Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Acheni wivu semeni hamna kifua tu
wewe jamaa utakuwa pimbi i think......
kama huwezi arifu piga kimya wenye uwezo wanaweka ma pleti ya mkwanja mrefu.....
|
|
Davis Mosha, founder, Delina Enterprises, one of KenolKobil's key transporters in the region. |
Davis Mosha alikuja na gari hii, yenye thamani ya Sh. Bilioni 1. Hakuna mtu mwingine yeyote Tanzania mwenye gari hii. Na hadi sasa marekani kwenyewe anayo P Diddy tu. |
Huyu kijana wa kichagga na haya magari ya Bil 1 tena private number, Nyumba yakuishi yenye cubical glass elevator. Kazi ipo.:spy:
Hiyo gari anaendesha Nancy mke wake Davis Mosha. Huyo demu ana Bureau de change pale Ubungo plaza inaitwa Delina bureau de change.yaani huyu buzi likikata kama lazima arudi tra ktafuta T100DAA.
kwa sababu hiyo namba ukikaa miaka 5=milioni 25.
aiseee.....kumbe ivuga shori?
http://3.bp.blogspot.com/-5ZcXKsLKlWs/T__HbLwXzhI/AAAAAAAACz8/7WI4jIl7E2I/s640/IMG-20120712-
00304.jpg
wabongo noma
kwa hiyo hapo suala la kuomba cv yake halihusiki??Nimefurahishwa sana na mosha , tuko wengi tunakuja . kinachonifurahisha zaidi ni kwamba nasikia jamaa ni form 4. lakini ameweza kweliujasiria mali unalipa