Trafiki agongwa na gari Morogoro

Trafiki agongwa na gari Morogoro

JAFE

Senior Member
Joined
Sep 1, 2012
Posts
191
Reaction score
42

attachment.php

Askari wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Morogoro Analijulina Bw Crispan 'Mandela' amegongwa na gari eneo la Mtawala Barabara inayotoka Msavumu kuingia katikatika ya Mji wa Morogoro.Hii ni Mara ya Pili kwa Askari Huyo Kugongwa na Gari Mkoani Hapa.

 
Nini chanzo cha ajali?
Isije ikawa alijaribu kusimamisha gari huku anesimama katikati ya barabara.....
 
Alishawahi kugongwa tena? alafu leo pia kagongwa! Kwanza amepona au ndo kazi yake mola?du hiyo kazi haimfai LA sivyo semi likimpitia litamuhusu
 
Huyu atakuw muuni wa urabu,haiwezeka two times unagongwa wewe tuu,..???
Eeh sorry anagongwa yeye tuu.?
 
Huyu bwana ana makengeza nadhani haoni vizuri ndiyo maana wanamparamia kila kukicha
 
Oh masikini, ameniumiza kweli huyu baba. Pamoja na kuwa matrafiki wengi ni wasumbufu barabarani lakini nimemuonea huruma kweli huyu baba. Nimtakie kupona haraka!!!!
 
Ubungo nako kuna ajali mbaya sana imehuasha magari manne. Lory, uda na gari ndogo mbili zimekuwa chapati.
 
Jeshi la Police kitengo cha usalama barabarani ( traffic) wawe wanapimwa macho Mara kwa Mara. ni ushauri tuu
 
Kila kazi na majanga yake...pole zimuendee huyo bwana
 
Pole yake,ingawa hawa jamaa ukikutana nao kwenye 18 zao utajuta kuzaliwahawana msalie mtume. .
 
Ubungo nako kuna ajali mbaya sana imehuasha magari manne. Lory, uda na gari ndogo mbili zimekuwa chapati.

Chapati? Wamesalimika kweli? Huyu traffic lazima kuna kosa anafanya Aisee.. Haiwezekani mara mbili zote yeye.
 
Mbinu za kizamani za kuongoza magari barabarani ziachwe na zifuate mpya.
 
Huyu bwana ana makengeza nadhani haoni vizuri ndiyo maana wanamparamia kila kukicha

Kwa hiyo mkuu unataka kutuambia kamanda Kova wa kanda Maalum ya Dar es Salaam atakuwa hakustahili kuwa askari mkuu!!!?? Maana macho yake yanaangalia upande mmoja tu (kengeza).
 
Back
Top Bottom