JAMIETZN
Member
- Apr 25, 2009
- 72
- 1
Salamu.
Najaribu kutaka kujua ajira za TRA zinapatikana je hasa kwa maeneo ya Longroom.
Je nahitaji kuwa na Elimu ya aina gani kuweza kupata ajira maeneo kama yale ? Na je Kuna kufahamiana fahamiana katika kupata ajira za TRA hasa makao makuu ?
Sitaki kuamini kwamba waliopo pale Longroom ni watoto wa wakubwa au wakufahamiana kama wasemavyo walio wengine.
NB: Na kumbuka kuna member hapa Jamii aliuliza au alitaka kujua ni vigezo gani vinavyo chukuliwa na vijana wa hapa Longroom katika kupandisha bei ( Ku uplift ) bei za bidhaa ambazo zilisha fanyiwa malipo, mfano bei mizigo kutoka China au bei za magari?
Najaribu kutaka kujua ajira za TRA zinapatikana je hasa kwa maeneo ya Longroom.
Je nahitaji kuwa na Elimu ya aina gani kuweza kupata ajira maeneo kama yale ? Na je Kuna kufahamiana fahamiana katika kupata ajira za TRA hasa makao makuu ?
Sitaki kuamini kwamba waliopo pale Longroom ni watoto wa wakubwa au wakufahamiana kama wasemavyo walio wengine.
NB: Na kumbuka kuna member hapa Jamii aliuliza au alitaka kujua ni vigezo gani vinavyo chukuliwa na vijana wa hapa Longroom katika kupandisha bei ( Ku uplift ) bei za bidhaa ambazo zilisha fanyiwa malipo, mfano bei mizigo kutoka China au bei za magari?