"Traffic" Nunua gari yako upande

"Traffic" Nunua gari yako upande

Lala tu ila kesho uje kujibu tuhuma za kumpa hongo mtumishi wa uma, kitendo kinachotafsiriwa kama kumziba mdomo ili siku ukicommit crime barabarani akuoffend!

Ungetumia Kiswahili ungeeleweka vizuri tu!!! ona sasa umeharibu kabisa (offend = to annoy, to cause discomfort, to physically harm, to make angry, to insult).
 
Mama Traffic naomba kumuwowa motto wako aitwaye traffic
 
Huyo ni mmoja wa wastaarabu labda pia kwenye kazi yake, wengine huwa wanalazimisha na kwa kuudhi zaidi anakusimamisha na kafimbo akiwa boss. Huyo mimi nampita tu kama simwoni kwani wakikukamata ni washenzi sana wa aina hiyo.
 
Hahahahahahahaaa, mmenichekesha balaa, eti ..."tukamnyima", mna umri gani we na jamaa zako? Kwa hiyo alivyoingia kwenye gari aliomba na samaki au ilikuwaje mpaka "mkamnyima'...lol!

Umri haukuhusu, ila ndio hivyo kwa lugha ya picha tu alionekana anaomba lakini tukamnyima maana hawana maana.
 
Habari ya usiku wakuu. Poleni na majukumu ya siku nzima.

Leo nimekutana na hiki kisa cha huyu mama Traffic Police.

Nilikuwa natoka kwangu naingia mjini, kwa mbaali nikamuona traffic anaelekea ninakoelekea. Nilipomfikia nikampita tu sikusimama. Kwakuwa sikuwa speed, baada ya kumpita hatua chache nikajisikia moyoni kumpa lift yule mama traffic.

Kweli nikasimana na nikaanza kurudi nyuma ili nimfikie. Nilipomfikia, nikamuuliza anakoelekea akasema naenda pale sehemu(akaitaja) kwasababu kuna msafara. Nikamwambia, panda afande twende, kweli akapanda tukaanza kuondoka.

Baada ya story za hapa na pale mama akaanza kunishukuru kwa kumpa lift. Nikasema usijali mama wewe ni boss wangu.

Akasema, mwanangu pamoja na uaskari wangu huu, siwez kuomba lift ktk maisha yangu hata siku moja, nikauliza why, akasema iko iv. Kuna siku alisimamisha gari akiwa na uniform kwa lengo la kuomba lift, yule mtu alimjibu "NUNUA GARI YAKO UPANDE" anasema toka siku iyo hawezi kuomba lift kwa jinsi alivodhalilishwa.

Nilishangaa na nikajisikia vibaya sana kwa majibu hayo alojibiwa yule mama traffic.

Wadau, je ni sahihi kweli hata kama wanakera hawa askari?

Mkuu, yule mtu aliyetoa ile kauli nina uhakika kuna mambo yaliyomkuta. Niliwahi kumpa lift askari wa usalama barabara. Baada ya kukaa na tumekwenda kama mita mia mbili akaanza kusema lakini mheshimiwa taa yako moja imevunjika na hilo ni kosa. Sikumjibu. Nilichofanya ni kusimama sehemu karibu na kituo cha daladala na kumuuliza, ulinisimamisha kwa kwa makosa yangu au lifti? Wakati anashangaa nikamwambia shuka kwenye kwenye gari yangu. Akashuka nikaendelea na safari yangu.
 
ngoja nikinunua gari yangu maana
 
Huyo ni mmoja wa wastaarabu labda pia kwenye kazi yake, wengine huwa wanalazimisha na kwa kuudhi zaidi anakusimamisha na kafimbo akiwa boss. Huyo mimi nampita tu kama simwoni kwani wakikukamata ni washenzi sana wa aina hiyo.

Wala hauna haja ya kumpita, unasimama unamsikiliza, akikuomba lift kama haujiskii kumbeba si utamwambia.."...hapana kaka, gari yangu haina nafasi, samahani!"
 
Muda huo uko wapi kaka... wakati najua sitampakia.
NB: Hapa nikijua kuwa simamisho hilo ni l maombi y lift tu.
 
Habari ya usiku wakuu. Poleni na majukumu ya siku nzima.

Leo nimekutana na hiki kisa cha huyu mama Traffic Police.

Nilikuwa natoka kwangu naingia mjini, kwa mbaali nikamuona traffic anaelekea ninakoelekea. Nilipomfikia nikampita tu sikusimama. Kwakuwa sikuwa speed, baada ya kumpita hatua chache nikajisikia moyoni kumpa lift yule mama traffic.

Kweli nikasimana na nikaanza kurudi nyuma ili nimfikie. Nilipomfikia, nikamuuliza anakoelekea akasema naenda pale sehemu(akaitaja) kwasababu kuna msafara. Nikamwambia, panda afande twende, kweli akapanda tukaanza kuondoka.

Baada ya story za hapa na pale mama akaanza kunishukuru kwa kumpa lift. Nikasema usijali mama wewe ni boss wangu.

Akasema, mwanangu pamoja na uaskari wangu huu, siwez kuomba lift ktk maisha yangu hata siku moja, nikauliza why, akasema iko iv. Kuna siku alisimamisha gari akiwa na uniform kwa lengo la kuomba lift, yule mtu alimjibu "NUNUA GARI YAKO UPANDE" anasema toka siku iyo hawezi kuomba lift kwa jinsi alivodhalilishwa.

Nilishangaa na nikajisikia vibaya sana kwa majibu hayo alojibiwa yule mama traffic.

