Tra oral interview feedback

Tra oral interview feedback

Jiandaeni kupokea majibu yenu kuanzia kesho kwa maana training mnaanza march 11. Kama ulikuwa huna kimemo ndo ushaumia labda uwe unamwamini Mungu wa wasiokuwa na vimemo.
 
Yah MUNGU tu,atosha..mbona nimeskia trainig wameenda intake ya mwaka jana?intake ya mwaka huu training ni next year.
 
Wafanye wanavyotaka wao bwana, kwa maana siyo lazima watu wote wakafanye kazi tra! Alafu wakifanya hvyo ina maana cost zitaongezeka za posho kwa watakaoconduct semina. Mm ningewashauri wapunguze cost kwa kuunganisha watu wote kwenye training moja. Alafu haina maana mtu uanze kazi alafu baadae uende training! Hapo kazini unaenda kufanya nini wakati huna mafunzo alafu baadae ndo unakuja kupewa mafunzo?
 
'whitedent' watu wanasubili jibu,tafadhari tujulishe kinacho endelea isiwe tunasubili mbovu.
 
Jiandaeni kupokea majibu yenu kuanzia kesho kwa maana training mnaanza march 11. Kama ulikuwa huna kimemo ndo ushaumia labda uwe unamwamini Mungu wa wasiokuwa na vimemo.

Hapo kwenye red ni pabaya sana. Paliwahi kukosesha watu U Waziri Mkuu, Paliwahi Kuondoa watu Benki Kuu, Paliwahi kufanya watu wajiondoe Ubunge, Paliwahi kuleta kampuni feki za Umeme, paliwahi kuibua kampuni feki zikalipwa mabilioni ya EPA! Usipapende sana hapo kwenye red!!!!!! kuna watu bado wanapajutia! Mwanzo wake huwa mzuri lakini mwisho wake sio Mzuri. Bora "Yah MUNGU tu,atosha" kama alivyowakilisha F-9
 
Hapo kwenye red ni pabaya sana. Paliwahi kukosesha watu U Waziri Mkuu, Paliwahi Kuondoa watu Benki Kuu, Paliwahi kufanya watu wajiondoe Ubunge, Paliwahi kuleta kampuni feki za Umeme, paliwahi kuibua kampuni feki zikalipwa mabilioni ya EPA! Usipapende sana hapo kwenye red!!!!!! kuna watu bado wanapajutia! Mwanzo wake huwa mzuri lakini mwisho wake sio Mzuri. Bora "Yah MUNGU tu,atosha" kama alivyowakilisha F-9

Hiyo ni kweli mkuu. Mungu pekee anatosha.
 
Jiandaeni kupokea majibu
yenu kuanzia kesho kwa maana training mnaanza march 11. Kama ulikuwa
huna kimemo ndo ushaumia labda uwe unamwamini Mungu wa wasiokuwa na
vimemo.

bishankara, hizi taarifa zina ukweli au tunarushana tu roho? training tarehe 11 j3 ijayo? mmmh
 
Bishankara!its not possible ikawa training next week,ingekua wameshaita watu coz hua wana process ya medical examination b4 starting which takes more than a week.So tusubiri tu mazee!
 
wazeeee bado?????????????

DAAAH yaani kwa kweli hii TRA inanipa tu stresses yani. kama wangetoa majina ktk web yao watu tungeshajua kama yaliyomo yamo ama vipi watu tuendelee na mengine kama rizki haipo huko. aya bwana ngoja niwe tu MPOLE
 
Tusubili kitaeleweka tu........sasa huo ndiyo mda wao wakuingiza watu wao wenye lower second na kushuka chini.
 
Wewe unayoyaongea unayajua? Si mkawe na subira kuliko kuja huku mnaandika vitu bila data? Nimeambiwa kuwa deadline ilikuwa nov 13, 2012, je unaona kuanzia hapo mpaka leo ni siku ya 22 kwa hesabu zako? Kweli hesabu ina wenyewe.
duh kweli kuelewa kazi, mliitwa i/view 82 days tangu deadline...that day naandika nlibase on the premise of 82 days so nkasema its 22 days after i/view meaning wanafanya after evry 82 days of last step...
 
have you read what you wrote? Do you know when was deadline?
Because you dont know when was deadline let me help you!
Deadline was 13/11/2012.
Count from that deadline hence tell us when was 82th day.
somehow najua as to why form four wamefeli....count here atleast based on my premise kwamba From one step to another TRA wanatumia 82 days mfano trh ulotaja 13/11 to 4/2 how many days? 82 bila shaka
oky now calculate from the last day of the oral interview to the day naandika my comment usiyoielewa..22 days..so what is your problem?
 
somehow najua as to why
form four wamefeli....count here atleast based on my premise kwamba From
one step to another TRA wanatumia 82 days mfano trh ulotaja 13/11 to
4/2 how many days? 82 bila shaka
oky now calculate from the last day of the oral interview to the day
naandika my comment usiyoielewa..22 days..so what is your
problem?

duuuuh! kwa calculations hzo means 43 days remain
 
Wooi,zile sim mara hazipatikani mara hazipokelewi nini,yani famfa moja kwa moja.
Umejaribu kuzipiga mkuu ama waamua kupotosha mimi mbona zinapatikana na wanatusaidia sana..


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mwakajila,Yah i tried to call them ile kipind ya application coz it was online application but ikawa inazingua sana an they said anyone atakae pata problem during application apige zile namba.Nisinge eza andika kitu sina uakika nacho .
 
Back
Top Bottom