Imekuwa kawaida traffic light za pale TAZARA( Junction ya Nyerere & Mandela roads) kwa asubuhi mida ya saa kumi na mbili hivi taa kutowaka na traffic hukaa pembeni tu kwenye vile vibanda badala ya kuongoza magari ili kuimarisha usalama.
Je watu wakigongana alaumiwe nani?
Je watu wakigongana alaumiwe nani?