Takukuru na vyombo vingine vianzishe uchunguzi kwa maofisa vinara wa kuwabambikia kodi kubwa kufunga Account za wafanyabiashara kienyeji ili wakamate mali zao majumba yao ikibidi washitakiwe iwe fundisho kwa wengine wenye Tabia mbovu kama za hao wachache wasiokuwa waaminifuMbona nyambafu wengi zaidi mnao majumbani kwenu wakijenga mahekalu huko Kimara, Kinsudi, Bonyokwa na kwingineko.
Semeni tu !
Tulianzishe kuleta picha humu mtandaoni?
Na uzuri siku hizi unaweza weka hata google location.
Kwa nin uwatake Wana-JF ndio waje na hao watu?Safi sana waziri sasa umeanza vizuri, tunaomba wana JF waje na List ya maofisa wa TRA vinara wa kufunga Account kuwabambikia kodi kubwa hasa wilaya ya ilala kule long room makao makuu ya TRA, TRM mkoa wa Dsm Kinondoni na Temeke ndipo kuna vinara wa kuwabambikia kodi na kufunga Account za wafanyabiashara kienyeji kwa njia haramu za kishetani.
Mkuu kuna vinara humu hawajui kuwa tunaishi nao mitaani.Takukuru na vyombo vingine vianzishe uchunguzi kwa maofisa vinara wa kuwabambikia kodi kubwa kufunga Account za wafanyabiashara kienyeji ili wakamate mali zao majumba yao ikibidi washitakiwe iwe fundisho kwa wengine wenye Tabia mbovu kama za hao wachache wasiokuwa waaminifu
Zipo Sheria za kufunga Account ikiwa ni pamoja na kumwarifu mmiliki wa Account kabla ya kufunga Account, lakini baadhi ya maofisa vinara wa Rushwa huwa hawazifuati Sheria hufunga Account kienyeji tu kutengeneza mazingira ya RushwaKwa nin uwatake Wana-JF ndio waje na hao watu?
Unafikiri suala la kufunga akaunti ya mtu ya Benki ni suala la mtu mmoja? Kila kitu kinajulikana na sio wao waamue wao kama wao ila ni suala la Ki-Taasisi. Hivyo kuwasimamisha hao kazi ni kuwaangushia jumba bovu la Taasisi, wangeanza na nani anatoa amri ya watu kufungiwa akaunti zao na kwa nin wanafanya hivyo. Tofauti na hapo ni sanaa tu kama zile za Bagamoyo.
Mkuu nimekuelewa,nakuli maelezo yako kutokana na mabadiliko ya kila wakati Sina shida na hii labdaKodi zinatokana na sheria ambazo accountants inabidi wazitumie ila siyo kitu constant maana kodi zenyewe zinabadilika kila mwaka wa fedha na mara nyingine kubadilika kwake zinabadilisha treatment of certain items in the final accounts.
Jinsi wenzetu wanavyo update practice wataalamu wa sheria za kodi (ambao na wenyewe lazima walikuwa accountants in their past life) wanatafsiri application za sheria kwa kutoa vitabu ambavyo accountants wote wasiobobea kwenye tafsiri za sheria wanatumia, that’s how things work.
Vinginevyo bila ya watu kama hao kila mwaka all accountants will need to get the entire budget manuscript and start to interpret the law, utaratibu utakuwa ni majanga sio wote watasoma kwanza na kwa watakaosoma chances are kutakuwa na variation of interpretation.
Kurahisisha mambo ndio maana wataalamu wa tax law ambao ni accountants waliojiongeza wanatafsiri kodi zilizobadikika kwenye budget na application zake pamoja na mambo mengine allowed or disallowed expenditures and so for forth to do with VAT taxes as well final accounts.
Na hao ndio wataalamu the likes of international accounting firms such as PWC or KPMG hire, watu kama hao sheria zetu za copy and paste wanazijua applicability yake kushinda accountants tia maji tia maji wa TRA.
