Leo asubuhi pale maeneo ya Kikatiti Arusha nimeona police traffic wakiwa wanapiga picha za vieo kwa magari yanayotokea Arusha-Moshi, sijui huundio utaratibu mpya kama kuna mwenye dondoo tujuzane maana naona wenzetu wanazidi kujiimarisha kiteknolojia zaidi japo kamera yenyewe ni kama zile za kwenye send off.