Trafiki Buguruni ana nini?

Trafiki Buguruni ana nini?

Egwugu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,558
Reaction score
8,551
Kikosi cha usalama barabarani tunaomba mjaribu kumchunguza huyu trafiki wa kike aliyeko sasa hivi hapa Buguruni yawezekana ana matatizo ya akiri.Haiwezekani kutoka hili jengo la vioo hapa sheli kufika kwenye mataa ichukue saa zima.

Mlioko maeneo haya mtakuwa mashaidi kwa jinsi huyu trafiki alivyokosa busara,binafsi nimemhisi ana matatzo ya ufahamu.
 
Kikosi cha usalama barabarani tunaomba mjaribu kumchunguza huyu trafiki wa kike aliyeko sasa hivi hapa Buguruni yawezekana ana matatizo ya akiri.Haiwezekani kutoka hili jengo la vioo hapa sheli kufika kwenye mataa ichukue saa zima.

Mlioko maeneo haya mtakuwa mashaidi kwa jinsi huyu trafiki alivyokosa busara,binafsi nimemhisi ana matatzo ya ufahamu.

Wewe ndiye hasa mwenye matatizo ya akili! Unategemea nini kwenye uongozi uliooza kama huu?
 
Nilikuwa cjui kwamba umefirisika mawazo kiasi hiki!hivi hili tatizo la foleni limeanza leo!we unafikiri tatzo ni miundo mbinu au huyo askari police?duh heri ungekuwa maskini wa fedha tungekuchangia lakini umefirisika mawazo yan ni shida
 
Wewe ndiye huna akili kwa kutofahamu chanzo cha tatizo ni wewe mwenyewe kwa kuchagua serikali iliyo mufilisi!
 
Msaidieni kimawazo mleta mada badala ya kumshambulia sababu anataka kufahamishwa na ameleta mjadala huu akiwa kwenye hali isiyo kawaida(amehamaki) kutokana na adha aliyoipata
 
kazi ipo!subirini flying overs,trafic watarudi mikoani baada majuha kushindwa nchi.poleni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom