa kikao pale triple seven, msasani, na Mbowe mwenyewe alikuepo, Borniface Jacobo, Lucy makelele, wakasema lazima apigwe. Mwambe alikuwa kipenzi kukubwa sana cha Mbowe, alipotaka kugombea uenyekiti, akaitwa msaliti.
Rubbish
 
Kama Chadema imekufa kwanini nguvu kubwa bado inatumika!!
Ila hii nchi ni heri ya tope, imagine waziri anaelipwa kwa kodi za wananchi kutwa kulumbana na Chadema, waziri wa Elimu!
 
Ni kichaa tu ndo anaweza kuishabikia na kushobokea chadema. Chadema ni genge la wezi siku nyingi sijui kwanini Msajili wa vyama hakifuti Chama hiki cha wezi.
 
Bashite. Lengo lake ni kuona Watanzania wanakufa kwa korona! Utakufa Wewe na bosi wako! Humpati mtu kwenye hiyo corona festival, kiongozi mwendawazimu!
Mkuu uko nchi gani, huoni yanayoendelea? Tuombe Mungu, ile ajali ya lorry la mafuta pale Moro hata wapitanjia iliwalamba!
 
Ccm sasa inarusharusha miguu, inatafuta wa kumlalamikia kuwa alisababisha kifo chake. Kweli Mbowe ni Mwamba.
 
Ndugu zangu,

Hakuna mtu asiyemjua Waitara na utendaji wake (alikuwa mtu wa sera na utafiti Chadema), anakijua vizuri sana chama ndani na nje yake. He was really a young and hardworking political leader ndani ya chama, ndugu huyu alikisaidia sana chama katika harakati za kukijenga chini ya uratibu wa Dr. Slaa. Kama tuhuma hizitajibiwa, basi sitakuwa na mashaka na authenticity ya chanzo cha taarifa hizi. Nadhani, ni muda muafaka sasa kwa wanachama na wapenzi wa chadema, kwa maslahi mapana ya chama na taifa kwa ujumla, kufanya maamuzi magumu ili kujadili tuhuma hizi dhidi ya mwenyeketi. Litakuwa ni jambo la kinafiki, watu wanatoa tuhuma hizi, halafu viongozi waandamizi ndani ya chadema wanakaa kimya tu hakuna hatua zozote wanazozichukua.

Chama saizi kinapitia kipindi kigumu sana haijawahi kutokea, na katika kipindi hiki watu wenye nia njema na chama, wanatoa siri hizi ili umma usiojua ujue mambo mambaya yanayokipalalaizi chama. Nimsihi Mnyika, kama mtendaji mkuu wa chama, kwa cheo alichonacho, aite kikao cha kamati kuu, wajadili tuhuma hizi alizozitoa Waitara na Lijualikali pia. Haya ni mambo ya kutisha sana, na inasikitisha sana chama kuibiwa kwa kiwango hiki kikubwa.

Wakati nilipokuwa naziweka tuhuma hizi katika hali ya maandishi ili umma wa watanzania wausome kupitia jamiiforum, kwa tafsri yangu, kwa mkakati huu Mwenyekiti aliojiwekea, sijajua kama kutakuwa na mtu ndani ya chama, atakayeweza kumtoa Mbowe madarakani, kwa kiwango hichi ambacho chama amekitengnezea madeni ambayo kiujmla yake, hayataweza kulipika kwa muda mfupi, ataendelea kuwaaminisha wanachama ndiye anayekisaidia chama, kumbe anakiibia chama ili kuendelea kubaki madarakani.

Kwa mtanzamo wangu, hapo Mbowe hayupo kwa maslahi ya chama kama watu wanavyofikiria, ila yuko kwa ajili ya maslahi yake binafsi. Kwa mfano, hili la million 50 kwa kila mwezi, piga kwa miaka 5, ambayo ni sawa na miezi 60, atakuwa na jumla ya billion kama tatu hivi. Chukua mfano ikifika wakati wa uchaguzi, na chama hakina pesa za kutosha za kampeni, nirahisi sana kwake kusema akikopeshe chama, kumbe ndiyo ni pesa zile zile za chama, ila zimeibiwa kijanja. Kwa hiyo basi, deni litaendelea kuwa kubwa, na watu wataendelea kumuona anakisaidia chama, lakini kumbe siyo kweli.

Tunaendelea kuweka mikazo katika jambo hili, ili viongozi wachukue hatua madhubuti kwa ajili ya kukinusuru chama dhidi ya dhuruma kinachofanyiwa na mwenyeki na watu wake wa karibu. Si kwamba watu hawa hawajui, bali wanajua, lakini kwa kulinda maslahi yao, hawataki kuwa wajasiri, na kukemea mambo haya maovu

Pakua List iko kwenye kiambatanisho

Nawasilisha,

Kejuu: sitachoka kuweka msisitizo katika mambo ya msingi kama haya, kwa maslahi ya mapana ya wanachama na taifa kwa ujumla. Hutuwezi kuvumilia wizi wa kijinga kama huu, kwa kufanywa manyumbu tusiokuwa na uwezo wa kufikria. Hizi ni pesa za umma, za watanzania walipa kodi, hata kama siyo mwanachama wa Chadema, but this is truly an insult kwa chama na kwa watanzania kwa ujumla. Huu siyo muda wa kukaa kimya, ni muda wa kusimama na kuangaza


====
TUHUMA ZA MWITA WAITARA

List ya tuhuma kama alivyozielezea Waitara

  • Matumizi mambaya ya fedha
  • Mwaka 2014, Mbowe alileta kampuni kutoka Marekani iitwayo TRIPS (Sina uhakika kama nimeipatia), ili wafanye utafiti wa kufanya fundraising ili chadema ipate fedha za kutosha za kufanyia kapeni kuelekea mwaka wa uchaguzi 2015. Kampuni hii ililipwa Mil.500 TZS ili kusaidia kampeni za Mgombea uraisi, wabunge, na madiwani. Katika kipindi hicho, Mbowe alienda South Africa, Nigeria na Marekani, na fedha alilipwa Mil.500 cash. Ninavozungumza, aje mtu hapa wa chadema atuambie hizo fedha zilizolipwa na mbowe katika kampuni ya TRIP, wariraise kiasi gani? Na zilingia kiasi gani? Nazilingia kwenye account gani? Na zilimsaidia mgombea gani wa chadema mwaka 2015? You cannot find it anywhere,haipo kwenye vitabu vya chadema. Tunao makatibu wa kuu wakina Slaa waulizwe, wakina Dr. Mashinji waulizwe, wakina Antony Komu waliokuwa wakungurezi wa fedha kwa miaka 13 waulizwe. Hii hoja haijawahi kujibiwa.

