Fikra mlazo
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 237
- 37
Sio kuliwazana. People are being called to collect letters from their regional offices!
Yea,me heard that too.wa mkoan wametutonya kuwa wakacheck box zao posta by 2mr
Sio kuliwazana. People are being called to collect letters from their regional offices!
Yea,me heard that too.wa mkoan wametutonya kuwa wakacheck box zao posta by 2mr
je ni post gani wameita?
Assistant tax officer
ok asante mkuu fur21. Nathani PA bado hawajaanza kuita.
Ndio wa assistant preventive,bado
kesho saa nne kwa waliopigiwa simu leo wanaenda kuchukua barua tra hq
Kesho saa nne kwa waliopigiwa simu leo wanaenda kuchukua barua tra hq
taarifa kamili ni hizi hapa
wameita jumla ya watu 72 tuu,na hao watu 72 wanatakiwa wafike kesho
makao makuu ya tra saanne asubuhi kuchukua barua zao,na hao 72 wote
wamepigiwa wamepokea simu na wamepewa taarifa.......asanteni,tukutane
kesho saanne asubuhi
taarifa kamili ni hizi hapa
wameita jumla ya watu 72 tuu,na hao watu 72 wanatakiwa wafike kesho makao makuu ya tra saanne asubuhi kuchukua barua zao,na hao 72 wote wamepigiwa wamepokea simu na wamepewa taarifa.......asanteni,tukutane kesho saanne asubuhi