Salaam wana JF!
Naomba kujua kama kuna mtu aliyewahi kununua na kupata gari kutoka kampuni zilizomo kwenye site hiyo hapo juu?au kama kuna aliyewahi kupata matatizo nayo. Maana bei wanazotoza naona ni za chini sana kulinganisha na makampuni mengi niliyowahi kuyasikia.Naomba ushauri.
Naomba kujua kama kuna mtu aliyewahi kununua na kupata gari kutoka kampuni zilizomo kwenye site hiyo hapo juu?au kama kuna aliyewahi kupata matatizo nayo. Maana bei wanazotoza naona ni za chini sana kulinganisha na makampuni mengi niliyowahi kuyasikia.Naomba ushauri.