Ninaye ambAye ninafanya naye na kumlipa kwa task lakini bado imekuwa ngumu na hawa ma tax consultant wengi huwa wanafanya deal na ma officers wa TRA ili kuumiza wafanyabishara hasa pale ambapo umeshindwa kuingia anga zao lazima wakuchinjie baharini.ajiri tax consultant wa maana
TRA ni wauAji wa biashara hawastahili sifa yoyoteTRA inaweza kuwa inaongoza tanzania kwa kuajiri majembe tanzania ndio taasisi bora kimahesabu kwa mujibu wa bodi ya wahasibu tatizo maagizo
Yaani ni mambo ya ajabu kodi ni nyingi na hazilengi kusaidia wafanyabishara bali hulenga kuwaumiza wafanyabaisharaKwa huo ujinga wa kujipa vichwa mnashindwa hata kueleza na ku interprt misingi ya With Holding Tax, kulinganisha na Corporate Tax, ikiwa ni pamoja na provisional tax.
Sijawahi kuona afisa wa TRA ambaye amezielezea hizi kodi tatu kwa pamoja, na akaeleweka.
Maafisa wngi wa TRA ni mediocre tu, no less.
Unafanya biashara gani.?Ndio wewe unayo ?
Wewe mbweha ebu acha ufala wako naona umevuta Bangi kuja kuvuruga mada unyumbu wako peleka kwa wavuta Bangi wenzako, acha kutetea maofisa wa TRA waonevu kwa wafanyabiashara kwa njia haramu za kishetaniUme misquote , rudi nenda ka quote ulie tarajia Ku quote
Wazazi wako bora wangetumia condom tu,
Unakua kama nyumbu, unavamia tu kila kinachokuja mbele yako
Mbinu zipi wamezuia? usumbufu wao kwa wafanyabiashara hauna uhusiano na hivyo visingizio vyako, kwenda kumbambikia mfanyabiashara kodi kubwa kufunga Account yake vina uhusiano gani na hayo? Acha kutengeneza visingizio vya kishamba kuharalisha uonevu manyanyaso ya baadhi ya maofisa wa TRA wasio waaminifuFor some reason, I am with 'him' (vichwa viwili) on this!
Sio kila jambo lifanywalo ni baya. Utekelezaji kwa baadhi ya watumishi unaweza kuchangia sana mwonekano huo.
Kule kwingine ulikowahi kuandika kuwa umewahi kuishi huko, sijui mtu utakwepaje kulipa kodi stahiki!
Hapa kwetu hata kutoa tu 'receipt' ya mauzo ni kazi, na ukiidai unatazamwa kwa jicho kali sana. Huko kwingine hawahangaishwi tena na hivi vi-risiti vya mauzo. Bidhaa inapo'scanniwa' wakati wa mauzo, tayari na kodi imeshaingia mahala stahili. Sijui TRA watatufikisha huko lini?
Baadhi ya kelele na vilio vingi hivi vinaweza kuwa vinasababishwa na mafanikio ya kuzuia mbinu za kukwepa kodi wanazozifanya TRA.
Takukuru waingie kazini maofisa wote vinara wa kuwabambikia kodi kubwa kufunga Account za wafanyabiashara kienyeji kishamba kwa njia haramu za kishetani wachunguzwe mali zao na ikibidi washitakiweNini kifanyike Sasa, maana wanapoelekea watasababisha NDUGU zetu wengi kufa mapema Kama sio kwamba wameisha anza ,
Sio kweliNinaye ambAye ninafanya naye na kumlipa kwa task lakini bado imekuwa ngumu na hawa ma tax consultant wengi huwa wanafanya deal na ma officers wa TRA ili kuumiza wafanyabishara hasa pale ambapo umeshindwa kuingia anga zao lazima wakuchinjie baharini.
Vilaza tu wote, you included.labda unaokitana nao hao wa presumptive taxes.mi muhasibu wa kampuni ya mtu ukweli hawa wa LTD ni wakali balaa
Huenda utakuwa mhusika hautaki kung'amua ukweli au haujawahi kuwa mfanyabiasharaSio kweli
Jukumu namba moja la tax consultant ni kimlinda mteja tunaamini mteja akiendelea ku-exist sokoni hata sisi tax consuntants tutazidi kuwepo sokoni na maisha yanaendelea. Na pia wateja tunapata kwa kuunganishiwa na wateja ambao tumeshawasaidia, sasa nitapataje wateja wapya kama mimi nakula njama na TRA wapigwe kodi kubwa.ndio maana nikakukataliaHuenda utakuwa mhusika hautaki kung'amua ukweli au haujawahi kuwa mfanyabiashara
Hata hio SUKITA anaijua???Hivi SUKITA ilifufuliwa?
Umachinga, kia
This is too much sasa, hawa watu wanataka wanatanzania tuishi vipi?View attachment 1650714
Wameshafika mpaka kwa wakulima. Hii niliifungulia post naona mod wameifuta
Kama upo ukanda wa bahari nikutafte?Jukumu namba moja la tax consultant ni kimlinda mteja tunaamini mteja akiendelea ku-exist sokoni hata sisi tax consuntants tutazidi kuwepo sokoni na maisha yanaendelea. Na pia wateja tunapata kwa kuunganishiwa na wateja ambao tumeshawasaidia, sasa nitapataje wateja wapya kama mimi nakula njama na TRA wapigwe kodi kubwa.ndio maana nikakukatalia
Mbona sikuelewi mkuu 'minyoo'.Mbinu zipi wamezuia? usumbufu wao kwa wafanyabiashara hauna uhusiano na hivyo visingizio vyako, kwenda kumbambikia mfanyabiashara kodi kubwa kufunga Account yake vina uhusiano gani na hayo? Acha kutengeneza visingizio vya kishamba kuharalisha uonevu manyanyaso ya baadhi ya maofisa wa TRA wasio waaminifu
Wewe ndiyo mnufaika wa uonevu unyanyasaji wa maofisa wa TRA kwa wafanyabiasharaSio kweli
Hawa maofisa kama wapo ni lazima washughulikiwe, "wachunguzwe mali zao...); na hapo hapo usisahau wafanyabiashara ni lazima walipe kodi zao stahiki. Hilo haliepukiki.Takukuru waingie kazini maofisa wote vinara wa kuwabambikia kodi kubwa kufunga Account za wafanyabiashara kienyeji kishamba kwa njia haramu za kishetani wachunguzwe mali zao na ikibidi washitakiwe