Zambia: Anayetumia simu wakati wa kuvuka barabara kutozwa faini

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,302
5,439
Askari Polisi wamepewa ruhusa ya kuwakamata wote ambao watakataa kutekeleza sheria hiyo ambayo inazuia matumizi ya simu au uvaaji wa spika ndogo za muziki ‘headphone’ wakati wa kuvuka barabara

Ambaye atakiuka faini yake itaanzia Kwacha 1,000 ambayo ni sawa na Dola 16. Sheria inawataka watembea kwa miguu kutovuka barabara hadi watakaporuhusiwa na taa za kuongoza.

Mamlaka ya usalama zimeeleza kuwa 50% ya vifo vitokanavyo na ajali za barabarani vinawahusu watembea kwa miguu ambao hawazingatii sheria.

===== ===== ======

Zambians face fines for using phone while crossing roads

Police will seek arrest warrants against offenders who don't pay the fineImage caption: Police will seek arrest warrants against offenders who don't pay the fine

The authorities in Zambia have passed a law that prohibits pedestrians from crossing the road while wearing headsets or talking on a mobile phone.

A person who contravenes this regulation commits an offence and is liable, on conviction, to a fine not exceeding 1,000 kwacha ($16; £12), according to a clause in the new law.

A pedestrian must wait for the traffic lights to turn red for motor vehicles to stop, before crossing a road at a junction that is controlled by traffic lights, it says.

Frederick Mubanga, the spokesperson for the body that deals with road safety, says the law is aimed at curbing road traffic accidents.

“According to our analysis, over 50% of people that die from road traffic accidents are pedestrians. And in most cases, the pedestrians may not have used the roads correctly,” he told the BBC.

“As a way of regulating the conduct of pedestrians on the road, we needed to put up these measures so that those pedestrians using the road in an incorrect way are punished.”

He said in the past, emphasis was on the motorists but going forward, this won’t be the case.

Mr Mubanga said the police will seek arrest warrants against offenders who don't pay the fine.

He said the Zambia police and the road traffic agency have been empowered to enforce the law.

Source: BBC
 
Kuthibitisha kama kosa hilo limetendwa ndio Shughuli, labda utumike ubabe,

Huwezi kumzuia mtu kuongea peke yake au kuimba au kufungua mdomo wake
 
Back
Top Bottom