  • Mbowe walikutana na akina mchungaji Gwajima. Wamekutana na Gwajima,na Dr. Slaa; Gwajima akaleta wafadhili kutoka Japan. Wakasema hawa wataleta magari kwa wagombea na PA (public anouncement) system, yaani vyombo vya kampeni kwa ajili ya matangazo, na wabunge walikuwa wanapewa vifaa hivyo wafanye kampeni. Kwahiyo, ukishinda ubunge ulikuwa unatakiwa uipe Mil.20 na unakabidhiwa hiyo gari na PA moja kwa moja. Ukishindwa, unauziwa kama asset ya kwako binafsi. Huu ndiyo mpango uliokuepo,na ikafanyika hivyo. Lakini, wakasema watatoa magari, wakaleta magari matatu tu: (a) gari aina ya prado, ukienda chadema pale, anatumia mwenyekiti wa Bavicha; (b) landcruser inayotumiwa na Bawacha, Halima Mdee; na (c) halafu kuna landcruser nyingine inatumika katika mambo ya utawala, ambayo mkurungezi wa fedha anaitumia. Matatu haya yalikuwa kama advance ya magari yatakokuja. Mbowe akasema,akipewa magari, kunashida ya makodikodi mengi na mzunguko nini nanini wakati wa kampeni. Kwahiyo wafanye nini? Apewe fedha cash, kwa hiyo alipewa fedha dola 270,000, laki mbili na sabini na wajapani. Hapa anaweza kuulizwa mchungaji Gwajima, anaweza kuuliwa Dr.Slaa, anapatikana, Komu na watu wengine. Waulize Chadema, hizi fedha ziliingia kwenye account gani? Kwenye vitabu gani? Maanake unazungumzia kwenye milioni 600 au 700 ukifanya calculation. Waulize hizi hela unaweza ukazisoma kwenye vitabu gani? Na zilifanya kazi gani? Watu walimuona hapa anakimbia na helicopter mwaka 2015, inaitwa caravan, alikodi yeye binafsi. Michango yote ambayo watu wote walichangia, madiwani, wabunge na mgombea uraisi, Mbowe alichukua hizo fedha, akakodi helicopter, akazunguka tu, anaweza akaja hapa, akaenda Dodoma, akaenda Moshi, Hai, mpaka uchaguzi ukaisha. Na ndiyo maana haya madeni ya kukodi helcopiter, alikuja akayaingiza pale chadema. Ndiyo maana Chadema ilipata hati chafu mwaka 2016/17. Yaani watu wanawataka vijana wagombee, ambao hawana fedha, unasema unawasaidia, unachangisha fedha kwa majina yao, halafu fedha hazionekani, na hii nayo ipo.

  • Tukiwa mwanza, alikuja na hoja, kwenye baraza kuu, ni maelezo ya mdomo, kuwa mimi wakati wa kampeni nimekopesha chama bilioni mbili, kwa mdomo tu. Ameshapanga wajumbe wa kamati kuu,wamekuja wamepiga posho, watu wameuliza, tulikuwa na timu ya kampeni, ambayo ni viongozi wapo. Hivi hawa: akina Komu, akina Benson Mramba, akina Malima, akina Mchele, ambayo ilikuwa timu ya kuratibu fedha ya Kampeni; hawa hivi walikukopesha kwa mkataba gani hizi fedha? Risiti iko wapi? Unaweza ukatoa fedha billion mbili bila maandishi kweli? Unakopesha chama, inawezekanaje? Walipohoji mpaka leo, wakamuuliza fedha ulipataje? Akajibu niliuza mali zangu, mali zako uliuza wapi? Mali zako zipi? Ziko wapi? Tuonyeshe nyumba uliyouza, gari n.k, hakuna mpaka leo. Hatimae walinegosheti ikashuka kutoka bilioni mbili mpaka million 700, akakubali. Unajua hizi fedha akaingia mkataba kuanzia mwaka 2016, kila mwezi analipwa million 50 mpaka tunapozungumza hapa. Kila ruzuku ikiingia, yeye million 50 za kwake iko pale. Kwahiyo, hata asipokuja bugeni, hata raisi halipwi million 50 kwa mwezi. Ndo maana nasema hana bei kwa sababu kwa mazingira aliyotengeneza pale chadema,mtu anapewa million 50, haina hata kodi, kwa kila mwezi, iko guaranteed. Kwanini ahangainke hapa bungeni kwa kulipwa laki mbili na ishirin kwa sitting, perdiem laki na ishirini? Hajawahi kwenda ziara yoyote ya viongozi. Umeshamuona mbowe ameenda ziara kama wabunge wengine? Ubunge siyo kuja kupata posho hapa, ubunge nikuisaidia nchi yako. Umeshamuona mbowe ziara na kamati ya bunge? Yeye ashapata pesa kupitia mikataba aliyoingia na chadema. Nijambo mojawapo ambalo linawahuzunisha sana viongozi wengi wa chadema: wabunge, wajumbe wa kamati kuu, ndo maana wengine wanaondoka. Wanaona kwamba tunatoka jasho sana, lakini mwenzetu anakula mno. Haya ndiyo mambo, ambayo kesho ukimuuliza, hawezi kusema.

  • Matumizi mabovu ya vyanzo vikuu vitatu vya mapato chadema: (a) ruzuku ya kila mwezi million 326 ukizidisha kwa miezi 60 (miaka mitano ya bunge), unapata billion 19.56; (b) wabunge viti maalumu, wako 36, wanalipa mil. 1.56 kila mwezi zidisha kwa miezi 60 ya bunge, unapata billion 3.2; na (c) wabunge wa majimbo, wanatoa 520,000 kila mwezi, ukizidisha kwa wabunge 26, unapata million 780. Jumla ya fedha zote hizo kwa miaka mitano ya bunge, ni billion 23.58. Acha madudu ya 2010, ukitaka kujua madudu ya mbowe na washirika wake, nenda ukamuulize Dr. Kitila Mkumbo alikuwa mwenyekiti wa kamati na Prof. Baregu wa kamati ya kampeni mwaka 2010, atakuambia hizi stori, ukimuuliza atacheka na kukuambia hakuna mtu hatari kama Mbowe. Hizi pesa ukijiuliza mpaka leo, makao makuu ya chadema umepanga mpaka leo, all these mapato, sehemu moja wamepanga, sehemu nyingine wamenunua. Kile kipande wamepanga, sehemu ile ambayo mambo ya pesa yanafanyika. Sehemu waliyonunua ina ofisi tatu tu, ile ya Mbowe na katibu mkuu ndo ofisi waliyonunua, kipande kingine kikubwa, cha wakurugenzi, cjui nani, zote pale wamepanga. Unapokea fedha kwa miaka mitano tu, billion 23.58, hujawahi kujenga makao makuu ya chama, hauna ofisi ya mkoa, na ofisi moja iliyoko ya kawaida sana Kigoma, amejenga Sabrina Sungura, juzi hapa wamemuita msaliti. Huyo dada ndiyo aliyejenga ofisi ya mkoa. Hakuna ofisi nyingine ya mkoa nchi nzima, hakuna ofisi ya wilaya. Siku moja tulikaa na Mzee Mtei, akasema, ningetamani kabla ya kufa, chama ambacho nilikiasis, nikitumia mshahara wangu, lakini leo chama kina mapato, angalau hata kaghorofa hapa makao makuu. Akasema, na mimi nitachangia, hiyo ajenda ilikufa mpaka kesho. Ukiuliza mambo haya, utakuwa unauliza mambo magumu, na unapewa majibu mepesi sana.

  • Mwaka 2015, mabango yalitengenezwa chadema. Kampuni iliyotengeneza inaitwa Milestone. Kampuni ya Milestone, ni kampuni ya shemeji yake na Mbowe. Na hawa walisema wanadai fedha billion mbili; lakini wakanegotiate, wakakubali kulipwa million 900, nawakaingia mkataba wakulipwa million 60 kila mwezi. Kampuni ya shemeji yake, ameleta bili ya billion mbili, lakini wakanegotiate, wakakubali kulipwa million 900. Unaweza kumuuliza hata Mashinji na Komu wanaweza kuthibitisha. Kwanza walidai billion mbili, halafu upunguze mpaka million 900. Unawezaje kudai billion mbili, halafu upunguze billion 1.1, kama ni kweli ni deni halisi, utashushaje bei hiyo? Kwahiyo wakaingia mkataba wakulipwa million 60 kwa mwezi. Haya maelezo yakaenda kwa kamati kuu, watu wakatengenezwa, wakatishwa, ukaingia mgawanyiko na nini, watu wakalidhia, watu wakapigwa hiyo hela. Sasa, yeye anadai million 750, analipwa million 50 kwa mwezi. Ukujumlisha million 115 anapeleka kwenye kanda, kuna makatibu wa kanda wamewateua, na wanalipwa mshahara kama million 1.5 hivi kwa mwezi. Kwenye kanda zote, nane bara nan mbili visiwani Zanzibar, jumla ni 10. Hizi fedha ukizipeleka kwenye kanda, hawa ni makatibu ambao mwenyekiti mwenyewe kateua. Kwenye ngazi ya mkoa, hawa ndio wajumbe wa sekretarieti ngazi ya taifa, mwenyekiti mwenyewe kateua. Ukichukua million 50 ya Mbowe, million 60 ya Milestone, ambaye alisupply mabango, ambayo hatujui aliweka wapi na wapi, jumla ni kama million 110 hivi. Million 90, inaishia hapo makao makuu, wakurungezi nani nani ivi, inaishia kama million 90 hivi. Kwa mjibu wa mahesabu haya, hela ya ruzuku inapoingia million 326, wanabaki kama na million 15-16 hivi, ndiyo inaendesha chama nchi nzima. Ukiona wabunge wanaambiwa toa hela, chama kimepalalaizi, kwasababu ya madeni ambayo yametengenezwa. Mambo haya, watu wakiyagundua, kwanini wasihame chama.