Wadau, je ni sahihi kweli hata kama wanakera hawa askari?
Tatizo wanashinda Juani sasa wakiingia kwenye gari harufu ya kikwapa ndiyo tatizo
 
Umasikini ni janga,umasikini wa mali unaiathili mpaka akili ya mtu,stress za kuitwa mpangaji,gari dogo halafu la mkopo,unaishi mjini na inaaminika unafanya kazi ya kisomi ila huna uwezo wa kusaidia ndugu zako.dah

Akijirengesha mtu yeyote kuonyesha shida zake atakukoma.

Ilikuwa mataa ya kamata pale siku moja,jamaa muarabu akiwa kwenye range sport 2014 aliombwa lifti na trafic,nikawa nashuhudia nikidhani hatakubari,nashangaa anacheka kwa furaha na kufungua milango yote waingie.

Sasa huu umasikini unachangia sana binadamu kupoteza utu wake.any way pole yake mama traffic asimlipe kisas kwa kumvizia road anawezza muua kabisaa.
 
Hehwhej

Pamoja na kutumia lugha kali

Huyo mama angeichukulia hiyo kama changamoto (((((akanunua la kwake))))
 
habari ya usiku wakuu. Poleni na majukumu ya siku nzima.

Leo nimekutana na hiki kisa cha huyu mama traffic police.

Nilikuwa natoka kwangu naingia mjini, kwa mbaali nikamuona traffic anaelekea ninakoelekea. Nilipomfikia nikampita tu sikusimama. Kwakuwa sikuwa speed, baada ya kumpita hatua chache nikajisikia moyoni kumpa lift yule mama traffic.

Kweli nikasimana na nikaanza kurudi nyuma ili nimfikie. Nilipomfikia, nikamuuliza anakoelekea akasema naenda pale sehemu(akaitaja) kwasababu kuna msafara. Nikamwambia, panda afande twende, kweli akapanda tukaanza kuondoka.

Baada ya story za hapa na pale mama akaanza kunishukuru kwa kumpa lift. Nikasema usijali mama wewe ni boss wangu.

Akasema, mwanangu pamoja na uaskari wangu huu, siwez kuomba lift ktk maisha yangu hata siku moja, nikauliza why, akasema iko iv. Kuna siku alisimamisha gari akiwa na uniform kwa lengo la kuomba lift, yule mtu alimjibu "nunua gari yako upande" anasema toka siku iyo hawezi kuomba lift kwa jinsi alivodhalilishwa.

Nilishangaa na nikajisikia vibaya sana kwa majibu hayo alojibiwa yule mama traffic.

Wadau, je ni sahihi kweli hata kama wanakera hawa askari?

mkuu ukitaka kujua ulipata thawabu ulichofanya nenda pale makaburi ya kinondoni angalia kama kuna aliezikwa na gari hata mmoja ,.nenda bugurni makaburini angalia kidume rutihinda naibu gavana bot kama amezikwa na magari yake...basi mungu akupe haja ya moyowako .....

Kama unawezatoa lift toa ingawa kuwa makini hasa usiku kuna polisi waliomba lift mbezi watu wakalia wakapelekwa tegeta kwa ndani mkuu..ila mchana ruksa
 
kwakweli hawa watu wanakwaza sana jamani, mimi mwenyewe siwezi kumpa trafic lift, wanamajibu ya ovyo sana hawa watu, wakati mwingine hudhani labda ni elimu zao za kuwasiliana ni ndogo. samahani kama mpo hapa naomba niwaeleze siwapendiiiii
 
Mkuu, yule mtu aliyetoa ile kauli nina uhakika kuna mambo yaliyomkuta. Niliwahi kumpa lift askari wa usalama barabara. Baada ya kukaa na tumekwenda kama mita mia mbili akaanza kusema lakini mheshimiwa taa yako moja imevunjika na hilo ni kosa. Sikumjibu. Nilichofanya ni kusimama sehemu karibu na kituo cha daladala na kumuuliza, ulinisimamisha kwa kwa makosa yangu au lifti? Wakati anashangaa nikamwambia shuka kwenye kwenye gari yangu. Akashuka nikaendelea na safari yangu.

Wewe si muungwana.mkwa hiyo kumpa lift ndio asikwambie ukweli? ujui hiyo inasaidia hata usalama wako?
 
Wewe si muungwana.mkwa hiyo kumpa lift ndio asikwambie ukweli? ujui hiyo inasaidia hata usalama wako?

Lifti iwe lifti na makosa ya trafiki yabakie hivyo. Vyote viwili kwa wakati mmoja ngumu kumesa!
 
kwakweli hawa watu wanakwaza sana jamani, mimi mwenyewe siwezi kumpa trafic lift, wanamajibu ya ovyo sana hawa watu, wakati mwingine hudhani labda ni elimu zao za kuwasiliana ni ndogo. samahani kama mpo hapa naomba niwaeleze siwapendiiiii

Ngumu kemeza, but wamekusikia.
 
mkuu ukitaka kujua ulipata thawabu ulichofanya nenda pale makaburi ya kinondoni angalia kama kuna aliezikwa na gari hata mmoja ,.nenda bugurni makaburini angalia kidume rutihinda naibu gavana bot kama amezikwa na magari yake...basi mungu akupe haja ya moyowako .....

Kama unawezatoa lift toa ingawa kuwa makini hasa usiku kuna polisi waliomba lift mbezi watu wakalia wakapelekwa tegeta kwa ndani mkuu..ila mchana ruksa

Asante kwa ushauri mkuu
 
Back
Top Bottom