Maguguniga
Member
- Apr 14, 2012
- 35
- 8
Ilitokea mida ya saa moja jioni ilikuwa inatokea Dar ilipofika salanda ndo moja ya engine yake iliwaka moto na kusababisha taharuki kwa abiria waliokuwa wanasafiri, baadhi yao kujeruhiwa walipokuwa wanajaribu kujiokoa kwa kuruka madirishan. Source Wapo radio patapata asubuhi hii.