Punguani mkubwa!!. Kwan hata akidai risiti wewe utafaidika na nn?. Maana ufisadi umetamalaki wanakula tu walioko huko serikarin si bora atafune mchumia juani mwenzangu!Kwa hiyo usipodai receipt utanufaika na nini? haujui hiyo yote inaenda kwenye tumbo la huyo ambapo ingeenda kuboresha huduma za jamii.
Akili zingine bora ifike tu mahali muwe mnaazimishwa akili maana naona kuna watu wamewashikia akili zenu. Kwenye ujenzi wa uchumi wa nchi akili kama hizi tunaziita ni za kishenzi kabisa na za kipumbavu. Right ungekuwa unaishi nchi za ulimwengu wa kwanza unakula kifungo cha miezi kadhaa gerezani ukitoka akili imepunguza makengeza.
Umelogwa wewe mwendawazimu na alokuroga amekufa. Endeleeni na akili zenu za nyumbu.Punguani mkubwa!!. Kwan hata akidai risiti wewe utafaidika na nn?. Maana ufisadi umetamalaki wanakula tu walioko huko serikarin si bora atafune mchumia juani mwenzangu!
Aya ameniroga mama ako si ndio aliekufa?. We ni punguani mkubwa Tanzania hii nlipe kodi ili baba ako alieko serikalini aongeze kimada wa tatu?!!!.Umelogwa wewe mwendawazimu na alokuroga amekufa. Endeleeni na akili zenu za nyumbu.
Siwezi endelea kuongea na kilaza.
Huko sahihi.Tuna tatizo sana mkuu hizi akili za kulialia.
Watu hawajui hata watoto wao au wa ndugu zao wanaosoma Msingi, Sekondari hadi chuo wanasomeshwa na kodi hizo hizo. hata wanapopita kwenye lami au barabara za vumbi hawajui ni kodi hiyo. Usalama wao polisi wanapopiga doria usiku ni koodi zao.
Bado nchi hii ina tatizo kubwa sana mbele.
Kwa hiyo usipodai receipt utanufaika na nini? haujui hiyo yote inaenda kwenye tumbo la huyo ambapo ingeenda kuboresha huduma za jamii.
Akili zingine bora ifike tu mahali muwe mnaazimishwa akili maana naona kuna watu wamewashikia akili zenu. Kwenye ujenzi wa uchumi wa nchi akili kama hizi tunaziita ni za kishenzi kabisa na za kipumbavu. Right ungekuwa unaishi nchi za ulimwengu wa kwanza unakula kifungo cha miezi kadhaa gerezani ukitoka akili imepunguza makengeza.
Big up tunahitaji wazalendo kama ww i wish wabongo wangekuwa kama ww kuliko kutukana matisu ambayo hayahitajiki....Nimenunua bidhaa za ujenzi za Tsh 210, 000 lakini RISITI YA EFD inasoma total cash Tsh 178, 000 na VAT Tsh 27, 152. Nilipomuuliza mbona mashine yake haitoi risiti sahihi maana 18% ya 210, 000/= ni 37, 800 na risiti yake ilipaswa kusomeka:
cash ni 172, 200
VAT 18% ni 37, 800
Hivyo Total cash isomeke 210, 000 akawa hana majibu.
Kama mtanzania mlipa kodi sikuridhika. Wito wangu kwa mamlaka ya Mapato nchini kukagua mashine hizi, nimegundua maduka mengi ya vifaa vya ujenzi hayana kabisa hizi mashine hivyo kuwepo na mwanya wa ukwepaji kodi kwa kutolipa kodi sahihi.
Mkuu tutake radhi Wasukuma aisee! Nakupa mwisho mpaka kesho saa 4 asubuhi uwe umetutaka radhi vinginevyo Gamboshi inakuhusu!!Acha unoko ww lzm ni msukuma
Wasukuma makenge sana asee...Mkuu tutake radhi Wasukuma aisee! Nakupa mwisho mpaka kesho saa 4 asubuhi uwe umetutaka radhi vinginevyo Gamboshi inakuhusu!!
Sijajua kama wewe ni bwege au ni Dr. Shika...Nimenunua bidhaa za ujenzi za Tsh 210, 000 lakini RISITI YA EFD inasoma total cash Tsh 178, 000 na VAT Tsh 27, 152. Nilipomuuliza mbona mashine yake haitoi risiti sahihi maana 18% ya 210, 000/= ni 37, 800 na risiti yake ilipaswa kusomeka:
cash ni 172, 200
VAT 18% ni 37, 800
Hivyo Total cash isomeke 210, 000 akawa hana majibu.
Kama mtanzania mlipa kodi sikuridhika. Wito wangu kwa mamlaka ya Mapato nchini kukagua mashine hizi, nimegundua maduka mengi ya vifaa vya ujenzi hayana kabisa hizi mashine hivyo kuwepo na mwanya wa ukwepaji kodi kwa kutolipa kodi sahihi.