Trafiki waanza rasmi kukamata magari yote yenye taa za urembo, Sports Light

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,403
Rasmi sasa magari yote yaliyofungwa Taa za nyongeza kukamatwa! Nimeshuhudia jamaa watu kadhaa Leo wakibishana na trafiki kuhusu kukamatwa Kwa kosa hilo!

Haijafahamika Mara moja kama kosa je ni mwanga mkali au nini; kama ni mwanga mkali je na hizi Taa za urembo nazo zinahusishwa Kwa kosa gani?
Inabidi ufafanuzi juu ya swala hilo utolewe!

Nawahurumia sana wafanya biashara Wa Taa hizi; ambao wameagiza mzigo na kulipia ushuru bandarini palipo na TBS! Halafu mzigo umeingia sokoni ndio unapigwa marufuku! Sielewi hiyo stock yao waipeleke wapi?

Au TBS walijuwa hizo Taa za magari zinaenda kufungwa kwenye Nyumba?

 
Afadhali ni ulimbukeni tu sasa gari ina taa zake unaongeza nyingine eti urembo yaani ktk urembo wa gari taa ndio zimekuwa urembo yale yenye mwanga akikupiga taa kama hauko makini au akute unaongea na simu anaweza kukusababishia ajari kabisa alafu watu wanasema hakuna ela Magu kuna sehemu umelegeza kamba mbona watu bado hawana heshima na pesa
 
Kosa ni kuongeza kitu kwenye gari bila ku-certify.
 
Bado waanze kukamata na wale walioweka vioo vya trinted Maana Wengne wanafanya ufuska na kusafirisha Wakina John kisa hatuwaoni
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…