Trade dispute: Uganda considers ban on Kenyan products

Mataifa ya kiimla kamwe hayawezi kuwa rafiki wa Kenya. Ndio maana Hayati hakuwa rafiki ya kenya na kenya kwa taarifa za siri wakatengeneza dude moja kwenye mtandao lililo mtesa sana mzeee... Dude lile baada ya Baba kuondoka na Mama kwenda kuongea nao sasa hivi ni joka lisilo na kibisa. Limepoa....
Kufupisha maneno tungesema mbea namba moja anaye toa siri za mataifa ya africa kwa ukanda huu ni Ke... Ndio maana yule mtu mrefu nikama ana hepa sana taifa hilo ila ukweli ni kwamba hata pepo ya majasusi wa dunia ipo ke.... Hutaki tulia uwone.
Vipi kuhusu Nyerere?, The most respected African leader, Pan-Africanism, selfish, humble and generous person, who fought for liberation of African countries until they got their freedoms, only country he couldn't get along with is Kenya.
 
Back
Top Bottom