Trafiki apigwa Ubungo mataa

Trafiki apigwa Ubungo mataa

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,363
Reaction score
27,746
Ni baada ya kusababisha ajali.


attachment.php

Hapa akipakizwa kwenye bajaji kumuepushia kipigo zaidi.
 
Kichapo gani hapo kapata!!! hata kajeraha au kanundu mbona hakuna…huyo kapapaswa…
Ni baada ya kusababisha ajali.


attachment.php

Hapa akipakizwa kwenye bajaji kumuepushia kipigo zaidi.
 
Duh!

Kunahitajika uongozi mpya wa kulijenga upya jeshi la polisi!Maana inapofikia watu bila aibu wanamkwida `msimamizi` wa usalama,basi ujue kuna tatizo kwenye mfumo wa usalama wa nchi!

Leo askari atapigwa ,kesho watu wataunda jeshi kulinda makazi yao,misikiti yao,makanisa yao,mikoa yao na mwisho NCHI YAO!

GOD FORBID!!!
 
ikifika zamu ya wanajeshi kupewa kichapo mniambie
 
  • Thanks
Reactions: awp
Jamani, hili suala ni serious sana. Haya ni matokeo ya Waziri Mkuu Pinda, aliposema 'wapigwe tu'. Wananchi wanapopata mwanya wanalipiza. Fikiria, kama polisi akiwa katika sare anaweza kupigwa namna hii, hali itakuwaje kwa raia wa kawaida? Mbaya zaidi, wengi waliozunguka hapo yawezekana ni vibaka. Hao wanajua siku hizi trafiki hakosi 150,000 mfukoni kwa sababu IGP kawapa kiwango cha hesabu cha kuwasilisha kila siku! Haya mambo tusiyachukulie juu juu, lazima tutafakari na kukubali kuwa nchi ilikoelekezwa na watawala hawa, siko kabisa. Wenye kuitakia mema Tanzania watakuwa wanabangua bongo zao kupata majibu ya hatari hii inayoingia kwa kasi katika Taifa letu.
 
Wapigwe tu......... Leo asubuhi katusimamisha anaanza kudai ela

anaambiwa hela hakuna eti kama hakuna hela anaongeza kosa jingine

yule trafik aliniboa sana asubuhi..
 
Wapigwe tuu tumechoka in Mtoto wa mkulima Voice
 
aaaaaghy hicho kibajaji nacho kinajipendekeza...si wamwache apate haki yake!
 
Hata mimi nimeepa iko siku nitakuja piga traffic tu hawa wadudu wameshatufanya sisi waendeshao magari kua ni mtaji!
 
Duh!

Kunahitajika uongozi mpya wa kulijenga upya jeshi la polisi!Maana inapofikia watu bila aibu wanamkwida `msimamizi` wa usalama,basi ujue kuna tatizo kwenye mfumo wa usalama wa nchi!

Leo askari atapigwa ,kesho watu wataunda jeshi kulinda makazi yao,misikiti yao,makanisa yao,mikoa yao na mwisho NCHI YAO!

GOD FORBID!!!


Uongozi Mpya wa taasisi ndogo kama Polisi utasaidia nini?
Yaani hujajua mpaka dakika hii tatizo liko wapi-Mkuu tembelea Magogoni labda utanong'onezwa udhaifu uko wapi!
Polisi hawana kosa muda mwingine ,unaweza kuta jamaa nyumbani hajaacha hata senti kwa ajili ya maandazi sembuze Mlo kamili ,alafu akina Sita wanachukua 300,000per day na bado wanataka za UKAWA unategemea nini kitatokea kwa askari.

Na hiyo haitoshi
How $270-million IPTL deal was planned and executed ...
 
bora huyu aliiyepata kichapo kuliko yule aliyekuwa ANAENDEKEZA ngono eneo la Kazi
 
Mavuno ndio hayo

Hii ni kwamba wananchi wamechoka na uonevu unaofanywa na askari

Huko tunakoelea hakuvutii kabisa

Ila sijui kama wanaona kuwa hizi ni dalili za wananchi waliochoka





Jamani, hili suala ni serious sana. Haya ni matokeo ya Waziri Mkuu Pinda, aliposema 'wapigwe tu'. Wananchi wanapopata mwanya wanalipiza. Fikiria, kama polisi akiwa katika sare anaweza kupigwa namna hii, hali itakuwaje kwa raia wa kawaida? Mbaya zaidi, wengi waliozunguka hapo yawezekana ni vibaka. Hao wanajua siku hizi trafiki hakosi 150,000 mfukoni kwa sababu IGP kawapa kiwango cha hesabu cha kuwasilisha kila siku! Haya mambo tusiyachukulie juu juu, lazima tutafakari na kukubali kuwa nchi ilikoelekezwa na watawala hawa, siko kabisa. Wenye kuitakia mema Tanzania watakuwa wanabangua bongo zao kupata majibu ya hatari hii inayoingia kwa kasi katika Taifa letu.
 
Back
Top Bottom