Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,879
- 2,554
Hello, habari wana jamvi.
Nina ndoto ya kufanya biashara ya kuagiza ama kwenda kununua mzigo China hususan simu na vifaa vya simu.
Naomba kujua na kupata ushauri wenu, nahitaji;
1. Mtaji kiasi gani?
2. Gharama za safari (kama itanilazimu kusafiri)
3. Itanichukua muda gani aidha nikisafiri ama nikiagizia kufanikiwa kurudi ama kupokea mzigo Tanzania
4. Mambo mengine muhimu ninayotakiwa kuwa nayo ukiondoa hoja kama leseni, fremu n.k.
Naomba kuwasilisha.
Ahsante sana.
Nina ndoto ya kufanya biashara ya kuagiza ama kwenda kununua mzigo China hususan simu na vifaa vya simu.
Naomba kujua na kupata ushauri wenu, nahitaji;
1. Mtaji kiasi gani?
2. Gharama za safari (kama itanilazimu kusafiri)
3. Itanichukua muda gani aidha nikisafiri ama nikiagizia kufanikiwa kurudi ama kupokea mzigo Tanzania
4. Mambo mengine muhimu ninayotakiwa kuwa nayo ukiondoa hoja kama leseni, fremu n.k.
Naomba kuwasilisha.
Ahsante sana.