Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Hizi kodi anazozipiga vijembe sio ndio huyuhuyu alisema anakusanya kuliko waliomtangulia tena wananchi wakaitwa wanaolalamika kuwa wapiga dili si ni huyu huyu rais?
Sio huyu aliyesema lazima kodi zilipwe hadi tra wakawa wanatembea na bunduki na askari polisi na waziri mkuu akawatetea bungeni?
Sio huyu baba aliyeanzisha kodi za machinga kwa tamko?
Na sheria si wao ndio wanatunga na kupeleka miswada bungeni na huyu baba si ndio anasaini inakuwa sheria?
Kuna kodi inayokusanywa ambayo haipo kwenye sheria? Kwanini walaumie watendaji wanaofuata sheria badala ya watunga sheria?
Sio huyu aliyesema lazima kodi zilipwe hadi tra wakawa wanatembea na bunduki na askari polisi na waziri mkuu akawatetea bungeni?
Sio huyu baba aliyeanzisha kodi za machinga kwa tamko?
Na sheria si wao ndio wanatunga na kupeleka miswada bungeni na huyu baba si ndio anasaini inakuwa sheria?
Kuna kodi inayokusanywa ambayo haipo kwenye sheria? Kwanini walaumie watendaji wanaofuata sheria badala ya watunga sheria?