Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,928
- 16,914
Ngeleja lazima atapata kichaa kusikia haya
1: PCCB inasema kurudisha hela za escrow hakukuondolei mashtaka na kushtakiwa kuko pale pale
2: TRA inasema haihusiki na kuzipokea hela za escrow sbb kazi yao ni kukusanya kodi, hivyo Ngeleja kabaki mkiwa na case yake inakuja moto balaa yaani kheri angekaa kimya asubiri kusulubiwa tu, hizi hela za escrow zitawatokea sehemu yoyote iliyo wazi alafu Mkuu alisema hela ya serikali haipotei, ila mtu anaweza potea, sio hela za serikali..
Poleeeeeeniiiiiiiii mliokula hela za escrow zilikuwa tamuuuuuuuuuuu sasa zinageuka sumuuuuuuuuuuuuuu
1: PCCB inasema kurudisha hela za escrow hakukuondolei mashtaka na kushtakiwa kuko pale pale
2: TRA inasema haihusiki na kuzipokea hela za escrow sbb kazi yao ni kukusanya kodi, hivyo Ngeleja kabaki mkiwa na case yake inakuja moto balaa yaani kheri angekaa kimya asubiri kusulubiwa tu, hizi hela za escrow zitawatokea sehemu yoyote iliyo wazi alafu Mkuu alisema hela ya serikali haipotei, ila mtu anaweza potea, sio hela za serikali..
Poleeeeeeniiiiiiiii mliokula hela za escrow zilikuwa tamuuuuuuuuuuu sasa zinageuka sumuuuuuuuuuuuuuu