Ndio maana unaona makampuni makubwa ya kigeni wanatumia hizo large accounting firms kuwafanyia hesabu zao matokeo yake tunabaki tunalia hawalipi kodi wakati sheria wanazotumia tumepitisha wenye bungeni.
Kwa ivyo kusema utaanzisha mjadala wa kodi wakati mambo yanabadilika kila mwaka sio tu kwamba watu wanaweza pishana interpretations (kama ulivyoona baadhi ya wachangiaji humu kwenye treatment za withholding tax) bali unaweza kuwa mjadala usio jenga.
Ni muda wa kuchapisha kitabu cha kutumiwa na proffesionals (ambacho kinakuwa updated kila mwaka) kama nchi nyingine wanavyofanya mambo, iwapo ili jambo alifanyiki kwa sasa.
Wewe ni Mjasiriamali wa level gani, mbona unauliza vitu very basic, wewe ni presumptive tax payer, unatakiwa niulize vitu vikubwa. Niulize nikufanyie tax Planning za biashara zako ili upate unafuu wa kodi katika sector ya biashara uliyopo, hizo ndio interview ninazoulizwa sio huo ujinga hapo.wewe niulize nitakujibu on spot hapa achana na maswali ya kitoto hayo wanayouliza presumptive taxpayer.Nikupe swali jingine rahisi ili kuku expose dunia nzima ijue aina ya watuwetu wa kodi tulio nao.
Je katika biashara yako uliyoieleza , profit yako ni kiasi gani?
Tulieni Dawa yenu inaivaKwa nin uwatake Wana-JF ndio waje na hao watu?
Unafikiri suala la kufunga akaunti ya mtu ya Benki ni suala la mtu mmoja? Kila kitu kinajulikana na sio wao waamue wao kama wao ila ni suala la Ki-Taasisi. Hivyo kuwasimamisha hao kazi ni kuwaangushia jumba bovu la Taasisi, wangeanza na nani anatoa amri ya watu kufungiwa akaunti zao na kwa nin wanafanya hivyo. Tofauti na hapo ni sanaa tu kama zile za Bagamoyo.
Sawa mimi kilaza.ndio uzuri wa kutumia wrong I'd. Mimi najulikana humu physical na wanajf kadhaa .unavyoniita kilaza ndio kwanza wanakushangaa weweHizi kazi inabidi wapewe watu waliowiva.
Mfano uliotoa kweli ni kilaza.
Jibu swali acha longo longo!Wewe ni Mjasiriamali wa level gani, mbona unauliza vitu very basic, wewe ni presumptive tax payer, unatakiwa niulize vitu vikubwa. Niulize nikufanyie tax Planning za biashara zako ili upate unafuu wa kodi katika sector ya biashara uliyopo, hizo ndio interview ninazoulizwa sio huo ujinga hapo.wewe niulize nitakujibu on spot hapa achana na maswali ya kitoto hayo wanayouliza presumptive taxpayer.
Leteni orodha ya hao maafisa na ofisi wanazofanyia kazi.Zipo Sheria za kufunga Account ikiwa ni pamoja na kumwarifu mmiliki wa Account kabla ya kufunga Account, lakini baadhi ya maofisa vinara wa Rushwa huwa hawazifuati Sheria hufunga Account kienyeji tu kutengeneza mazingira ya Rushwa
Kila mfanyabiashara ana TIN number kwa ivyo unapolipa kodi wanaona.Mkuu nimekuelewa,nakuli maelezo yako kutokana na mabadiliko ya kila wakati Sina shida na hii labda
tu inakuaje mfanyabiashara may A amekuwa akifunga mahesabu kila mwaka na TRA pamoja na mabadiliko ya kila mwaka then badae hao TRA wanaludi KWA mlango wa nyuma,kwamba hukujua hulipi kodi vizuri ,unapewa charge ya mapesa mengi,hii mkuu tatizo kua wapi, na ni vipi laweza epukika na wafanyabiashara?
