TRA yaikadiria ACACIA deni la Tsh. Trilioni 425.4 kama Malimbikizo ya Kodi

Nimeishia kucheka tu

Kampuni haijasajiliwa ila inapokea assessment ya kodi. Kampuni hewa ila TRA wana data zake!!!!!!!!

Kinachoniuma hapa ni kuwa watz tunapumbazwa na propaganda za makinikia wakati kitu pure kinapaa na ndege. Kama kuibiwa ni kweli tumeibiwa na tunaendelea kuibiwa kwa hisani ya usanii wa CCM.

$204billion ni kama 420trilion Tsh. Hii ni budget ya TZ miaka 15. Kama walikuwa wanalipa kodi isiyozidi 15% inamaana hawa jamaa walikuwa wametengeneza zaidi ya $900 billion from Tanzania ndani ya miaka 17. Na hapa acacia ni branch tu ya Barrick. Hii pesa tungekuwa tunalipwa, hivyo basi kodi ya Acacia ingetosheleza kufinance budget yetu ya miaka 17 iliyopita. Yani Watanzania tungekuwa hatulipi kodi wala kuomba mkopo. Yan ni kupokea kodi tu toka acacia na sisi tungekula tu bata.
8db4829c43c06d8b06ad4fe19c6f3bf2.jpg


Kumbuka pia acacia ni moja tu ya Gold mine company in Tanzania. Kuna mgodi mikubwa unaomilikiwa na AngloGold& Ashant kama bonge la openi pit lile la "Geita Gold Mine(GGM)' lililoanza operation toka mwaka 2000. Kwa pesa tunayowadai acacia, kama Geita Gold mine nao wangekuwa wanalipa kodi iyo, bac Tanzania ingekuwa na uwezo wa kupokea zaidi ya $30billion kutoka katika iyo migodi miwili tu. Hata budget yetu tungekuwa tunaongelea zaidi ya Trillion 100 kwa mwaka.

Ki uhalisia, GGM wao hawalipi kodi ya zaidi ya $300 million kwa mwaka. Ila Acacia ndyo wanatakiwa kulipa mara 50 yake kwa mwaka. Na kama ni kweli acacia wanatuibia na iyo ndyo pesa wanayopaswa kutulipa, basi hata na GGM wanatuibia sana sambamba na migodi mingine.

466349f6eb07d7cc7646bff5abb4c811.jpg


Tanzania ni nchi ya 4 duniani kwa kuzalisha Gold. Tanzania imekuwa ikizalisha Gold yenye value isiyozidi $1.5billion kwa mwaka. Ila kwa kodi tu tunayoidai acacia ni kuwa mgodi mmoja uliweza kutoa gold yenye thamani zaidi ya $70billion kwa mwaka.

South Africa NI nchi inayoongoza katika uzalishaji wa Gold. Lakini haijawai zalisha gold yenye value inayofikia $4billion kwa mwaka. Kwa maana hiyo, kwa data wanazotumia TRA, Tanzania inabidi ndyo iwe nchi inayoongoza uzalishaji wa gold na ipewe Guiness Award kwa kuvunja record ya kuzalisha Gold nyingi kiasi kuwa hata dunia nzima haikuwai zalisha.

Inabidi ifikie atua watu wazima waache kufanya maigizo ya kitoto aseeee. Watanzania sio wajinga to that extent.


Siku acacia wakilipa hata 10% ya ilo deni, mimi nitatembea uchi toka kibiti hadi kariakoo. I swear.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lazma utembee uchi maana wee ni kichaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuri is right,and its a good tactic,Accacia by now their sweating like saturated sponge.They may end up paying us 10% to 20 % of it.Its not bad to squeeze some dough from the monster thief.
 
acacia is a public company mkuu. hivyo taarifa zote lazima zifike kwenye public mkuu. soma vizuri sharia na taratibu ya aina mbalimbali ya macompany.
Mkuu Acacia sio Public Company. Acacia ni private company henceforth hiki walicho kufanya ni kutaka public thempathy..
Mkuu bado watatakiwa kukaa chini na Tra, Kuproduce evidence ya kupinga. Madai
 
Nyie kaeni mpige miayo tu maana kubwabwaja ndio zenu kama yule wakili anayetetea kila jambo.