  • Mbowe ndiyo anayefanya manunuzi. Ndiyo anayeenda Dubai, anachapisha katiba, kanuni, ananunua magari, mabango na chochote kinachofanyika Chadema, Mbowe ndiye anayefanya. Mwenyekiti badala ya kusimamia manunizi, yeye ndiyo afisa manunuzi wa Chama. Yeye ndiye anayepanda ndege kwenda Dubai, hata ukimuuliza Slaa au mashinji. Ndo maana nirahisi yeye kuwaambia hii bei yake ni hii, kwa sababu ndiye aliyeenda site. Kwanini anatumia namna hii ya kumaliza fedha? It is a simple logical; kwasababu chadema pale ameshawaaminisha kuwa yeye ndiyo mwenye uwezo wa kukusanya fedha. Kwahiyo ruzuku lazima ipigwe kila mwezi iishe, hata mkutano mkuu jana walikopa pesa wanadaiwa, ukifika wakati wa uchaguzi, kampeni, anawambia yeye ndiye anayekisaidai chama. Kwahiyo, kwa umasikini ule wa chadema, na wanaharakati wale, Mbowe wanamuona kuwa yeye ndiyo Mungu, Mbowe ndiye anayekubalika, anaweza akawapa fedha wakafanya kapeni. Akiwaita Mkutano mkuu, wakati mko bize kusoma document, ndo mnapewa viposho vile, watu wametoka mikoani huko, wananjaa miaka mitano, hawajawahi kupata posho ya chama, wako bize, ukumbi anabaki mwenyewe anafanya maamuzi mambo yanaenda. Sasa hapa, Ikija wakati wa kampeni, anawakopesha chama, chama hakina hela; kama leo mnadaiwa pesa, kampeni mnafanyaje? Kwahiyo sasa na wakopesha pesa, na akisha wakopesha pesa, mnabakiwa na deni. Na anakopesha kiwango yeye anasema, na ampe nani yeye anajua. Hata wanaongea ongea bungeni hawa, ndo maana watu wanaamua kuhama, kwa sababu ukishaanzisha kumpiga tu hoja yake, inamaana huu mgao anaokuja kuuanzisha humu kuwa anakuja kukopesha, wewe hupati chochote, na atakata jina lako. Ili unusurike kugombea, na kunakamsaada kamekuja, utoe. Na kama kuna mtu kachangia chama, kama kawaida ya chama, ukienda CCM, utamtuma mweka hazina yupo maalumu kazi yake ni hiyo, kusema msemaji wa chama, yupo mwenezi, katibu mkuu ni mtendaji, mwenyekiti ni kuendesha vikao. Hiyo ni tofauti sana na chadema, mwenye chama ni Mbowe, na mbowe ndiyo mwenye maamuzi ya mwisho. Sasa watu wanakuwa hawasemi, kwasababu kama ukitaka kubaki chadema, ukisema unashughulikiwa, ndiyo maana watu wanabaki kimya, na ukisema unashughulikiwa. Kwanini watu husema mbona mkitoka ndo mnasema? Ukisema unawashwa, ndo maana Zito alisema atagombea uenyekiti akawashwa, Chachawangwe alisema akawashwa, wakina mkumbo wakawashwa, wakina Komu wakahojihoji wakawashwa.Katika mazingira haya, chadema hakuna uhuru, hakuna demokrasia and there is no freedom.

  • Fixed account ya Ecobank, yenye makato ya asilimia 10 ya wabunge wa jimba na asilimia 30 ya wabunge wa viti maalumu kama mfuko wa kampeni 2020, million 400 zilitumika kwa ajili ya matibabu ya Lisu. Lakini ikumbukwe ya kwamba, kwenye matibabu ya Lisu, michango ya wabunge, watanzania walitoa kwenye mitandao ya jamii. Ukumuliza Mbowe kuhusu makusanyo ya hizi pesa, inaonekana we waitara ni msaliti, umetumwa na serikali, ni ccm wewe. Kila aliyeuliza jambo hili, mbowe hajawahi sema, walipokea shilingi ngapi, na alizigawa line za kutuma hela kwa vijana wake anaowatrust. Katika fixed account hii, alikuja bwana (Mbowe) akaibua chadema investment, anajua kuna hela kwenye fixed account za 2020, aliibua hii hoja, kuwa anataka kuwekeza. Hawa wakina Lowasa, akina Mashinji, akina Sumaye, wakamwambia chama hakiwezi kufanya biashara, halafu hatuna business plan, msajili wa vyama hatoruhusu. Akajigeuza yeye akopeshwe fedha, kwahiyo mbowe amekopeshwa fedha million 400 fedha za ruzuku, kutoka kwenye fixed account ya fedha za kampeni mwaka huu 2020. Mlisikia kuna diwani alikatwa katwa mapanga kule kilombero, yule ndiyo alikuwa mdau wake, ndo alikuwa anasimamia mashamba, mali ya serikali, kupora mashamba ya watu, namengine na mengine. Mbowe, kwenye damu ile ya diwani, iko mikononi mwake, na hata kwenye msiba wake alienda. Hizi fedha, amenunua matrekta kwa majina yake, baadae imeenda enda, wamebadilsha majina na kuwa ya chadema. Sasa hizi hela, Ili kuondoa huu msala, ilibidi matrekta yaje kwenu, naile million 100, deni hilo ndo likafutwa. Kwahiyo deni hilo likaisha ambalo ni changa la macho. Matrekta mengine hayapo, lingine nasikia liko morogoro kwa shemeji yake, hivyo ndo vile deni likaisha. Hivyo ndo million 400 masikini wa Mungu zimepotea, uko hapo? Huyo ndiyo mbowe mnayemjua. Hayo ndiyo mambo usiyoyajua Chadema. Ukipiga mahesabu yahizi ninazokutajia, bado kunazingine kubwa, hapa kwanza niko kwenye sehemu ya robo.

