mzushi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 3,094
- 4,256
Basi mkuu naona umenipa za uso nimekubali kunyoosha mikonoKama makengeza ndio sababu basi Kamanda Kova huku Dar angeshagongwa mara mia moja!
Basi mkuu naona umenipa za uso nimekubali kunyoosha mikonoKama makengeza ndio sababu basi Kamanda Kova huku Dar angeshagongwa mara mia moja!
Mbinu za kizamani za kuongoza magari barabarani ziachwe na zifuate mpya.
![]()
Askari wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Morogoro Analijulina Bw Crispan 'Mandela' amegongwa na gari eneo la Mtawala Barabara inayotoka Msavumu kuingia katikatika ya Mji wa Morogoro.Hii ni Mara ya Pili kwa Askari Huyo Kugongwa na Gari Mkoani Hapa.
Kama makengeza ndio sababu basi Kamanda Kova huku Dar angeshagongwa mara mia moja!
matrafiki weng tamaa ya pesa inawaponza awataki kupitwa daaaaa, huruma kwake kama alkuwa kwenye haki mungu atamjaria
Kama makengeza ndio sababu basi Kamanda Kova huku Dar angeshagongwa mara mia moja!
hajafa?
![]()
askari wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa morogoro analijulina bw crispan 'mandela' amegongwa na gari eneo la mtawala barabara inayotoka msavumu kuingia katikatika ya mji wa morogoro.hii ni mara ya pili kwa askari huyo kugongwa na gari mkoani hapa.
But Covaa,huwa hatembei kwa miguu barabarani,ata akienda mahali huenda na gari hushuka na kuzungumza na kusepa,angeshagongwa angekua anatembea kwa miguuBasi mkuu naona umenipa za uso nimekubali kunyoosha mikono
![]()
Askari wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Morogoro Analijulina Bw Crispan 'Mandela' amegongwa na gari eneo la Mtawala Barabara inayotoka Msavumu kuingia katikatika ya Mji wa Morogoro.Hii ni Mara ya Pili kwa Askari Huyo Kugongwa na Gari Mkoani Hapa.
weka picha