Hawa jamaa kwa wanachotufanyia kama taifa,bila kutumia ubabe hatuna namna tunaweza wafanya.wakiweza waondoke tutaangalia namna nyingine.
Haya ya kuibiwa ndo unayajua leo SISTER???, Huo wizi umetengenezwa na hao hao wanaokamata leo Mwizi.
Hapa Cha muhimu Wabunge wa ccm na viongozi wao wote waliopo madarakani na waliostaafu wachukuliwe wapelekwe kwa mkemia mkuu wakapimwe MKOJO, JASHO, MACHOZI KAMASI NA DAMU, hii itatusaidia kujua shida inatokea wapi, Kama mkemia atatoa matokeo chanya basi Kipaumbele chetu kama taifa tuanze na upanuzi wa hospital ya MILEMBE na tuboreshe SOBER HOUSE zilizopo.
Tunaweza kuwa tunaongozwa na vichaa tangia December 1985.Hii cyo hali ya kawaida hata kidogo.
 
Mkuu Acacia sio Public Company. Acacia ni private company henceforth hiki walicho kufanya ni kutaka public thempathy..
Mkuu bado watatakiwa kukaa chini na Tra, Kuproduce evidence ya kupinga. Madai
naludia tena kusema ACACIA IS PUBLIC COMPANY. Mkuu public company haina maana inamilikiwa na serikali fulani bali ni namba ya share holder ndiyo inaweza ifanya kuwa public au private. soma types of company google. na siyo ubishe tu. na ndiyo maana unaweza nunua share hata wewe ukihitaji.
 
Kutangaza kwamba tumeibiwa kiasi hicho ni aibu, harafu Mwizi unamwomba aje mzungumze.

Jamani tuache Siasa, Mikataba mibovu tumesaini, Sheria mbovu tumetunga, Hivi walio Saini hiyo Mikataba na kutunga Sheria mbovu tunawaachaje?

Yaani wizi wa Tirioni 508 tunauongelea kama tumeibiwa Buku? kwanza huu wizi upo kweli au Siasa tu, unajua hapa napata wasiwasi, Kama kweli wizi huu upo harafu tunauongelea kwenye majukwaa ya Siasa napata wasiwasi sana.

Kama Raisi anania ya kuikomboa Nchi hii, asibague Wezi, Mwizi ni mwizi haijarishi alishakuwa nani Nchi hii, na ukibagua huwezi kupata Chanzo cha Wizi, Kama Wizi Mkubwa kama huu ulifanyika na Maraisi walikuwepo, Mawaziri walikuwepo, Makatibu wakuu walikuwepo, Wanasheria walikuwepo, kwanini uhangaike na Mwizi mwenyewe pekeyake? cha ajabu Mwizi huyu ana Document anaonyesha na kusema mimi sijaiba, unamwachaje aliyempa hizo Document?

Kama TRA kweli wanadai Kodi yote hii walikuwa wapi? Yani Mgodi haulipi Kodi miaka zaidi 18? kweli? na mmewezaje kujua kama Kodi mnadai kiasi hicho wakati mlisema hawajasajiriwa? Mwizi anajulikana vipi kaiba kiasi hicho bila kupitisha Mzigo alioiba mikononi mwenu?

Kati ya Serikali na ACACIA nani Mwizi? mbona mbona naona kama kuna umoja hapa wa kuiba?

Serikali na ACACIA wote ni wezi ila naona wamedhurumiana sio bure.
tutajua tu mwisho.

maana kila kesho kunaibuka Movie mpya.
 
Kutangaza kwamba tumeibiwa kiasi hicho ni aibu, harafu Mwizi unamwomba aje mzungumze.

Jamani tuache Siasa, Mikataba mibovu tumesaini, Sheria mbovu tumetunga, Hivi walio Saini hiyo Mikataba na kutunga Sheria mbovu tunawaachaje?

