BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,802
Habari zenu wakuu,
Nilifanya usaili wa TRA position ya Customs Officer lakini kwa bahati mbaya diary niliyokuwa nimeandika nilipoteza na sikumbuki ilikuwa namba ngapi, nimejaribu kuwapigia utumishi ili wanipe msaada lakini siku nzima simu yao haipokelewi kabisa.
Je, kuna njia ipi inaweza kunisaidia kupata zile namba ili niweza kujua namba yangu nami niangalie matokeo yangu wakuu?
Asanteni sana
Nilifanya usaili wa TRA position ya Customs Officer lakini kwa bahati mbaya diary niliyokuwa nimeandika nilipoteza na sikumbuki ilikuwa namba ngapi, nimejaribu kuwapigia utumishi ili wanipe msaada lakini siku nzima simu yao haipokelewi kabisa.
Je, kuna njia ipi inaweza kunisaidia kupata zile namba ili niweza kujua namba yangu nami niangalie matokeo yangu wakuu?
Asanteni sana