Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,242
- 1,429
Kuna kundi kubwa la matrafick wametumwa Moshi na barabara kuu chalize segera mpaka Himo ,ili kuimaisha usalama wakati Akina Mangi wanarudi kwao kwa mapumziko na sikukuu za mwisho wa mwaka! Kila kabila likarudi mkoani nafikiri Dar itapumua kwa kila kitu.Nawatakieni sikukuu njema nami niko likizo.