Yaani wizi wa Tirioni 508 tunauongelea kama tumeibiwa Buku? kwanza huu wizi upo kweli au Siasa tu, unajua hapa napata wasiwasi, Kama kweli wizi huu upo harafu tunauongelea kwenye majukwaa ya Siasa napata wasiwasi sana.

Kama Raisi anania ya kuikomboa Nchi hii, asibague Wezi, Mwizi ni mwizi haijarishi alishakuwa nani Nchi hii, na ukibagua huwezi kupata Chanzo cha Wizi, Kama Wizi Mkubwa kama huu ulifanyika na Maraisi walikuwepo, Mawaziri walikuwepo, Makatibu wakuu walikuwepo, Wanasheria walikuwepo, kwanini uhangaike na Mwizi mwenyewe pekeyake? cha ajabu Mwizi huyu ana Document anaonyesha na kusema mimi sijaiba, unamwachaje aliyempa hizo Document?

Kama TRA kweli wanadai Kodi yote hii walikuwa wapi? Yani Mgodi haulipi Kodi miaka zaidi 18? kweli? na mmewezaje kujua kama Kodi mnadai kiasi hicho wakati mlisema hawajasajiriwa? Mwizi anajulikana vipi kaiba kiasi hicho bila kupitisha Mzigo alioiba mikononi mwenu?

Kati ya Serikali na ACACIA nani Mwizi? mbona mbona naona kama kuna umoja hapa wa kuiba?

Serikali na ACACIA wote ni wezi ila naona wamedhurumiana sio bure.
tutajua tu mwisho.

maana kila kesho kunaibuka Movie mpya.
Mkuu una mwandiko mgumu sana,
 
Wewe ni muongo wewe binafsi nishaona dhahabu ikisafirishwa inatoka mara moja kwa mwezi bila ratiba maalumu na ni helcopter

Acha uongo mtu mzima wewe ujue eti ndege kubwa kama godown daaaah hivo viwanja vyao vya ndege ni vi air strip tu hata ndege ukubwa wa fastjet au boeing haiwezi tua ungesema bombadier ningekuelewa

Acha uongo
Niamini ndugu yangu. Haya niliyosema niliyashuhudia mwenyewe kwa macho yangu nilipotembelea mgodi wa BGM miaka kadhaa iliyopita. Hiyo runway ya ndege iliyopo mgodini hapo ni ndefu kuliko ile ya Dar (JNIA). Hayo ma cargo planes ya Urusi ni makubwa mithiri godown kubwa na hufunguliwa kwa nyuma. Huruka moja kwa moja toka ulaya hadi BGM bila kutua sehemu ye yote. Yakishajazwa dhahabu huruka moja kwa moja hadi kwenye migodi yao ya DRC kujaza mafuta na baada ya hapo huruka direct hadi ulaya. Yalikuwa ni madege manne kwa siku. Yaani nilikuta limoja linajazwa mawe ya dhahabu likiwa limefunuliwa mlango wake wa nyuma, na dege jingine la aina hiyo hiyo likiwa lime park uwanjani hapo likisubiri zamu yake kujazwa dhahabu!

Wazungu wa mgodi huo hawana makazi mgodini hapo. Wao makazi yao yako Dar es Salaam maeneo ya uzunguni (Osterbay, Masaki na sehemu kama hizo). Huja mgodini kwa kutumia ndege zao za jet engines ambazo idadi yake haipungui 5 na hutumia saa moja tu toka Dar hadi kwenye mgodi wao wa BGM. Yaani akitoka Dar saa 1 asubuhi by saa 2 asubuhi anakuwa yuko mgodini. Hutoka mgodini saa 12 jioni na by saa moja usiku wanakuwa wako nyumbani kwao Dar!!. Pale mgodini hukaa ma surbodinates wao tu ambao ni watanzania wenzetu waliopewa kazi ya kulinda masilahi ya hawa wenye migodi ikiwa ni pamoja na kuwa spokesmen wao kama wanavyofanya humu mitandaoni na sehemu zingine. Huu ndiyo ukweli. Tanzania ina dhahabu nyingi sana. Hata ile inayovunwa tu na wachimbaji wadogo wadogo tungekuwa tuna utaratibu wa kuikusanya pamoja ingeweza jaza dege moja la aina hiyo kwa siku.
 
