leipzig
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 2,767
- 1,703
Naomba kuuliza "Ni haki kwa askari wa barabarani kutoza faini ya sh.30,000/= kwa kosa la kutowaka taa moja ya nyuma ya brake?
Leo hii nimejaribu kumuelimisha askari kuwa hiyo taa moja inaweza kuwa pengine imeungua hivi leo lakini bado akaniandikia faini hiyo bila kunisikiliza.
Leo hii nimejaribu kumuelimisha askari kuwa hiyo taa moja inaweza kuwa pengine imeungua hivi leo lakini bado akaniandikia faini hiyo bila kunisikiliza.