  • Ameibuka nataka kununua magari 20 ya kampeni, chama kikope kwa ajili ya kampeni. Nilimsikia ndugu yangu Heche, tumenunua magari 20, mwambie alete document hapa, wamenunua magari 10 tu, nahizi hela ni deni, walikopa. Kulikuwa na ugomvi mkubwa sana kuhusu hili. Sekretarieti ilipokaa ikahoji, utakopaje hela ya kununulia magari 20, na hali hakuna pesa ya kuendeshea chama nakufanya shughuli mbalimbali? Umeleta chadema ni msingi, umetumia million 326 kwenye jimbo moja la ukonga, kumshughulika waitara. Unachukua watu kutoka DSM, ambayo ni timu yako, umeipeleka mikoani ambako ulikuwa unapiga jaramba kwenye mvua, na jua bila senti, hao waliopelekwa kujenga chama kule wanalipwa, wanachadema waliopelekwa mikoani huko wanaambiwa komaa kamanda,komaa kamanda, wanakomaa, jamaa huku wanakula hela. Ndo maana kuna ungomvi mkubwa sana, na diyo maana simbeye anazinguka na atawazoa, na nimemuelekeza walipo watu wa chadema, nendeni tunawagawana tu, nendeni N-CCR, njoo CCM. Na mimi ingekuwa siyo mambo ya corona, ilibidi tukusanye watu, watu wamechoka, unakomaaje umeshiba, na mwenzako ana njaa? Hii chadema ni msingi, imekipalalaizi chama, nayeye ndo kaileta, kaiforce na akatuma watu wake kwenye mikoa. Na mimi Ukonga, alikuja Ester Bulaya, amekuja Borniface Jacobo, aliyekuwa meya wa ubungo. Ukitajwa unamuunga mkona waitara, wewe ni mhaini. Amekuja kusimamia show mwenyewe, wajumbe wa kamati kuu, kuanzia wajumbe wa tawi, ili mimi nikiondolewa nguvu zote, ukienda kwenye uchaguzi, ile kamati hakuna anayekuunga mkono. Kwa hiyo unapigwa, halafu unamfuata mweshimiwa mwenyekiti, halafu anakupa mashariti, anakupa mashariti, ehe utanipinga? Aa aa, baba wewe mwamba, sikupingi tena, halafu anaticki. Anakuuliza tena, utanisema? Aa hapana, sitakusema, halafu ndiyo unateuliwa kwa kwa mkataba, halafu unaulizwa, million 50 utatoa? Ee nitatoa baba. Ndicho watu wanachofanyiwa hapo. Hivi tunavyozungumza leo, watu tayari wanalisti ya watu wa viti maalumu. Sasa baada ya kutoka akina Komu, akina Lwakatale, wameenda sasa hata secretarieti wameibadilisha, wameweka watu. Hizi fedha niseme, ukimuona Msigwa anaongea, Msigwa huwaga namuangalia, unajua mimi; niseme tu ukweli wa Mungu, mimi ni miongoni sana ya watu, niliowachukia sana akina Mbowe, kwasababu nilifanya kazi usiku na Mchana. Tulikuwa tunashindia mihongo, Msigwa nimemunadi mimi, Sugu nimemtengeneza mimi, hakuna mbunge hapo ukiacha Halima Mdee, ukiacha na Mnyika, ukiacha na Mbowe, na wale wabunge watano wa mwanzo, hakuna jimbo ambalo sikuenda. Mimi nimeshinda njaa Iringa, Mbeya, wapi kila mahali, nchi hii nilienda kila mahali; Nilkuwa mtu wa sera na utafiti, nilkuwa kamanda wa operasheni, nilikuwa mtu wa uenezi na propanga wa Chadema.

  • Hata waliposema hizi fedha wabunge wachange, hata Lisu kabla hajaumia, alikuwa hachangi hizi fedha lakin tano za kukatwa, alikuwa hachangi Lisu hata kabla ya kuja kuumia. Alikuja kumpa msamaha baada ya kuumia, Sugu hachangi hizi fedha, na hao ndiyo wabunge wa kamati kuu. Sugu hajawahi kuchangia hizi fedha, ambazo Mbowe alikopa million 800, million 400 ambazo alienda kumtibu Lisu, na million 400 ambazo ametumia kununua matrekta feki na mradi umekufa alikuwa hachangi. Ester Bulaya hachangi hizi fedha, Msigwa hachangi hizi fedha na Heche hachangi hizi fedha, hawa hawachangii. Lakini ukiona wakitoa mishipa kushughulikia wenzao, huwa kuna double standard. Sugu ni mjumbe wa kamati kuu, Bulaya ni mjumbe wa kamati kuu, Heche ni mjumbe wa kamati kuu, Msigwa ni mjumbe wa kamati kuu. Wajumbe wa kamati kuu, ambao wanasimamia katiba ya chadema, wao kwenye michango ya jumla ya wabunge, huwa hawachangi laki tano tano; sasa acha usichange wewe. Waliunda kamati ndogo hapa ya mzee Lowasa, anaweza akaitwa akasema, walimueleza kuwa wao na mambo mengi na mambo yao binafsi na mpaka kesho fedha hiyo hawajatoa. Lakini hawa ndiyo wapenzi wa Mbowe, ndiyo marafiki zake. Chama cha namna hiyo, ambacho mimi najua nachangishwa, mwenzangu hachangi, lakini kwenye kugombea ndiyo wanaopewa kipaumbele, ndiyo wasemaji, na ndiyo washauli. Ukiundwa kamati ndogo, ndiyo maana Heche kashindwa kule na Ester Matiko, kwenye kanda ya Serengeti, lakini Mbowe, kwakuwa Heche ni motto wake kipenzi, amemteua.

  • Hitimisho. Nilikuwa tu nasema, kunamgawanyiko mkubwa sana ndani ya Chadema, na hawa watu wakina Mwambe, akina Komu, Waitara na wengine; wengine walikataa kwakuona kwamba kuna double standard, hatuko tayari kutekeleza mambo ambayo tunayaona hayako sawa sawa na wengine na tunakuwa mradi wa mtu. Na haya mambo ndiyo yalimpelekea mpaka yakamkwaza na Dr. Mashinji. Ni mhimu mjuwe pia kuwa, tunaposema mambo haya, mjuwe ya kuwa, siyo yakutengeneza. Huyu mtu hayuko tayari kutumika kwa ajili ya wengi, hayuko tayari kusaidia watu wengine wazidi kukua. Na mimi nilikuwa nasema, kuna haja sasa ya wanachama wa chadema, vijana, akina mama na wazee, wasione kuwa tunaongea ongea tu. Na nilisema kwenye mambo ya korona nchi hii ni nzuri, na mtu huyu ana madhambi makubwa sana, ni mtu ambaye alipaswe aozee jera. Lakini mtu ambaye anaweza kusimama anahutubia taifa, nikamwangilia Mbowe, wasomi wakisema anachalenji, akinenda mahakama anaitukana, akienda polisi anatukana, ukifuatilia vyeti utakuta alipata zero form six, ukiangalia matumizi ya pesa ni mwizi tu, mambo mengi ya kughushi, haya madeni ya CAG aliona kwenye taarifa zake. Inawezekanaje kweli, Zito alikuwa mbaya, Mbowe ni mwema sana, alikuwepo hapa Kitila mkumbo mbaya sana, Mbowe ni mtu mzuri sana, mtu mwema, walikuwepo wakina samsoni mwigamba wao ni wambaya sana, ila Mbowe ni mwema, walikuepo akina Waitara, Mbowe ni mzuri wengine ni wambaya. Walikuwepo wakina marehemu chacha Wangwe, akina Kabulu, akina Dr. Slaa, akina Mwambe, akina Sumaye, akina Lowasa; kweli inawezekana kweli. Kama kuna mtume, au kijukuu cha mtume hapa Tanzania, nadhani atakuwa ni Mbowe, kwamba wewe umekaa miaka 20, hujawahi kuwa na makosa ya kufukuzwa, kazi yako nikufukuza wenzako, na kuwashughulikia, na unawambia watanzania mtu mwema sana yule, mtu msafi, hii inawezekana kweli? Katika hali ya kawaida, sidhani kuwa ni rahisi. Juzi hapa, Sumaye alionyesha interest ya kugombea uraisi, baada ya kuona mzee Lowasa amechoka, lakini aliona kwanza aanze na uenyekiti, lakini Mbowe alikuwa hajui kwamba Sumayi anataka kugombea uenyekiti taifa, na anampango wa kwenda mpaka uraisi, ndiyo maana walienda kumpitisha bila kupingwa agombee uraisi. Siku walipogundua, huyu anataka uenyekiti taifa, kilikaa kikao pale triple seven, msasani, na Mbowe mwenyewe alikuepo, Borniface Jacobo, Lucy makelele, wakasema lazima apigwe. Mwambe alikuwa kipenzi kukubwa sana cha Mbowe, alipotaka kugombea uenyekiti, akaitwa msaliti.

