TRA wanalipaje hiki kitengo

TRA wanalipaje hiki kitengo

R_Breazy

Member
Joined
Aug 28, 2025
Posts
47
Reaction score
72
Habari za wakati huu

Katika harakati za kujitafutia ugali after chuo, nimetapanya CV yangu karibu kila office niliyoona kuna fursa iwe private/Gvt.

Nyingine zilitiki na nyingine ndo kama hivyo tena.
Mpaka SAIVI nipo kwenye issue fulani nafanya ila malipo si mazuri sana ila sababu sina kitu cha kufanya ilibidi nipige kazi-Wayback niliomba nafasi halmashauri fulani(Tax collector) Sina uhakika 100% kuwa nimepata ila naona kuna dalili nzuri, Mungu abariki katika hili, make life naloishi ni Fight for the survivor (movie fulani la kutisha) kwa nje mtu akiniona hawezi jua niliyoyabeba.

Anyway, mambo ni mengi ila naomba kufahamu kuhusu malipo ya tax collector yakoje kwa mtu anayeanza(beginner) kwenye halmashauri? Aliyewahi kufanya hizi kazi/ uelewa naomba unisaidie kufahamu jinsi utendaji kazi unavyoenda(General operations kwa kuangalia faida na hasara kwa mfanyakazi) kwa nafasi niliyoomba.

Wayback nilijua ni kazi za kuongea tu unaenda kupiga kazi kumbe kuna kusainishana hadi mikataba!
Wakuu naombeni msaada katika hilo kabla sijaacha nilipo bila kujua nakoenda kukoje.​
 
Kazi ya zakayo...mtoza ushuru,jipange kutembea sana na kujua mitaa,nunua safari boot,cap...kama mweupe jipange kuwaa mweusi kama uko dar....utakuwa unachukua ushuru wa masoko,magari yq mizigo...choo cha hamashauri....kila laherii,jua sio tra
 
Jiandae kutembea sana maana ni fieldwork hiyo, kuhusu mshahara inategemea na kiwango chako cha elimu (astashahada /diploma /certificate.

Hiyo kazi umepata ya kudumu au ni contract ya muda fulani tu?
 
Kazi ya zakayo...mtoza ushuru,jipange kutembea sana na kujua mitaa,nunua safari boot,cap...kama mweupe jipange kuwaa mweusi kama uko dar....utakuwa unachukua ushuru wa masoko,magari yq mizigo...choo cha hamashauri....kila laherii,jua sio tra
Show show muhimu kibunda mzee, mbona hajasema wanavyolipa
 
Ukiingia huko tengeza magape upige hela ufanye maisha yako, hii nchi watu wezi wameisha amua kuwa we

Ukiingia huko tengeza magape upige hela ufanye maisha yako, hii nchi watu wezi wameisha amua kuwa wezi
Mkuu hii si nzuri, for long-term survival, kumbuka nikifanya vizuri ndo kunaweza kunipa nafasi mi kupata nafasi nzuri, hizi tamaa ndogo ndogo ukitafakari kwa kina si njema kwa ustawi wangu, nkifanya any wrongful act automatically ntkuwa nimejifungia fursa nyingi zaidi
 
Mkuu hii si nzuri, for long-term survival, kumbuka nikifanya vizuri ndo kunaweza kunipa nafasi mi kupata nafasi nzuri, uzi tamaa ndogo ndogo ukitafakari kwa kina si njema kwa ustawi wangu, nikijaribu hapo sehemu nyingi zinajifunga automatically
Kajifunze kwa kina Steven Wasira, kina mama Samia, Kina Paul makonda na wengine neo chukua chako mapema sepa
 
Back
Top Bottom