Naombeni kujuzwa kama kuna
yeyote aliyafanya oral interview ya tra tar 6-8/02/2013 pale msimbazi
centre as ass tax ofisa kama wameshapigiwa simu
waliofanikiwa............ni hayo tu
Subira yavuta heri,na ngoja yaumiza matumbo..mwingne leo kanambia mwishoni mwa mwezi wa 4
Kama yuko jikoni (ndani ya tra HQ) nachelea kusema ya kuwa huna budi kumwamini. Lakn na yeye kama ni kama wewe inahtaji moyo kumwamini. Lkn ngoja niulize, hv mtu akikwambia atakupa majbu as soon as posible anakuwa anamanisha nini?
Subira yavuta
heri,na ngoja yaumiza matumbo..mwingne leo kanambia mwishoni mwa mwezi
wa 4
kama kazi zilitangazwa whishon mwa october mwaka jana na interview
ikafanyika february 2013, kuna possibility kuitwa kazin ikawa mid of
April 2013.
my brain..
from probability point of vie wanaita 82 days ater deadline so mpaka leo ni tayari 22 days with calculations ni kwamba wataita tarehe 1 may au 30th of april.kama kazi zilitangazwa whishon mwa october mwaka jana na interview
ikafanyika february 2013, kuna possibility kuitwa kazin ikawa mid of
April 2013.
my brain..
from probability point of vie wanaita 82 days ater deadline so mpaka leo ni tayari 22 days with calculations ni kwamba wataita tarehe 1 may au 30th of april.
Wewe unayoyaongea unayajua? Si mkawe na subira kuliko kuja huku mnaandika vitu bila data? Nimeambiwa kuwa deadline ilikuwa nov 13, 2012, je unaona kuanzia hapo mpaka leo ni siku ya 22 kwa hesabu zako? Kweli hesabu ina wenyewe.
from probability point of vie wanaita 82 days ater deadline so mpaka leo ni tayari 22 days with calculations ni kwamba wataita tarehe 1 may au 30th of april.
have read what you wrote? Do you know when was deadline?
Because you dont know when was deadline let me help you!
Deadline was 13/11/2012.
Count from that deadline hence tell us when was 82th day.
Yule aliesema wanaita trh 27feb vp?leo ni 1 march.
Yule aliesema wanaita trh 27feb vp?leo ni 1 march.
Yule aliesema wanaita trh 27feb vp?leo ni 1 march.