Sasa CAG na repoti zake ni za nini kama utaamini wajinga
 
Umemwaga ugoro mtupu hata kusoma inakuwa ni vigumu
Ndugu zangu,

Hakuna mtu asiyemjua Waitara na utendaji wake (alikuwa mtu wa sera na utafiti Chadema), anakijua vizuri sana chama ndani na nje yake. He was really a young and hardworking political leader ndani ya chama, ndugu huyu alikisaidia sana chama katika harakati za kukijenga chini ya uratibu wa Dr. Slaa. Kama tuhuma hizitajibiwa, basi sitakuwa na mashaka na authenticity ya chanzo cha taarifa hizi. Nadhani, ni muda muafaka sasa kwa wanachama na wapenzi wa chadema, kwa maslahi mapana ya chama na taifa kwa ujumla, kufanya maamuzi magumu ili kujadili tuhuma hizi dhidi ya mwenyeketi. Litakuwa ni jambo la kinafiki, watu wanatoa tuhuma hizi, halafu viongozi waandamizi ndani ya chadema wanakaa kimya tu hakuna hatua zozote wanazozichukua.

Chama saizi kinapitia kipindi kigumu sana haijawahi kutokea, na katika kipindi hiki watu wenye nia njema na chama, wanatoa siri hizi ili umma usiojua ujue mambo mambaya yanayokipalalaizi chama. Nimsihi Mnyika, kama mtendaji mkuu wa chama, kwa cheo alichonacho, aite kikao cha kamati kuu, wajadili tuhuma hizi alizozitoa Waitara na Lijualikali pia. Haya ni mambo ya kutisha sana, na inasikitisha sana chama kuibiwa kwa kiwango hiki kikubwa.

Wakati nilipokuwa naziweka tuhuma hizi katika hali ya maandishi ili umma wa watanzania wausome kupitia jamiiforum, kwa tafsri yangu, kwa mkakati huu Mwenyekiti aliojiwekea, sijajua kama kutakuwa na mtu ndani ya chama, atakayeweza kumtoa Mbowe madarakani, kwa kiwango hichi ambacho chama amekitengnezea madeni ambayo kiujmla yake, hayataweza kulipika kwa muda mfupi, ataendelea kuwaaminisha wanachama ndiye anayekisaidia chama, kumbe anakiibia chama ili kuendelea kubaki madarakani.

Kwa mtanzamo wangu, hapo Mbowe hayupo kwa maslahi ya chama kama watu wanavyofikiria, ila yuko kwa ajili ya maslahi yake binafsi. Kwa mfano, hili la million 50 kwa kila mwezi, piga kwa miaka 5, ambayo ni sawa na miezi 60, atakuwa na jumla ya billion kama tatu hivi. Chukua mfano ikifika wakati wa uchaguzi, na chama hakina pesa za kutosha za kampeni, nirahisi sana kwake kusema akikopeshe chama, kumbe ndiyo ni pesa zile zile za chama, ila zimeibiwa kijanja. Kwa hiyo basi, deni litaendelea kuwa kubwa, na watu wataendelea kumuona anakisaidia chama, lakini kumbe siyo kweli.

Tunaendelea kuweka mikazo katika jambo hili, ili viongozi wachukue hatua madhubuti kwa ajili ya kukinusuru chama dhidi ya dhuruma kinachofanyiwa na mwenyeki na watu wake wa karibu. Si kwamba watu hawa hawajui, bali wanajua, lakini kwa kulinda maslahi yao, hawataki kuwa wajasiri, na kukemea mambo haya maovu

Pakua List iko kwenye kiambatanisho

Nawasilisha,

Kejuu: sitachoka kuweka msisitizo katika mambo ya msingi kama haya, kwa maslahi ya mapana ya wanachama na taifa kwa ujumla. Hutuwezi kuvumilia wizi wa kijinga kama huu, kwa kufanywa manyumbu tusiokuwa na uwezo wa kufikria. Hizi ni pesa za umma, za watanzania walipa kodi, hata kama siyo mwanachama wa Chadema, but this is truly an insult kwa chama na kwa watanzania kwa ujumla. Huu siyo muda wa kukaa kimya, ni muda wa kusimama na kuangaza


====
TUHUMA ZA MWITA WAITARA

List ya tuhuma kama alivyozielezea Waitara

  • Matumizi mambaya ya fedha
  • Mwaka 2014, Mbowe alileta kampuni kutoka Marekani iitwayo TRIPS (Sina uhakika kama nimeipatia), ili wafanye utafiti wa kufanya fundraising ili chadema ipate fedha za kutosha za kufanyia kapeni kuelekea mwaka wa uchaguzi 2015. Kampuni hii ililipwa Mil.500 TZS ili kusaidia kampeni za Mgombea uraisi, wabunge, na madiwani. Katika kipindi hicho, Mbowe alienda South Africa, Nigeria na Marekani, na fedha alilipwa Mil.500 cash. Ninavozungumza, aje mtu hapa wa chadema atuambie hizo fedha zilizolipwa na mbowe katika kampuni ya TRIP, wariraise kiasi gani? Na zilingia kiasi gani? Nazilingia kwenye account gani? Na zilimsaidia mgombea gani wa chadema mwaka 2015? You cannot find it anywhere,haipo kwenye vitabu vya chadema. Tunao makatibu wa kuu wakina Slaa waulizwe, wakina Dr. Mashinji waulizwe, wakina Antony Komu waliokuwa wakungurezi wa fedha kwa miaka 13 waulizwe. Hii hoja haijawahi kujibiwa.

  • Mbowe walikutana na akina mchungaji Gwajima. Wamekutana na Gwajima,na Dr. Slaa; Gwajima akaleta wafadhili kutoka Japan. Wakasema hawa wataleta magari kwa wagombea na PA (public anouncement) system, yaani vyombo vya kampeni kwa ajili ya matangazo, na wabunge walikuwa wanapewa vifaa hivyo wafanye kampeni. Kwahiyo, ukishinda ubunge ulikuwa unatakiwa uipe Mil.20 na unakabidhiwa hiyo gari na PA moja kwa moja. Ukishindwa, unauziwa kama asset ya kwako binafsi. Huu ndiyo mpango uliokuepo,na ikafanyika hivyo. Lakini, wakasema watatoa magari, wakaleta magari matatu tu: (a) gari aina ya prado, ukienda chadema pale, anatumia mwenyekiti wa Bavicha; (b) landcruser inayotumiwa na Bawacha, Halima Mdee; na (c) halafu kuna landcruser nyingine inatumika katika mambo ya utawala, ambayo mkurungezi wa fedha anaitumia. Matatu haya yalikuwa kama advance ya magari yatakokuja. Mbowe akasema,akipewa magari, kunashida ya makodikodi mengi na mzunguko nini nanini wakati wa kampeni. Kwahiyo wafanye nini? Apewe fedha cash, kwa hiyo alipewa fedha dola 270,000, laki mbili na sabini na wajapani. Hapa anaweza kuulizwa mchungaji Gwajima, anaweza kuuliwa Dr.Slaa, anapatikana, Komu na watu wengine. Waulize Chadema, hizi fedha ziliingia kwenye account gani? Kwenye vitabu gani? Maanake unazungumzia kwenye milioni 600 au 700 ukifanya calculation. Waulize hizi hela unaweza ukazisoma kwenye vitabu gani? Na zilifanya kazi gani? Watu walimuona hapa anakimbia na helicopter mwaka 2015, inaitwa caravan, alikodi yeye binafsi. Michango yote ambayo watu wote walichangia, madiwani, wabunge na mgombea uraisi, Mbowe alichukua hizo fedha, akakodi helicopter, akazunguka tu, anaweza akaja hapa, akaenda Dodoma, akaenda Moshi, Hai, mpaka uchaguzi ukaisha. Na ndiyo maana haya madeni ya kukodi helcopiter, alikuja akayaingiza pale chadema. Ndiyo maana Chadema ilipata hati chafu mwaka 2016/17. Yaani watu wanawataka vijana wagombee, ambao hawana fedha, unasema unawasaidia, unachangisha fedha kwa majina yao, halafu fedha hazionekani, na hii nayo ipo.

