Doria Mtandaoni
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 326
- 677
Naprndekeza itungwe sheria ya kuipa mamlaka ya mapato Tanzania TRA kufanya distribution ya mapato kwenda wizara/taasis husika.
Hasa kipindi ambacho tunakaribia kujitegemea kwa asilimi 100.
Mara baada ya bajeti ya serikali kusomwa na kupitishwa, kuwe na kitengo maalum cha kuhakikisha makusanyo yanayopatikana yanagawanywa kadiri ya mipango ya bajeti.
HIli linamanufaa kuendelea kujenga imani ya walipa kodi kwa mamlaka ya mapato.
TRA kuwa na ufahamu mzuri na kuongezeka uwajibikaji katika kukusanya ili kuhakikisha malengo yanafikiwa.
Walau wanasiasa na watendaji wengine kuanza kuwawajibisha na kuacha visingizio vya fedha kutokufika.
TRA Tanzania
Hasa kipindi ambacho tunakaribia kujitegemea kwa asilimi 100.
Mara baada ya bajeti ya serikali kusomwa na kupitishwa, kuwe na kitengo maalum cha kuhakikisha makusanyo yanayopatikana yanagawanywa kadiri ya mipango ya bajeti.
HIli linamanufaa kuendelea kujenga imani ya walipa kodi kwa mamlaka ya mapato.
TRA kuwa na ufahamu mzuri na kuongezeka uwajibikaji katika kukusanya ili kuhakikisha malengo yanafikiwa.
Walau wanasiasa na watendaji wengine kuanza kuwawajibisha na kuacha visingizio vya fedha kutokufika.
TRA Tanzania