johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,226
- 142,395
Kamishna mkuu wa TRA ndugu Kicheere amesema mamlaka yake iko mbioni kuanzisha mfumo ambao wanywaji watatambua kama pombe wanayokunywa imelipiwa kodi.
Mlevi atapaswa kutumia simu ya mkononi kuhakiki kinywaji chake kama ni halali na kimelipiwa kodi.
Kicheere amesema hayo alipofanya ziara ya kushtukiza mjini Babati.
Mlale unono
Maendeleo hayana vyama!
Mlevi atapaswa kutumia simu ya mkononi kuhakiki kinywaji chake kama ni halali na kimelipiwa kodi.
Kicheere amesema hayo alipofanya ziara ya kushtukiza mjini Babati.
Mlale unono
Maendeleo hayana vyama!