  • Tukiwa mwanza, alikuja na hoja, kwenye baraza kuu, ni maelezo ya mdomo, kuwa mimi wakati wa kampeni nimekopesha chama bilioni mbili, kwa mdomo tu. Ameshapanga wajumbe wa kamati kuu,wamekuja wamepiga posho, watu wameuliza, tulikuwa na timu ya kampeni, ambayo ni viongozi wapo. Hivi hawa: akina Komu, akina Benson Mramba, akina Malima, akina Mchele, ambayo ilikuwa timu ya kuratibu fedha ya Kampeni; hawa hivi walikukopesha kwa mkataba gani hizi fedha? Risiti iko wapi? Unaweza ukatoa fedha billion mbili bila maandishi kweli? Unakopesha chama, inawezekanaje? Walipohoji mpaka leo, wakamuuliza fedha ulipataje? Akajibu niliuza mali zangu, mali zako uliuza wapi? Mali zako zipi? Ziko wapi? Tuonyeshe nyumba uliyouza, gari n.k, hakuna mpaka leo. Hatimae walinegosheti ikashuka kutoka bilioni mbili mpaka million 700, akakubali. Unajua hizi fedha akaingia mkataba kuanzia mwaka 2016, kila mwezi analipwa million 50 mpaka tunapozungumza hapa. Kila ruzuku ikiingia, yeye million 50 za kwake iko pale. Kwahiyo, hata asipokuja bugeni, hata raisi halipwi million 50 kwa mwezi. Ndo maana nasema hana bei kwa sababu kwa mazingira aliyotengeneza pale chadema,mtu anapewa million 50, haina hata kodi, kwa kila mwezi, iko guaranteed. Kwanini ahangainke hapa bungeni kwa kulipwa laki mbili na ishirin kwa sitting, perdiem laki na ishirini? Hajawahi kwenda ziara yoyote ya viongozi. Umeshamuona mbowe ameenda ziara kama wabunge wengine? Ubunge siyo kuja kupata posho hapa, ubunge nikuisaidia nchi yako. Umeshamuona mbowe ziara na kamati ya bunge? Yeye ashapata pesa kupitia mikataba aliyoingia na chadema. Nijambo mojawapo ambalo linawahuzunisha sana viongozi wengi wa chadema: wabunge, wajumbe wa kamati kuu, ndo maana wengine wanaondoka. Wanaona kwamba tunatoka jasho sana, lakini mwenzetu anakula mno. Haya ndiyo mambo, ambayo kesho ukimuuliza, hawezi kusema.

  • Matumizi mabovu ya vyanzo vikuu vitatu vya mapato chadema: (a) ruzuku ya kila mwezi million 326 ukizidisha kwa miezi 60 (miaka mitano ya bunge), unapata billion 19.56; (b) wabunge viti maalumu, wako 36, wanalipa mil. 1.56 kila mwezi zidisha kwa miezi 60 ya bunge, unapata billion 3.2; na (c) wabunge wa majimbo, wanatoa 520,000 kila mwezi, ukizidisha kwa wabunge 26, unapata million 780. Jumla ya fedha zote hizo kwa miaka mitano ya bunge, ni billion 23.58. Acha madudu ya 2010, ukitaka kujua madudu ya mbowe na washirika wake, nenda ukamuulize Dr. Kitila Mkumbo alikuwa mwenyekiti wa kamati na Prof. Baregu wa kamati ya kampeni mwaka 2010, atakuambia hizi stori, ukimuuliza atacheka na kukuambia hakuna mtu hatari kama Mbowe. Hizi pesa ukijiuliza mpaka leo, makao makuu ya chadema umepanga mpaka leo, all these mapato, sehemu moja wamepanga, sehemu nyingine wamenunua. Kile kipande wamepanga, sehemu ile ambayo mambo ya pesa yanafanyika. Sehemu waliyonunua ina ofisi tatu tu, ile ya Mbowe na katibu mkuu ndo ofisi waliyonunua, kipande kingine kikubwa, cha wakurugenzi, cjui nani, zote pale wamepanga. Unapokea fedha kwa miaka mitano tu, billion 23.58, hujawahi kujenga makao makuu ya chama, hauna ofisi ya mkoa, na ofisi moja iliyoko ya kawaida sana Kigoma, amejenga Sabrina Sungura, juzi hapa wamemuita msaliti. Huyo dada ndiyo aliyejenga ofisi ya mkoa. Hakuna ofisi nyingine ya mkoa nchi nzima, hakuna ofisi ya wilaya. Siku moja tulikaa na Mzee Mtei, akasema, ningetamani kabla ya kufa, chama ambacho nilikiasis, nikitumia mshahara wangu, lakini leo chama kina mapato, angalau hata kaghorofa hapa makao makuu. Akasema, na mimi nitachangia, hiyo ajenda ilikufa mpaka kesho. Ukiuliza mambo haya, utakuwa unauliza mambo magumu, na unapewa majibu mepesi sana.

  • Mwaka 2015, mabango yalitengenezwa chadema. Kampuni iliyotengeneza inaitwa Milestone. Kampuni ya Milestone, ni kampuni ya shemeji yake na Mbowe. Na hawa walisema wanadai fedha billion mbili; lakini wakanegotiate, wakakubali kulipwa million 900, nawakaingia mkataba wakulipwa million 60 kila mwezi. Kampuni ya shemeji yake, ameleta bili ya billion mbili, lakini wakanegotiate, wakakubali kulipwa million 900. Unaweza kumuuliza hata Mashinji na Komu wanaweza kuthibitisha. Kwanza walidai billion mbili, halafu upunguze mpaka million 900. Unawezaje kudai billion mbili, halafu upunguze billion 1.1, kama ni kweli ni deni halisi, utashushaje bei hiyo? Kwahiyo wakaingia mkataba wakulipwa million 60 kwa mwezi. Haya maelezo yakaenda kwa kamati kuu, watu wakatengenezwa, wakatishwa, ukaingia mgawanyiko na nini, watu wakalidhia, watu wakapigwa hiyo hela. Sasa, yeye anadai million 750, analipwa million 50 kwa mwezi. Ukujumlisha million 115 anapeleka kwenye kanda, kuna makatibu wa kanda wamewateua, na wanalipwa mshahara kama million 1.5 hivi kwa mwezi. Kwenye kanda zote, nane bara nan mbili visiwani Zanzibar, jumla ni 10. Hizi fedha ukizipeleka kwenye kanda, hawa ni makatibu ambao mwenyekiti mwenyewe kateua. Kwenye ngazi ya mkoa, hawa ndio wajumbe wa sekretarieti ngazi ya taifa, mwenyekiti mwenyewe kateua. Ukichukua million 50 ya Mbowe, million 60 ya Milestone, ambaye alisupply mabango, ambayo hatujui aliweka wapi na wapi, jumla ni kama million 110 hivi. Million 90, inaishia hapo makao makuu, wakurungezi nani nani ivi, inaishia kama million 90 hivi. Kwa mjibu wa mahesabu haya, hela ya ruzuku inapoingia million 326, wanabaki kama na million 15-16 hivi, ndiyo inaendesha chama nchi nzima. Ukiona wabunge wanaambiwa toa hela, chama kimepalalaizi, kwasababu ya madeni ambayo yametengenezwa. Mambo haya, watu wakiyagundua, kwanini wasihame chama.

