Nadhani huzijui wewe.... madereva tunazijua...hazifaiHizi za urembo zina tatzo gani?
Watahamia kwenye nyumba zetu sasa...
na zile rimu za kung`ara zipigwe marufuku nazo, zinasababisha reflection.
na zile rimu za kung`ara zipigwe marufuku nazo, zinasababisha reflection.
Kosa ni kuongeza kitu kwenye gari bila ku-certify.Rasmi sasa magari yote yaliyofungwa Taa za nyongeza kukamatwa! Nimeshuhudia jamaa watu kadhaa Leo wakibishana na trafiki kuhusu kukamatwa Kwa kosa hilo! Haijafahamika Mara moja kama kosa je ni mwanga mkali au nini; kama ni mwanga mkali je na hizi Taa za urembo nazo zinahusishwa Kwa kosa gani?
Inabidi ufafanuzi juu ya swala hilo utolewe!
Nawahurumia sana wafanya biashara Wa Taa hizi; ambao wameagiza mzigo na kulipia ushuru bandarini palipo na TBS! Halafu mzigo umeingia sokoni ndio unapigwa marufuku! Sielewi hiyo stock yao waipeleke wapi?
Au TBS walijuwa hizo Taa za magari zinaenda kufungwa kwenye Nyumba?
**************************************
Hujui karaha yake.Hizi za urembo zina tatzo gani?
Watahamia kwenye nyumba zetu sasa...
Ukute una kidisposable chako kama ki passo na bulb zako za watt 55 alafu taa zina ukungu wa kutosha.ukipigwa mwanga wa hiyo bar hapo,akili zako za kujiongeza tu ndo zitakuokoa...hii fashion ya kufunga hizi taa kwa magari ya town imekuwa kero.
Tahahaha Unh-huhwe jamaa ww
Ukute una kidisposable chako kama ki passo na bulb zako za watt 55 alafu taa zina ukungu wa kutosha.ukipigwa mwanga wa hiyo bar hapo,akili zako za kujiongeza tu ndo zitakuokoa...hii fashion ya kufunga hizi taa kwa magari ya town imekuwa kero.
Jua tena..Pia bodaboda nao wanazo za kwao haki ya Mungu zinawaka kuzidi jua