Vijana msijikweze maisha ni pesa na pesa n maishaSawa mimi kilaza.ndio uzuri wa kutumia wrong I'd. Mimi najulikana humu physical na wanajf kadhaa .unavyoniita kilaza ndio kwanza wanakushangaa wewe
Sawa wenda huu ndo utaratibu mzuri mkuu wa watumishi waadilifu,but wa Sasa wanatumia mwanya huo kukubambikia kodi mpaka m300 how comes ,Kila mfanyabiashara ana TIN number kwa ivyo unapolipa kodi wanaona.
Sasa baada ya kulipa kodi zako ata kama ujazulumu aina maana TRA awawezi kuja kukukagua kwa sababu wao sio collectors tu but also enforcers kuhakikisha kodi unayolipa ni sahihi.
Sababu zinazoweza kuja kufanya waje kukutumbelea baada ya kulipa kodi zipo kadhaa.
Mojawapo size ya business yako aiwezekani biashara za Mary na Mariam ziwe almost size sawa, zipo maeneo ya karibu, inventory zao almost sawa na madai ya input VAT karibu sawa.
Halafu kwenye kulipa output VAT na profit tax kuwe na variation kubwa kati ya hawa wafanyabiashara wawili. Ikiwa ivyo anaelipa kidogo anawapa wasiwasi wa kwenda kuchunguzwa, wakikuta kweli umewazulumu ndio shida inapoanza.
Note: not always necessary the case biashara kufanana kwa size ina maana na kodi zao lazima zifanane kuna sababu kadhaa pia inawezekana mmoja wao ana accountant mzuri wa kuhakikisha anatumia kila loop hole kwenye sheria kwa manufaa yake kupunguza kodi or whatever.
Sababu nyingine kushuka kwa ulipaji wako wa kodi historically uwezi ukawa unalipa average ya kiasi kadhaa mara tu kodi zako zikashuka.
Mwisho ata kama kila kitu unacholipa sawa na average business za size they can just drop in they are entitled, muhimu ni kuweka kumbukumbu sambasamba na matakwa ya sheria na kuwa na hesabu zako za nyuma as well as your current ledgers.
Ukikutwa na tatizo ndio kuna madai na fines na surcharges; depending na makosa waliokuta fines will emulate what the law states.
Utabambikiwaje kodi kama kila kitu unacho ngoja nikupe mfano wa vitu ambavyo unatakiwa kuwa navyo kama ushahidi.Sawa wenda huu ndo utaratibu mzuri mkuu wa watumishi waadilifu,but wa Sasa wanatumia mwanya huo kukubambikia kodi mpaka m300 how comes ,
Sasa shilingi zitawasaidia nini na tunahali mbaya ya forex hakuna hata kuagiza vitu nje ni issue.Wametumwa hao na kinachofanyika kinafahamika vizuri sana. Sasa hivi mabeberu wamegoma kutoa hela kutokana na rekodi mbaya ya utawala bora na demokrasia. Hivyo kinachofanyika ni kupora hela za watu kinguvu. Rejea uporaji wa hela za Bureau de change.
Lipa ndugu kama hutaki hama nchi.KUna kodi hazilipiki
Mi5tenaKuna ujinga mwingi sana pale. Nimekua nafanya kazi na wafanyabiashara na nimekutana na vitu ambavyo mtu unajiuliza hawa TRA nia yao haswa ni nini. Kwani hawaoni kwamba wasiposaidia wawekezaji kukua ni sawa tuu na kuhujumu uchumi??
TIC nao walikua hivyohivyo wamebadilisha wakurugenzi weweee lakini wapi. Kuna hujuma kubwa sana kwenye hivi vyombo vya serikali
Na hizi hujuma zinaumiza wananchi na wawekezaji wote wa nje na wazawa.. pamoja na watanzania wengine wanaotegemea huu uwekezaji kuendesha maisha yao
TRA wafike mahala wawe chombo cha kuhamasisha uwekezaji kwa wawekezaji wenye nia njema
Na iwashughulikie wahujumu uchumi bila kuumiza wengine