husseyn bakary
Member
- Jan 9, 2014
- 15
- 8
Habari zenu wanajamvi. Kwa anaefahamu trainings za Audit firms hua zinakuaje, yani kwa mfano mtu ni graduate ana ka'degree chake tu cha Taxation, then aka'apply job kwenye hizi audit firms, then wakamwambia atapata trainings kwa miezi 6 then watamuajiri rasmi na kwa kipindi chote hicho cha trainings atapewa some amount ya kujikimu. Sasa nataka kujua hua wana'train nini hasa kwa kipindi chote hicho?
Kwa anaejua plz...
Kwa anaejua plz...