Nimeishia kucheka tu

Kampuni haijasajiliwa ila inapokea assessment ya kodi. Kampuni hewa ila TRA wana data zake!!!!!!!!

Kinachoniuma hapa ni kuwa watz tunapumbazwa na propaganda za makinikia wakati kitu pure kinapaa na ndege. Kama kuibiwa ni kweli tumeibiwa na tunaendelea kuibiwa kwa hisani ya usanii wa CCM.

$204billion ni kama 420trilion Tsh. Hii ni budget ya TZ miaka 15. Kama walikuwa wanalipa kodi isiyozidi 15% inamaana hawa jamaa walikuwa wametengeneza zaidi ya $900 billion from Tanzania ndani ya miaka 17. Na hapa acacia ni branch tu ya Barrick. Hii pesa tungekuwa tunalipwa, hivyo basi kodi ya Acacia ingetosheleza kufinance budget yetu ya miaka 17 iliyopita. Yani Watanzania tungekuwa hatulipi kodi wala kuomba mkopo. Yan ni kupokea kodi tu toka acacia na sisi tungekula tu bata.
8db4829c43c06d8b06ad4fe19c6f3bf2.jpg


Kumbuka pia acacia ni moja tu ya Gold mine company in Tanzania. Kuna mgodi mikubwa unaomilikiwa na AngloGold& Ashant kama bonge la openi pit lile la "Geita Gold Mine(GGM)' lililoanza operation toka mwaka 2000. Kwa pesa tunayowadai acacia, kama Geita Gold mine nao wangekuwa wanalipa kodi iyo, bac Tanzania ingekuwa na uwezo wa kupokea zaidi ya $30billion kutoka katika iyo migodi miwili tu. Hata budget yetu tungekuwa tunaongelea zaidi ya Trillion 100 kwa mwaka.

Ki uhalisia, GGM wao hawalipi kodi ya zaidi ya $300 million kwa mwaka. Ila Acacia ndyo wanatakiwa kulipa mara 50 yake kwa mwaka. Na kama ni kweli acacia wanatuibia na iyo ndyo pesa wanayopaswa kutulipa, basi hata na GGM wanatuibia sana sambamba na migodi mingine.

466349f6eb07d7cc7646bff5abb4c811.jpg


Tanzania ni nchi ya 4 duniani kwa kuzalisha Gold. Tanzania imekuwa ikizalisha Gold yenye value isiyozidi $1.5billion kwa mwaka. Ila kwa kodi tu tunayoidai acacia ni kuwa mgodi mmoja uliweza kutoa gold yenye thamani zaidi ya $70billion kwa mwaka.

South Africa NI nchi inayoongoza katika uzalishaji wa Gold. Lakini haijawai zalisha gold yenye value inayofikia $4billion kwa mwaka. Kwa maana hiyo, kwa data wanazotumia TRA, Tanzania inabidi ndyo iwe nchi inayoongoza uzalishaji wa gold na ipewe Guiness Award kwa kuvunja record ya kuzalisha Gold nyingi kiasi kuwa hata dunia nzima haikuwai zalisha.

Inabidi ifikie atua watu wazima waache kufanya maigizo ya kitoto aseeee. Watanzania sio wajinga to that extent.


Siku acacia wakilipa hata 10% ya ilo deni, mimi nitatembea uchi toka kibiti hadi kariakoo. I swear.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chief kwann umeamua kuumiza hisia zangu kiasi hiki.....
Umedadavua mengi ambayo nilikua hata sitaki kuyajua maana nilijua nitaumia, aaah!
Hii nchi hii.....CCM walaaniwe waingiapo na watokapo, sio kama sipendi tulipwe ila hawa accacia wakilipa nitakuja kukupa kampani chief ya kutembea uchi.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Mbona mnapotosha? Waliotaarifiwa ukwepaji kodi ni Bulyanhulu Gold Mine Limited (“BGML”) and Pangea Minerals Limited (“PML”). ACACIA hatuwatambui. Muelewe hivyo.
 
Back
Top Bottom