  • Mbowe ndiyo anayefanya manunuzi. Ndiyo anayeenda Dubai, anachapisha katiba, kanuni, ananunua magari, mabango na chochote kinachofanyika Chadema, Mbowe ndiye anayefanya. Mwenyekiti badala ya kusimamia manunizi, yeye ndiyo afisa manunuzi wa Chama. Yeye ndiye anayepanda ndege kwenda Dubai, hata ukimuuliza Slaa au mashinji. Ndo maana nirahisi yeye kuwaambia hii bei yake ni hii, kwa sababu ndiye aliyeenda site. Kwanini anatumia namna hii ya kumaliza fedha? It is a simple logical; kwasababu chadema pale ameshawaaminisha kuwa yeye ndiyo mwenye uwezo wa kukusanya fedha. Kwahiyo ruzuku lazima ipigwe kila mwezi iishe, hata mkutano mkuu jana walikopa pesa wanadaiwa, ukifika wakati wa uchaguzi, kampeni, anawambia yeye ndiye anayekisaidai chama. Kwahiyo, kwa umasikini ule wa chadema, na wanaharakati wale, Mbowe wanamuona kuwa yeye ndiyo Mungu, Mbowe ndiye anayekubalika, anaweza akawapa fedha wakafanya kapeni. Akiwaita Mkutano mkuu, wakati mko bize kusoma document, ndo mnapewa viposho vile, watu wametoka mikoani huko, wananjaa miaka mitano, hawajawahi kupata posho ya chama, wako bize, ukumbi anabaki mwenyewe anafanya maamuzi mambo yanaenda. Sasa hapa, Ikija wakati wa kampeni, anawakopesha chama, chama hakina hela; kama leo mnadaiwa pesa, kampeni mnafanyaje? Kwahiyo sasa na wakopesha pesa, na akisha wakopesha pesa, mnabakiwa na deni. Na anakopesha kiwango yeye anasema, na ampe nani yeye anajua. Hata wanaongea ongea bungeni hawa, ndo maana watu wanaamua kuhama, kwa sababu ukishaanzisha kumpiga tu hoja yake, inamaana huu mgao anaokuja kuuanzisha humu kuwa anakuja kukopesha, wewe hupati chochote, na atakata jina lako. Ili unusurike kugombea, na kunakamsaada kamekuja, utoe. Na kama kuna mtu kachangia chama, kama kawaida ya chama, ukienda CCM, utamtuma mweka hazina yupo maalumu kazi yake ni hiyo, kusema msemaji wa chama, yupo mwenezi, katibu mkuu ni mtendaji, mwenyekiti ni kuendesha vikao. Hiyo ni tofauti sana na chadema, mwenye chama ni Mbowe, na mbowe ndiyo mwenye maamuzi ya mwisho. Sasa watu wanakuwa hawasemi, kwasababu kama ukitaka kubaki chadema, ukisema unashughulikiwa, ndiyo maana watu wanabaki kimya, na ukisema unashughulikiwa. Kwanini watu husema mbona mkitoka ndo mnasema? Ukisema unawashwa, ndo maana Zito alisema atagombea uenyekiti akawashwa, Chachawangwe alisema akawashwa, wakina mkumbo wakawashwa, wakina Komu wakahojihoji wakawashwa.Katika mazingira haya, chadema hakuna uhuru, hakuna demokrasia and there is no freedom.

  • Fixed account ya Ecobank, yenye makato ya asilimia 10 ya wabunge wa jimba na asilimia 30 ya wabunge wa viti maalumu kama mfuko wa kampeni 2020, million 400 zilitumika kwa ajili ya matibabu ya Lisu. Lakini ikumbukwe ya kwamba, kwenye matibabu ya Lisu, michango ya wabunge, watanzania walitoa kwenye mitandao ya jamii. Ukumuliza Mbowe kuhusu makusanyo ya hizi pesa, inaonekana we waitara ni msaliti, umetumwa na serikali, ni ccm wewe. Kila aliyeuliza jambo hili, mbowe hajawahi sema, walipokea shilingi ngapi, na alizigawa line za kutuma hela kwa vijana wake anaowatrust. Katika fixed account hii, alikuja bwana (Mbowe) akaibua chadema investment, anajua kuna hela kwenye fixed account za 2020, aliibua hii hoja, kuwa anataka kuwekeza. Hawa wakina Lowasa, akina Mashinji, akina Sumaye, wakamwambia chama hakiwezi kufanya biashara, halafu hatuna business plan, msajili wa vyama hatoruhusu. Akajigeuza yeye akopeshwe fedha, kwahiyo mbowe amekopeshwa fedha million 400 fedha za ruzuku, kutoka kwenye fixed account ya fedha za kampeni mwaka huu 2020. Mlisikia kuna diwani alikatwa katwa mapanga kule kilombero, yule ndiyo alikuwa mdau wake, ndo alikuwa anasimamia mashamba, mali ya serikali, kupora mashamba ya watu, namengine na mengine. Mbowe, kwenye damu ile ya diwani, iko mikononi mwake, na hata kwenye msiba wake alienda. Hizi fedha, amenunua matrekta kwa majina yake, baadae imeenda enda, wamebadilsha majina na kuwa ya chadema. Sasa hizi hela, Ili kuondoa huu msala, ilibidi matrekta yaje kwenu, naile million 100, deni hilo ndo likafutwa. Kwahiyo deni hilo likaisha ambalo ni changa la macho. Matrekta mengine hayapo, lingine nasikia liko morogoro kwa shemeji yake, hivyo ndo vile deni likaisha. Hivyo ndo million 400 masikini wa Mungu zimepotea, uko hapo? Huyo ndiyo mbowe mnayemjua. Hayo ndiyo mambo usiyoyajua Chadema. Ukipiga mahesabu yahizi ninazokutajia, bado kunazingine kubwa, hapa kwanza niko kwenye sehemu ya robo.

  • Ameibuka nataka kununua magari 20 ya kampeni, chama kikope kwa ajili ya kampeni. Nilimsikia ndugu yangu Heche, tumenunua magari 20, mwambie alete document hapa, wamenunua magari 10 tu, nahizi hela ni deni, walikopa. Kulikuwa na ugomvi mkubwa sana kuhusu hili. Sekretarieti ilipokaa ikahoji, utakopaje hela ya kununulia magari 20, na hali hakuna pesa ya kuendeshea chama nakufanya shughuli mbalimbali? Umeleta chadema ni msingi, umetumia million 326 kwenye jimbo moja la ukonga, kumshughulika waitara. Unachukua watu kutoka DSM, ambayo ni timu yako, umeipeleka mikoani ambako ulikuwa unapiga jaramba kwenye mvua, na jua bila senti, hao waliopelekwa kujenga chama kule wanalipwa, wanachadema waliopelekwa mikoani huko wanaambiwa komaa kamanda,komaa kamanda, wanakomaa, jamaa huku wanakula hela. Ndo maana kuna ungomvi mkubwa sana, na diyo maana simbeye anazinguka na atawazoa, na nimemuelekeza walipo watu wa chadema, nendeni tunawagawana tu, nendeni N-CCR, njoo CCM. Na mimi ingekuwa siyo mambo ya corona, ilibidi tukusanye watu, watu wamechoka, unakomaaje umeshiba, na mwenzako ana njaa? Hii chadema ni msingi, imekipalalaizi chama, nayeye ndo kaileta, kaiforce na akatuma watu wake kwenye mikoa. Na mimi Ukonga, alikuja Ester Bulaya, amekuja Borniface Jacobo, aliyekuwa meya wa ubungo. Ukitajwa unamuunga mkona waitara, wewe ni mhaini. Amekuja kusimamia show mwenyewe, wajumbe wa kamati kuu, kuanzia wajumbe wa tawi, ili mimi nikiondolewa nguvu zote, ukienda kwenye uchaguzi, ile kamati hakuna anayekuunga mkono. Kwa hiyo unapigwa, halafu unamfuata mweshimiwa mwenyekiti, halafu anakupa mashariti, anakupa mashariti, ehe utanipinga? Aa aa, baba wewe mwamba, sikupingi tena, halafu anaticki. Anakuuliza tena, utanisema? Aa hapana, sitakusema, halafu ndiyo unateuliwa kwa kwa mkataba, halafu unaulizwa, million 50 utatoa? Ee nitatoa baba. Ndicho watu wanachofanyiwa hapo. Hivi tunavyozungumza leo, watu tayari wanalisti ya watu wa viti maalumu. Sasa baada ya kutoka akina Komu, akina Lwakatale, wameenda sasa hata secretarieti wameibadilisha, wameweka watu. Hizi fedha niseme, ukimuona Msigwa anaongea, Msigwa huwaga namuangalia, unajua mimi; niseme tu ukweli wa Mungu, mimi ni miongoni sana ya watu, niliowachukia sana akina Mbowe, kwasababu nilifanya kazi usiku na Mchana. Tulikuwa tunashindia mihongo, Msigwa nimemunadi mimi, Sugu nimemtengeneza mimi, hakuna mbunge hapo ukiacha Halima Mdee, ukiacha na Mnyika, ukiacha na Mbowe, na wale wabunge watano wa mwanzo, hakuna jimbo ambalo sikuenda. Mimi nimeshinda njaa Iringa, Mbeya, wapi kila mahali, nchi hii nilienda kila mahali; Nilkuwa mtu wa sera na utafiti, nilkuwa kamanda wa operasheni, nilikuwa mtu wa uenezi na propanga wa Chadema.

  • Hata waliposema hizi fedha wabunge wachange, hata Lisu kabla hajaumia, alikuwa hachangi hizi fedha lakin tano za kukatwa, alikuwa hachangi Lisu hata kabla ya kuja kuumia. Alikuja kumpa msamaha baada ya kuumia, Sugu hachangi hizi fedha, na hao ndiyo wabunge wa kamati kuu. Sugu hajawahi kuchangia hizi fedha, ambazo Mbowe alikopa million 800, million 400 ambazo alienda kumtibu Lisu, na million 400 ambazo ametumia kununua matrekta feki na mradi umekufa alikuwa hachangi. Ester Bulaya hachangi hizi fedha, Msigwa hachangi hizi fedha na Heche hachangi hizi fedha, hawa hawachangii. Lakini ukiona wakitoa mishipa kushughulikia wenzao, huwa kuna double standard. Sugu ni mjumbe wa kamati kuu, Bulaya ni mjumbe wa kamati kuu, Heche ni mjumbe wa kamati kuu, Msigwa ni mjumbe wa kamati kuu. Wajumbe wa kamati kuu, ambao wanasimamia katiba ya chadema, wao kwenye michango ya jumla ya wabunge, huwa hawachangi laki tano tano; sasa acha usichange wewe. Waliunda kamati ndogo hapa ya mzee Lowasa, anaweza akaitwa akasema, walimueleza kuwa wao na mambo mengi na mambo yao binafsi na mpaka kesho fedha hiyo hawajatoa. Lakini hawa ndiyo wapenzi wa Mbowe, ndiyo marafiki zake. Chama cha namna hiyo, ambacho mimi najua nachangishwa, mwenzangu hachangi, lakini kwenye kugombea ndiyo wanaopewa kipaumbele, ndiyo wasemaji, na ndiyo washauli. Ukiundwa kamati ndogo, ndiyo maana Heche kashindwa kule na Ester Matiko, kwenye kanda ya Serengeti, lakini Mbowe, kwakuwa Heche ni motto wake kipenzi, amemteua.

  • Hitimisho. Nilikuwa tu nasema, kunamgawanyiko mkubwa sana ndani ya Chadema, na hawa watu wakina Mwambe, akina Komu, Waitara na wengine; wengine walikataa kwakuona kwamba kuna double standard, hatuko tayari kutekeleza mambo ambayo tunayaona hayako sawa sawa na wengine na tunakuwa mradi wa mtu. Na haya mambo ndiyo yalimpelekea mpaka yakamkwaza na Dr. Mashinji. Ni mhimu mjuwe pia kuwa, tunaposema mambo haya, mjuwe ya kuwa, siyo yakutengeneza. Huyu mtu hayuko tayari kutumika kwa ajili ya wengi, hayuko tayari kusaidia watu wengine wazidi kukua. Na mimi nilikuwa nasema, kuna haja sasa ya wanachama wa chadema, vijana, akina mama na wazee, wasione kuwa tunaongea ongea tu. Na nilisema kwenye mambo ya korona nchi hii ni nzuri, na mtu huyu ana madhambi makubwa sana, ni mtu ambaye alipaswe aozee jera. Lakini mtu ambaye anaweza kusimama anahutubia taifa, nikamwangilia Mbowe, wasomi wakisema anachalenji, akinenda mahakama anaitukana, akienda polisi anatukana, ukifuatilia vyeti utakuta alipata zero form six, ukiangalia matumizi ya pesa ni mwizi tu, mambo mengi ya kughushi, haya madeni ya CAG aliona kwenye taarifa zake. Inawezekanaje kweli, Zito alikuwa mbaya, Mbowe ni mwema sana, alikuwepo hapa Kitila mkumbo mbaya sana, Mbowe ni mtu mzuri sana, mtu mwema, walikuwepo wakina samsoni mwigamba wao ni wambaya sana, ila Mbowe ni mwema, walikuepo akina Waitara, Mbowe ni mzuri wengine ni wambaya. Walikuwepo wakina marehemu chacha Wangwe, akina Kabulu, akina Dr. Slaa, akina Mwambe, akina Sumaye, akina Lowasa; kweli inawezekana kweli. Kama kuna mtume, au kijukuu cha mtume hapa Tanzania, nadhani atakuwa ni Mbowe, kwamba wewe umekaa miaka 20, hujawahi kuwa na makosa ya kufukuzwa, kazi yako nikufukuza wenzako, na kuwashughulikia, na unawambia watanzania mtu mwema sana yule, mtu msafi, hii inawezekana kweli? Katika hali ya kawaida, sidhani kuwa ni rahisi. Juzi hapa, Sumaye alionyesha interest ya kugombea uraisi, baada ya kuona mzee Lowasa amechoka, lakini aliona kwanza aanze na uenyekiti, lakini Mbowe alikuwa hajui kwamba Sumayi anataka kugombea uenyekiti taifa, na anampango wa kwenda mpaka uraisi, ndiyo maana walienda kumpitisha bila kupingwa agombee uraisi. Siku walipogundua, huyu anataka uenyekiti taifa, kilikaa kikao pale triple seven, msasani, na Mbowe mwenyewe alikuepo, Borniface Jacobo, Lucy makelele, wakasema lazima apigwe. Mwambe alikuwa kipenzi kukubwa sana cha Mbowe, alipotaka kugombea uenyekiti, akaitwa msaliti.

In God we Trust
 
Kwa cdm wamegonga mwamba kama ule wa dodoma
Kama ndio mmeweka hizo propaganda za kizee mkitegemea mtapata wa kujibizana naye, basi mmechemka. Mlifanikiwa kuifubaza NCCR na CUF kwa hizo propaganda za kichovu, lakini kizazi za sasa hakipatikani kwa hizo mbinu outdated. Sana sana mjikite kwenye wizi wa kura, na muwekeze nguvu kubwa kwenye lile kundi lenu la watu wasiojulikana, ila sio kwa hizo propaganda mfu.

In God we Trust
 
Wana hasira vibaya sana hasa baada ya mapandikizi yao kupigwa chini kwenye kugombea nafasi ya mwenyekiti
Dah! Awamu hii Chadema imeandamwa! Na kuendelea kuwepo madarakani kwa Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa kipindi cha nne mfululizo, naona kimechagiza kwa kiwango kikubwa sana hii dhoruba kuikumba Chadema.

Wacha tuone nini kitatokea kwa Chama hiki kikuu cha upinzani nchini, mara tu baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 kupita.

In God we Trust
 
Message sent and clearly delivered
Matajiri wote waliokuwa wanakichangia chama, mumewapa kesi za uhujumu uchumi bila ushahidi na wanaozea ndani, wengine wamekufa vifo vya kutatanisha.

Mumejaribu kufanya kila kitu kwa Mbowe! Mumegonga Mwamba!!

In God we Trust
 
Back
Top Bottom